Kabla ya kumkosoa Rais Samia, tumuombe radhi kwanza Hayati Mkapa na familia yake na washauri wake

Umeandika mengi lakini nje, kuna msemo wa kilatini tafsiri ya ni "Run very well but outside the tracks"

Shida ya watangányika sio kuletwa DP World, shida ni huo mkataba wao, fullstop. Sasa wewe unaongea meeeengi, hujaelewa tatizo la wanaopinga ni nini?

Kila mtu mwenye akili timamu na exposure hawezi katalia ujio wa DP World (Nikiwemo mimi) tunachokatalia ni terms za huo mkatabamkataba. Umesema DP World wapo hadi china, sawa, tuletee mkataba wake na china af tuwekee na mkataba waliotupa sisi. Ukifanya hivo nikakuta terms ni zile zile walotupa sisi mods mnipige ban la maisha
 
Kwa akili yako umeona hoja yeyote hapo?
Watanzania ni wapumbavu sana, yaani ni sawa na mbuzi wanaopelekwa machinjoni, na hawaoni shida ni kuswagwa tu mbuzi kabisa!!

Nchi ya mataahira, unaweza hata kujuta kuzaliwa nchi iliyozaliwa mbuzi kama nyie!!
 
HGA inaweza kuwa kinyume na intergovernmental agreement iliyopitishwa na Bunge? Kwanini kuwe na intergovernmental agreement tena iliyopelekwa bungeni isiyoainisha kiasi cha uwekezaji na faida zake ili HGA zipate muongozo sahihi?
Iwe kinyume kivipi wakati IGA imesema mambo yote yatawekwa kwenyr HGA?
 
Huyu The Boss kapotea njia.

Nimemwambia hata mimi, shida huo mkataba. Atuwekee hapa mkataba wa DP world na china au usa kisha tuulinganisha mkataba wao na Tanzania.

Af mtu na akili zako kweli unaweza linganisha situation ya banking sector na hii issue ya port? Kwa aina hii ya watanzania bado tuko na safari ndefu, no hatuna safari tena coz tushashindwa hio safari
 
Tafuta Data ndio uandike kama % za hisa za hizo benk na umiliki wake hujui
 

Yaani inasikitisha mno mno na bado watu wanaleta hoja za ajabu ajabu zisizoeleweka sijui tatizo ni elimu au ni utindio wa ubongo!!

Hakuna sehemu watu wamewakataa hao DPW, watu wanakataa mkataba mbovu usifaa kwa nchi!! Kweli karne ya leo utaingiza nchi kwenye mkatba mbovu namna hii? Kweli?
 
Uko vema baharia 💯💯💯
 
Iwe kinyume kivipi wakati IGA imesema mambo yote yatawekwa kwenyr HGA?
Kama HGA ndio kila kitu kulikuwa na umuhimu gani wa IGA? Unajua kwanini IGA na tena kupelekwa bungeni? Kwanini wasingeingia direct agreement TPA and DPW! Why tempering with our President and Parliament? ultimate authority!
 
Kama ni hivyo umuhimu wa IGA ni nini? Unajua kwanini IGA tena kupelekwa bungeni? Kwanini wasingeingia direct agreement TPA and DPW! Why tempering with our President and Parliament? ultimate authority!
Kuna mkataba umeingiwa kuhusu TPA?

Ukielewa tofauti ya IGA na HGA basi hutakuwa na haja ya kuandika haya yote
 
Fanyeni utafiti kwanza,dar port ina berth 7 ya 8 ni ile oil terminal,kwa mujibu wa serikali hapo dar port pekee DP kapewa berth na 6 na 7 tu ambazo ni za cotainer terminal hivi angepewa kuendesha bandari yote ingekuaje!
Sio kwa mujibu wa serikali, nenda kasome mkataba ujionee waarabu walichopewa, wacha ujinga.
 
Kuna mkataba umeingiwa kuhusu TPA?

Ukielewa tofauti ya IGA na HGA basi hutakuwa na haja ya kuandika haya yote
Huo mkataba ni kuhusu bandari and its related economic corridors. Hii ndio IGA iliyopitishwa na bunge. Kama haihusu bandari confirm hapa.

Msidanganye wananchi kuhusu HGA ili wapuuze IGA hii ya ovyo ambayo ndio mkataba mama na umehalalishwa bungeni!
 
Tatizo, raisi analindwa na katiba, hawezi kushtakiwa. Ingekuwa tuna uwezo wa kumshitaki raisi unadhani angeweza kufanya haya? Tatizo kubwa ni Katiba ya nchi.
 
what a great lecture!
Mkuu, haya ndo madhara ya kuishi kwenye ilani za vyama na siasa za kukimbizana ikulu, na kuacha mpango wa maendeleo wa taifa pamoja. Raia wamebakia kuuziwa haki zao kwenye majukwaa ya kisiasa kila uchao
 
Mimi nadhani Mama Samia asonge mbele. Akiwasikiliza wanaopinga atachelewa sana kuwaletea watanzania maendeleo
Maendeleo ya watanzania hayawezi kuletwa na chama wala Rais yeyote madarakani, maendeleo ya watanzania yataletwa na watanzania wenyewe kwa kujitambua, kuwa macho na nyendo za ubadhirifu dhidi ya rasilimali za taita na kupigania haki za kiraia wakati wote.
 
Yaani nikifikiria Tanesco na Net group solutions, thank God ulikuwa mkataba una muda.Wakabuma wakaondolewa.Sasa huu wa ⏰100 na Dubei ni wa milele.Yaani hata wakivurunda hakuna kuwafukuza.
 
Na maendeleo ya CHADEMA yataletwa na nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…