Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Ila kweli jmnKabla ya kunyonyana ndimi au kulana denda tuwe tunakaguana meno kwanza, hili tatizo la meno kuuma na kuoza halitaisha.
Kuna watu wameoza meno jameni. Halafu ndiyo wanyonyaji ndimi mpaka unahisi anataka kung'oka nao.La sivyo tuishie kunyonyana lips tu inatosha.
🙌
Sa itakuwaje?🙆
🤣😂😁Ila kweli jmn
Mi mpk sipendi kiss sbb watu wengine wananuka midomo!🙈😆
Nikipata relationship inayopenda haya makitu sijui itakuaje
Jmn Nishang'oa meno inatosha😅
KinyaaaqKwahiyo machalii wa R wasile mate?
Unazingua lamama
😆😆DR SANTOS umeoza meno ?
Hahaaa kwa Milungi ileKwahiyo machalii wa R wasile mate?
Unazingua lamama
😅😅😅Mkaka mwenye meno ya Arusha hayo ya chocolate siwezi kubali anipige de.....
Kwani mnapiga denda bila kuswaki?🙄😳Haya mambo ya madenda haya Huwa tunabeba mengi san Kuna siku nilijikuta mpka na kipunje Cha wali mdomon, na cjala wali cku hyo🤒
Ya chini🏃🏃🏃Ndimi ipi wataka nikunyonye Demi😛
Umeamua kutuvuruga wewe😂watu mmevugwa Mwaka huu
Kiuno kinahusika vipi😀Mi kiuno kinaniuma Leo,hizo kunyonyana nitawezea kweli?
Pole my wangu tutanyonyana kesho Leo pumzika polee sanaMi kiuno kinaniuma Leo,hizo kunyonyana nitawezea kweli?