Kabla ya kumkosoa Rais Samia, tumuombe radhi kwanza Hayati Mkapa na familia yake na washauri wake

Mkuu unaweza kuuweka hapa huo mkataba kati ya DP na TPA?
Inaonekan Kuna hatuna nimepitwa.
Ninachojua mkataba huo bado ila utafuata katika Ile mikataba midogo midogo ambayo itakuja baada ya huu wa Tanzania na Dubai.
 
Hapo kwenye kupewa mtu mmoja labda hujuwi mwendeshaji ni mamlaka ya dubai huyo siyo mtu mmoja halafu ana uwezo wa kifedha. Hapo bandarini ni wizi tu unaendelea mifumo zaidi ya 30 na haisomani tunataka tuondoe huu uchafu watanzania msiwe na wasiwasi .mazuri yanakuja
 
Kiukweli sijasoma,siwezi poteza muda wangu kusoma mambo yaliyofanyika nikiwa primary school na secondary school. Ninachojua Samia ni kilaza tena kilaza number moja.
Tulieni mletewe maendeleo zama za kupeleka miradi yote chato zimepita
 
Wee jamaa Mungu akusamehe bure. Unaongelea kubinafsishwa mashirika ambayo kweli mengi yaliuzwa kiholela na kubinafsishwa vipande vipande vya ardhi tena uwekezaji wa majini kwa kikampuni kimoja huku ukiwa umejifunga mwenyewe kwenye mkataba? Emb Acha ujinga!
 
Usikalili kuwa serikali haiwezi kufanya biashara.... mbona uchina na Taiwan wanafanya vizuri tuu. Halotel yenyewe ni campuni ya serikali Vietnam. Usikalili maisha mkuu
 
DP world kawekeza USA?
Are you out of your mind?
Mwaka 2006 Bunge la Marekani iliwapiga stop DP world.
Acha kuwadanganya watu wewe.
 
Hako ni kakipande kadogo tu ka maongezi yake. Kaongea mengi sana na kudadavua kisheria. Nilipatwa na hasira tu nikaacha kusikiliza maana inatia uchungu.

Sijui tumerogwa na nani sisi 😬😬😬
Niwekee summary kasemaje kama mikataba midogo itataja ukomo ambao yeye anaona ni issue kubwa.
 
Hta
Hizi mada ni za wasomi,
wale wanaopiga makelele ya bandari kuuzwa, wakati wanaishi nyanda za juu kusini mwa mwakaleli na wengine wanazungusha bodadaboda huko nyegezi hawataelewa kitu
Hata boda boda pia inahitaji bandari kwa spare, mafuta hata yenyewe hivyo mkataba unamgusa kila mwananchi na vizazi vinavyokuja, Kwa migogoro na mifumo iliopo mipakani kama Tunduma na Namanga bandari sio kipaumbele kwa sasa.
 
Mkuu unaweza kuuweka hapa huo mkataba kati ya DP na TPA?
Inaonekan Kuna hatuna nimepitwa.
Ninachojua mkataba huo bado ila utafuata katika Ile mikataba midogo midogo ambayo itakuja baada ya huu wa Tanzania na Dubai.
MoU kati ya TPA na DPW umetajwa kwenye mkataba wa IGA (Utangulizi, Kifungu "B", ukarasa 4) ninaoshauri utupiliwe mbali na DPW ipitie TIC kama ina nia ya dhati kuwekeza au ingie ubia na TPA, kwa Sheria, Kanuni na Taratibu zilizopo
 
Yaani nikifikiria Tanesco na Net group solutions, thank God ulikuwa mkataba una muda.Wakabuma wakaondolewa.Sasa huu wa ⏰100 na Dubei ni wa milele.Yaani hata wakivurunda hakuna kuwafukuza.
Pengine ziara za Dubai zitaibua mengine mengi ya hovyo mikataba yote 37 aliyosaini itakuwa na shida tu
 
Muda utayafunua mengi sana
 
Huyu jamaa sijui Nyerere alimkosea nini, Kutwa kumuandama tu.
 
Big up Sana , UMEONGEA kizalendo Sana na sio KISHABIKI.
Tufike MAHALI , WA Tz tuachane Kabisa na utani ama ushabiki katika masuala ya kisiasa. Tunapoikumbatia tabia hii ndio inachochea zaidi maadui WA Taifa yaani Udini, Ukabila, ukanda , n.k . KUAMKA na kutuangamiza vibaya mno.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…