Kabla ya kupeleka gesi yetu Kenya tutafakari kwanza kuhusu haya yafuatayo

Hao AFDB ndio wanamwaga tu bila kuangalia uwezo wa nchi kulipa deni? Kama mahindi tu kuvusha yana mizengwe ndio itakuwa gas?
Kama una uwezo hata kidogo kufahamu potential ya uwepo wa viwanda Kenya kwa uchumi KIKANDA na matokeo ya ukuaji wa uchumi kutokana na matumizi ya gesi viwandani..hizo usd 1.1 billion kupeleka bomba la gesi Kenya hata benki za ndani Kenya ukiacha AfDB zinaweza kutoa kwa sababu deni litalipwa hata kabla ya miaka 5..
 
Mambo ya maana sana haya..
Lakini kwa utawala wa ccm sahau hayo kabisaaa!
 

Nasema hivi, unachokiongea hapa ni ulichoambiwa na hao waongo, huna uhakika wa nini hasa wanalosema, labda kama umeamua kukabidhi akili yako kwa watu waongo. Sasa hilo sio kosa langu ni lako.
 

Leo ni 2022. Tuombe Mungu atupe uzima ndani ya miaka mitano kama utaona lolote litakalofanyika kuhusiana na hilo bomba la gas. Nitauvuta uzi huu kama tutakuwa hai ili uniprove wrong.
 
Nasema hivi, unachokiongea hapa ni ulichoambiwa na hao waongo, huna uhakika wa nini hasa wanalosema, labda kama umeamua kukabidhi akili yako kwa watu waongo. Sasa hilo sio kosa langu ni lako.
Huu ndio ubishi wa simba na yanga unauleta hapa..mabadiliko haya Barrick wenyewe waliandika kuwaeleza shareholders wao, wewe ndio bado una ujinga kutegemea taarifa za upande mmoja ambao hata huuamini.
 
Binafsi naombea ibaki kuwa porojo hivyo hivyo
 
Huu ndio ubishi wa simba na yanga unauleta hapa..mabadiliko haya Barrick wenyewe waliandika kuwaeleza shareholders wao, wewe ndio bado una ujinga kutegemea taarifa za upande mmoja ambao hata huuamini.

Nimecheka kwa nguvu.
 
Hao watanzania wataenda kujipimia gesi wenyewe,ndio maana mnaambiwa serikali ijenge miundo mbinu ya watanzania kuipata hiyo gesi itakapojitosheleza ndio uende kokote mnapotaka
 
Sasa uwezo wako kufikiri na hao wenzako ndio umefikia hapo na hasa kwa kujali matumbo yenu pasipo kufikiria vizazi vijavyo,gesi hapa kwetu imejitosheleza hadi iende nje?si kwa matumizi wa umeme,viwandani na hata majumbani hapa kwetu bado ovyo,halafu unauliza kama naweza kuwasabotage wakenya,nitawezaje while ndugu zako walio kwenye madaraka wasio wazalendo kama wewe ndio wanaoshirikiana na wakenya kuua biashara za TZ kwa maslahi yao
 
Tungeenza kujua tulie nae ana elimu ya uchumi au ABC za uchumi au degree ya ustawi wa jamii kufanya COUNSELING.

RUTO ni mfanyabiashara wa kwetu MBOBEZI wa nini?
 
Umeongea upuuzi, yaani wewe kama una mke asiyejua kutandika kitanda utamwambia aende akachangamane na wanawake wanaojua kutandika vitanda vyao huko majumbani kwao ili ajifunze kutandika kitanda chako kama wao.
 
Mkuu viwanda vingi vya Kenya ni mali ya wawekezaji kutoka Uingereza na Marekani, hivyo kupata pesa ya kupeleka gesi Kenya ni dakika sifuri TU.
 
Hao watanzania wataenda kujipimia gesi wenyewe,ndio maana mnaambiwa serikali ijenge miundo mbinu ya watanzania kuipata hiyo gesi itakapojitosheleza ndio uende kokote mnapotaka
Wametaka kununua wakanyimwa? Dangote si ana kiwanda chake na anauziwa gesi?
 
Kinacho tusumbua waTanzania wengi ni ujuaji tunapenda saana kudeal na vitu vilivyo nje ya uwezo wetu wa kifikira

Dunian nchi zote zinazozalisha nishati huuza nje ya nchi kwaajir ya kujipatia fedha za kigeni na mapato kiujumla sasa kuna shida gani Tanzania kuiuzia gesi kenya? Au kuna nchi gani dunian inayozalisha gesi kisha ikawa haifanyi exportation ya hyo gesi?

Swala la kenya kunufaika na gesi kuliko Tanzania pale itakapofika kenya hiki ni zaid ya kichekesho ni sawa na kusema Tanzania tunanufaika na mafuta kuliko muuzaji wetu Saudi Arabia,Unahitaj akili ndogo tu kuelewa kuwa muuzaji wa gesi ndio anaeamua bei ya kuuza na katu hawez kuuza bei sawa na ya ndani ya nchi hivo ni swala lililowaz kuwa bei ya gesi kenya itakuwa kubwa kuliko tz hivo kenya haiwez kuwa na advantage kwenye gharama za uzalishaji.

Kenya kutuuzia gesi ya kupikia kutokana na gesi yetu huu pia ni utoto sababu iko waz gesi inayoenda kuuzwa kenya ni gesi ya kawaida ambayo haijasindikwa hivo haiwez kutumika kwa matumiz ya kupikia bali kuendeshea mitambo na labda kuzalishia umeme pili unasahau kuwa plant kubwa ya kusindika gesi ambayo ndo hutumika kwa kupikia inajengwa Tanzania Lindi na kenya hakuna project kama hyo wala hawez kuwa nayo sababu initial cost yake ni kubwa saana na huwez kujenga hyo plant kama wewe sio gas producer na hata wakiforce kuijenga gesi yao itakuwa expensive kuliko yetu na hivo haitoweza kuuzika sokon hii ni sawa na kulangua ndizi bukoba Dsm afu ukaziuze tena Kagera.

Watanzania tuache uoga usiokuwa na sababu zozote za msingi kenya na Tanzania ndio superpowers wa East Africa hakuna namna yenye tunaweza kukwepana katika kufanya biashara pamoja, uchumi wa kenya ni advantage kubwa kwa uchumi wa Tanzania ni lazma tufaidike na soko la kenya kama ambavyo wao wananufaika na soko la Tanzania moja ya bidhaa ambayo ni game changer kwetu ni gesi na nilazma tuiuze kenya hatuna haja ya kuhangaika na masoko ya mbali wakati tunayo masoko ya jiran.
 
Kakaeni vizuri na msoga atawambia aliemkabidhi gas
Ndo ajue kwann Ruto alifanya kikao na Mzee wa Mgaso ndo wakatoa statement Abt gas.

Nchi inahitaji Overhaul kama tunataka Kutoka hapa tulipo.

Tuiue kabisa CCM na Serikali na Katiba iliyopo tuanze UPYA.

Ameeen.
 
Tangu lini mna gas? Hiyo ina wenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…