Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Kachapika kweli kweli now.Hiyo milioni mia moja hata akiajiriwa hawezi kuipata kwa pamoja bila wizi
Ndo maana huwezi muomba Mungu akakupa utajiri au Mungu hawezi kukubariki sababu tu ni mkristo, Mungu anabariki watu wote hata ambao ni wapagani
Mdogo angu, hukutani na mtu kwa bahati mbaya.
Huamki tu ukakutana na mtu, kuna process ambayo lazima umei initiate ili jambo lolote litokee, haijalishi kwa kujua au kwa kutokujua.
do you think watu wanafika wanapofika just as a coisedence? Every single one dreams of achievements. Ndio kitu kinatutofautisha . Na kutaka tu haitoshi, lazima kujikita kwenye mchakato, na vibration zako kwenye mchakato ndio zina determine your next move.
So Yes, nilipo hapa ni less than kile nilifikiria, nafikiri kufika mbali zaid. Eyce I will send you a screen shot of this idea am doing toka nimeifikiri 2016 nikiwa with my friend ofisn nikiwa ndio kwanza nimeanza anza kaz baada ya kutoka chuo nalipwa mshahara wa 250k kwa mwezi 😂.
Kaka, kubali kataa, unahusika kwa asilimia zote kwenye matokeo yoyote yanatokea katika mchakato ambao umeamua kuufanyia kaz. This ia the law of responsibility na ndio kitu wengi huwa tunakataa kujiambia ukwel. Huwez seriously kusema uimfie kwenye biashara halaf unambie et the unknown third party ndio anakia determinant factor ya kupenya au kukwama. Utaanzisha biashara yea inawwza kufa lakin katika kifo hicho u play part. Utaajiliwa kazin, but u still have a role to proof succesa or failure in it. Hiki wengi huwa hatu confess but deep down huwa tunaujua ukwel
Now you are talking. And this is my whole point
And this is major reason on to why people do what they do.
To have an upper hand of controll when it comes ro circumstances.
Having no controll over circumstances mdio kitu kinawafanya watu wakeshe kwa waganga, kwa mwamposa, kwenye ma research projects etc ili tu waweze kupata solution and power to controll circumstances.
Kachapika kweli kweli now.
Nawaza nimkumbushe ile story tukiwa dom nahisi tamuumiza.
Anaendesha bodaboda kazi ambayo hata mtu asiyejua maana ya neno PEOPLE anaweza kuifanya
Kila mtu ana road map yake, kufanikiwa kunasababishwa na mengi sana.
Itakuwa alikuwa na big picture kwenye akili yake kipindi hicho.Hatari Sana.
Usimkumbushe
Huyo jamaa yako hana uthubutu ni watu ambao wanataka mafanikio yawafuateKachapika kweli kweli now.
Nawaza nimkumbushe ile story tukiwa dom nahisi tamuumiza.
Anaendesha bodaboda kazi ambayo hata mtu asiyejua maana ya neno PEOPLE anaweza kuifanya
Mkuu kuna kipindi hicho kwenye maisha, kila unachogusa kinaenda hadi unajihisi last born wa Mungu halafu kuna hicho kipindi. Unaweza hisi dunia imekutengaNakubali Kuna Jamaa yangu katoka tak home ya 7.2Mil per year, akafukuzwa kazi akapata kazi ya take home 4.8 per year, now kaenda take home ya 30Mil per year, na huu mlolongo umetokea ndani ya miezi 5 iliyopita, na nikimuuliza anasema ni Mungu tu, ye mwenyewe haelewi amefikaje fikaje alipo, maana baada yakufukuzwa kazi ya 7.2 mil per year alihisi kukata tamaa, lkn baada yahapo kafanya interview 3 ndani ya miez 4 nazote katoboa. Nakipindi Cha nyuma kahudhuria interview kibao lkn bila mafanikio.
Hapo napingana na wewe Kikwete alitegemea urais na kweli akawa raisMarais wote nchi yetu hawakutegemea kama wangekuwa marais. Na wale waliokuwa na uhakika wa kuwa Rais hawakuwa.
Maisha sio mchezo
Si sahihi kusema hivyo kwa sababu hata wawekezaji wanakopa na mitaji inakufa. Mungu mwenyewe huwapa watu wake. Pia tukiwa wawekezaji wote nani atanunua kwa mwingine?Kiukweli kabisa sijawahi kuwa na fikra za mbele na za ukubwa huo.
Siku zotee naamini mbele yangu siijui, kwasababu mipango, matamanio, na mategemeo havina mkataba na uhalisia katika maisha.
Watu wengi wanajenga nyumba kwa kujibana na kuishi kwa taaabu muda mrefu, ni bora kuwa mpangaji wa muda mrefu mwenye akili ya uwekezaji kuliko mwenye nyumba anayeishi kwa msoto mkali wa kulipa mikopo kisa kulinda ufahari wa kumiliki nyumba [emoji23][emoji23]
Kuna vitabu vingi vinavyofundisha "how to be rich" ila ukianza kusoma Biblia itakufundisha zaidi kuliko hivyo vitabu vingineSikubaliani na hoja kuwa mipango ya kimaisha ya vijana wengi inaharibika kwasabb hawamhusishi ama hawamuombi Mungu. Wapo walokole ama mashekhe promax wamefika 50 bado hawana hata kitanda.
Kila mtu ana FATE yake, yaani Kila mtu kachorewa roadmap ya maisha yake na mwenyezi Mungu. Ndiyo maana akina Laizer wanaokota tanzanite yenye thamani ya mabilioni wakati wengine hata mia mbovu hamuokoti.
Siyo sahihi kuaminisha watu kwamba wanaofanikiwa ni wale wa Mungu tu
Wakati na bahati huwapata wote
Na kuna maelfu ya walokole ni Masikini wa kutupwa
Kufanikiwa ni jitihada na bahati
Yeah nikweli mkuu, kuna muda Mungu tu anaamua kusimama upande wamtu, nahio ndio tunaita bahati tu.Mkuu kuna kipindi hicho kwenye maisha, kila unachogusa kinaenda hadi unajihisi last born wa Mungu halafu kuna hicho kipindi. Unaweza hisi dunia imekutenga
Na unakuta Cv na uwezo ni ule ule na nafasi unazopambania ni zile zile.. Ipo hivyo
Hapo napingana na wewe Kikwete alitegemea urais na kweli akawa rais
Mafanikio madogo madogo yanahitaji jitihada, elimu sahihi na fursa sahihiKuna vitabu vingi vinavyofundisha "how to be rich" ila ukianza kusoma Biblia itakufundisha zaidi kuliko hivyo vitabu vingine
Mfalme suleiman kwenye biblia anatufundisha kuwa "mshike sana elimu usimuache aende zake
Ni point kubwa sana kila jambo unalolifanya linahitaji upate elimu ili ufanikiwe bila maarifa hauwezi kupata chochote hata uwe mlokole vipi
Pia tunamuhitaji msaada wa roho mtakatifu ili uweze kutufanyi a miujiza katika shughuli zetu uwezi kupata mafanikio bila elimu ukihitaji msaada wa roho mtakatifu
Soma yohana 14 :16
16 Nami nitam womba Baba, naye atawapeni Msaidizi mwingine akae nanyi siku zote. 17 Huyo ndiye Roho wa Kweli ambaye watu wasioamini hawawezi kumpokea.
Soma yohana 15:5
Mimi ni mzabibu; ninyi ni matawi; anayekaa ndani yangu nami ndani yake, huyo huzaa matunda mengi sana; maana pasipo mimi ninyi hamwezi kufanya lo lote.
Nahitimisha kwa kusema mafanikio sio bahati wenzetu ngozi nyeupe ili walishafahamu muda mrefu kabla hajaanzisha jambo tayari elimu sisi waafrika tumejikita kwenye upambanaji kutaka kupata pesa kwa kitu usichokijua kwa mapana yake
Sahihi KbsaMbona watu wanoishi dunia ya kwanza wanatimiza hayo malengo Kama nyumba ,gari na kuwa na familia nzuri under 30 yrs.
Mimi naamini katika MUNGU Ila pia naamini MTU kuishi below the average hutokana na mindset na mifumo ya nchi husika.
Unafikiri hao vijana waliopanga na wanaopanga kuwa na maisha bora wakifika miaka 30 hawamuombi huyo Mungu?
Pamoja na kumuomba huyo Mungu vijana hao bado hawafanikiwi..!!
Automatically Mungu huyo hana msaada wowote kwenye maisha ya binadamu.
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
20 mimi nilidhani nitakuwa nimeolewa na familia gari ilikuwa option yanikipata kazi maana niliamini mume atakuwa na nyumba so hatutopanga