Kabla sijaoa, mlioko kwenye ndoa naomba mnifahamishe yafuatayo…

Kabla sijaoa, mlioko kwenye ndoa naomba mnifahamishe yafuatayo…

Nataka nikiingia kwenye ndoa niwe mtu katili kweli kweli kwenye mali zangu hata kama bado sijazipata naamini nitakuja kumiliki tena nyingi sana. Je hati za nyumba na kadi za umiliki wa magari yako, mashamba na mali zako zote wewe mwanaume mwenzangu huwa unazificha wapi? Nataka mke wangu huyo nitakaekuja kumuoa asije kujua hivi vitu vya uthibitisho wa umiliki viko mahali gani hata kidogo aone tu mali sio hati za umiliki nipeni mbinu. Vipi kuhusu akaunti zako za benki anazijua zote au unamuonesha moja tu ile yenye balance kidogo sana? Nauliza haya ili isije ikatokea nikakatisha uhai wa mtu huko mbele panapo majaaliwa. Maana tutakataa ndoa weeee tukataa weeee lakini finally tutaoa tu.
Ukumbuke na hili kugongewa na wakina engonga ni siri ya ndani
 
Kwa nini ufiche, huo ndio mwanzo wa kutengeneza migogoro, zipo njia za kisheria, unahitaji kitu inaitwa pre nup. Wanasheria wataku dadavulia zaidi. Kila mara huwa nasema hao waliotuletea utandawazi walishaona situation kama yako, wakaja na solution ya kuwa na pre nup agreements kabla hamjaingia kwenye hicho mnachokiita ndoa
 
Kachukue safe deposit benki kwa mwezi crdb basic ni 30k - 100k documents zote sensitive ficha pale .

Cha pili kabla ndoa mfanye mkeo asign prenup , hii inahakikisha chochote alichokupata nacho au utakachomiliki sio matrimonial property
Prenup inakubalika kwa sheria za bongo?
 
Nataka nikiingia kwenye ndoa niwe mtu katili kweli kweli kwenye mali zangu hata kama bado sijazipata naamini nitakuja kumiliki tena nyingi sana. Je hati za nyumba na kadi za umiliki wa magari yako, mashamba na mali zako zote wewe mwanaume mwenzangu huwa unazificha wapi? Nataka mke wangu huyo nitakaekuja kumuoa asije kujua hivi vitu vya uthibitisho wa umiliki viko mahali gani hata kidogo aone tu mali sio hati za umiliki nipeni mbinu. Vipi kuhusu akaunti zako za benki anazijua zote au unamuonesha moja tu ile yenye balance kidogo sana? Nauliza haya ili isije ikatokea nikakatisha uhai wa mtu huko mbele panapo majaaliwa. Maana tutakataa ndoa weeee tukataa weeee lakini finally tutaoa tu.
heee[emoji46], usiingie kwenye ndoa if akili yako bado ya kipuuzi hivi, ukikua utaacha kuwaza upuuzi
 
Kwa nini ufiche, huo ndio mwanzo wa kutengeneza migogoro, zipo njia za kisheria, unahitaji kitu inaitwa pre nup. Wanasheria wataku dadavulia zaidi. Kila mara huwa nasema hao waliotuletea utandawazi walishaona situation kama yako, wakaja na solution ya kuwa na pre nup agreements kabla hamjaingia kwenye hicho mnachokiita ndoa
Prenup inakubalika kwa sheria za bongo?
 
Mnaoongea haya mnaishi kwenye dunia gani? Mbona tunaona kila siku namna ambavyo wanawake wamezigeuza talaka kuwa mradi wa kibiashara.
ni kweli hayo yapo, lakini as a man , ishi na mwanamke kwa akili. siku hizi kuna njia nyingi sana za kisheria ukizifuata wala hurokua na haja ya kuficha vitu kiasi hicho.'

mf. kaka yangu alioa, but yule wifi alikua amefata tu mali zake, alivoona huyo mkewe ana too many confusing issues, akaweka kila kitu kisheria, na mali zote akaandikisha mzazi.

mwamke alipotaka kujifanya wagawane mali (kulitokea ugomvi mkubwa kati yao)

akakuta kaka hana chochote, vyote ni mali ya mzazi. bro akaepuka kufirisiwa na yule mwanamke.

Ishini nasi kwa akili thats all
 
Nataka nikiingia kwenye ndoa niwe mtu katili kweli kweli kwenye mali zangu hata kama bado sijazipata naamini nitakuja kumiliki tena nyingi sana. Je hati za nyumba na kadi za umiliki wa magari yako, mashamba na mali zako zote wewe mwanaume mwenzangu huwa unazificha wapi? Nataka mke wangu huyo nitakaekuja kumuoa asije kujua hivi vitu vya uthibitisho wa umiliki viko mahali gani hata kidogo aone tu mali sio hati za umiliki nipeni mbinu. Vipi kuhusu akaunti zako za benki anazijua zote au unamuonesha moja tu ile yenye balance kidogo sana? Nauliza haya ili isije ikatokea nikakatisha uhai wa mtu huko mbele panapo majaaliwa. Maana tutakataa ndoa weeee tukataa weeee lakini finally tutaoa tu.
Hata uowe badae bado utagongewa tu Mzee wangu😂. Huwezi kukimbia hiko kivuli kwa Dunia ya sasa.
 
ni kweli hayo yapo, lakini as a man , ishi na mwanamke kwa akili. siku hizi kuna njia nyingi sana za kisheria ukizifuata wala hurokua na haja ya kuficha vitu kiasi hicho.'

mf. kaka yangu alioa, but yule wifi alikua amefata tu mali zake, alivoona huyo mkewe ana too many confusing issues, akaweka kila kitu kisheria, na mali zote akaandikisha mzazi.

mwamke alipotaka kujifanya wagawane mali (kulitokea ugomvi mkubwa kati yao)

akakuta kaka hana chochote, vyote ni mali ya mzazi. bro akaepuka kufirisiwa na yule mwanamke.

Ishini nasi kwa akili thats all
Yani unavimba kichwa kabisa eti “ishini nasi kwa akili“ Si umeona huyo mpuuzi mwenzio alichotaka kumfanyia kakaako? Sasa ninachowaza mimi na alichokifanya huyo kakaako kuna utofauti gani? Yani niumize akili kutafuta pesa ili niishi vizuri halafu mimi huyo huyo niumize akili yangu tena eti kwa ajili tu ya kuishi na nyie? Hivi kichwani uko timamu kweli wewe?
 
mf. kaka yangu alioa, but yule wifi alikua amefata tu mali zake, alivoona huyo mkewe ana too many confusing issues, akaweka kila kitu kisheria, na mali zote akaandikisha mzazi.

mwamke alipotaka kujifanya wagawane mali (kulitokea ugomvi mkubwa kati yao)

akakuta kaka hana chochote, vyote ni mali ya mzazi. bro akaepuka kufirisiwa na yule mwanamke.
Ndio ulipaswa kuandika hivi tangu mwanzo
 
Yani unavimba kichwa kabisa eti “ishini nasi kwa akili“ Si umeona huyo mpuuzi mwenzio alichotaka kumfanyia kakaako? Sasa ninachowaza mimi na alichokifanya huyo kakaako kuna utofauti gani? Yani niumize akili kutafuta pesa ili niishi vizuri halafu mimi huyo huyo niumize akili yangu tena eti kwa ajili tu ya kuishi na nyie? Hivi kichwani uko timamu kweli wewe?
Mkuu hawa wanawake ni wa kuwasamehe tu. Hawawezi kufikiri kimantiki.
 
Nataka nikiingia kwenye ndoa niwe mtu katili kweli kweli kwenye mali zangu hata kama bado sijazipata naamini nitakuja kumiliki tena nyingi sana. Je hati za nyumba na kadi za umiliki wa magari yako, mashamba na mali zako zote wewe mwanaume mwenzangu huwa unazificha wapi? Nataka mke wangu huyo nitakaekuja kumuoa asije kujua hivi vitu vya uthibitisho wa umiliki viko mahali gani hata kidogo aone tu mali sio hati za umiliki nipeni mbinu. Vipi kuhusu akaunti zako za benki anazijua zote au unamuonesha moja tu ile yenye balance kidogo sana? Nauliza haya ili isije ikatokea nikakatisha uhai wa mtu huko mbele panapo majaaliwa. Maana tutakataa ndoa weeee tukataa weeee lakini finally tutaoa tu.
Usiowe, olewa.
 
ni kweli hayo yapo, lakini as a man , ishi na mwanamke kwa akili. siku hizi kuna njia nyingi sana za kisheria ukizifuata wala hurokua na haja ya kuficha vitu kiasi hicho.'

mf. kaka yangu alioa, but yule wifi alikua amefata tu mali zake, alivoona huyo mkewe ana too many confusing issues, akaweka kila kitu kisheria, na mali zote akaandikisha mzazi.

mwamke alipotaka kujifanya wagawane mali (kulitokea ugomvi mkubwa kati yao)

akakuta kaka hana chochote, vyote ni mali ya mzazi. bro akaepuka kufirisiwa na yule mwanamke.

Ishini nasi kwa akili thats all
= kufilisiwa.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Nataka nikiingia kwenye ndoa niwe mtu katili kweli kweli kwenye mali zangu hata kama bado sijazipata naamini nitakuja kumiliki tena nyingi sana. Je hati za nyumba na kadi za umiliki wa magari yako, mashamba na mali zako zote wewe mwanaume mwenzangu huwa unazificha wapi? Nataka mke wangu huyo nitakaekuja kumuoa asije kujua hivi vitu vya uthibitisho wa umiliki viko mahali gani hata kidogo aone tu mali sio hati za umiliki nipeni mbinu. Vipi kuhusu akaunti zako za benki anazijua zote au unamuonesha moja tu ile yenye balance kidogo sana? Nauliza haya ili isije ikatokea nikakatisha uhai wa mtu huko mbele panapo majaaliwa. Maana tutakataa ndoa weeee tukataa weeee lakini finally tutaoa tu.
hapana kama una mawazo hayo usioe
 
mwanamke akikupenda kwa moyo wake wote
Hao wanawake wa kumpenda mwanaume, wanapatikana wapi? Maana sahivi wadada wengi wapo kimaslahi, hata asiponipenda mm, kwa tabia zake unajua tu akiolewa itakua mbombo ngafu mom abe
 
Back
Top Bottom