Kabla ya maisha kuwapiga Watu wengi Knockout, wengi walifikiri wakifika miaka 30 wangekuwa na nyumba na Gari

Kabla ya maisha kuwapiga Watu wengi Knockout, wengi walifikiri wakifika miaka 30 wangekuwa na nyumba na Gari

Unafikiri hao vijana waliopanga na wanaopanga kuwa na maisha bora wakifika miaka 30 hawamuombi huyo Mungu?

Pamoja na kumuomba huyo Mungu vijana hao bado hawafanikiwi..!!

Automatically Mungu huyo hana msaada wowote kwenye maisha ya binadamu.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Shida tupo kwenye mifumo ambayo inataka watu watumie akili zaidi kuliko nguvu mafanikio kwa sasa hayawafuati watu wanaojituma wenye skills ndio wanaotoboa mfano ingia playstore mtu kajifungi geto anatengeneza App inayoenda kutengeneza mabilioni ya pesa kazi ndogo matokeo makubwa

Kitu kingine hauhitaji kujipa stress kuchelewa kujenga ama kuwa na gari jambo msingi swala la mafanikio kwenye maisha ni kujikita kutafuta njia zitakazo kupa matokeo makubwa na sio kuonekana unafanya vitu kwa wakati
 
Unafikiri hao vijana waliopanga na wanaopanga kuwa na maisha bora wakifika miaka 30 hawamuombi huyo Mungu?

Pamoja na kumuomba huyo Mungu vijana hao bado hawafanikiwi..!!

Automatically Mungu huyo hana msaada wowote kwenye maisha ya binadamu.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Kwanini kila mada ya Mungu unapata uchungu sana
Wewe humuamini Mungu una haki hiyo move on lakin kila ukisikia mambo ya Mungu unatokwa na povu una shida mahali
 
Tanzania, kwa maoni ya wengi, kujenga nyumba na kununua gari ndiyo kilele cha mafanikio. Kwangu nini sidhani kama tuko sahihi. Unaweza kuwa unaishi kwenye nyumba ya kupanga na unatumia usafiri wa public lakini ukawa na mafanikio kuliko mtu mwenye nyumba na gari.
Talk is cheap bruh, siku ukipitia chagamoto na mwenye nyumba anatishia kuifukuza familia yako ndio utelewa kwanini watu wana amani kwa kujenga nyumba zao za kuishi tu hata kama nyumba iko Chanika mwisho.
 
Kwenye. MUNGU hapo ndo vijana wanakwama

Kuna Andiko lako ulisema nguvu nyuma ya MTU supernatural power itamfanya afike anapopahitaji Kwa haraka . nakubaliana hili jambo.

Pia ulitoa mwongozo wa kuukataa uzinzi kuwa unaua Bahati na future nakubaliana na hilo pia.


Succces inawezekana ikiwa tutaishi Kwa MPANGO
Kuna kundi kubwa la vijana linasali na kumsifu huyo Mungu lakini bado maisha yao ni pangu pakavu tia mchuzi..

Hakuna mpango wa Mungu kwenye mafanikio ya binadamu.

Sera mbovu, siasa uchwara, mazingira ya rushwa, ujinga, elimu mbovu, serikali za hovyo ndio chanzo cha umaskini na ukosefu wa fursa kwa vijana wengi hasa barani Afrika.





Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Sikubaliani na hoja kuwa mipango ya kimaisha ya vijana wengi inaharibika kwasabb hawamhusishi ama hawamuombi Mungu. Wapo walokole ama mashekhe promax wamefika 50 bado hawana hata kitanda.

Kila mtu ana FATE yake, yaani Kila mtu kachorewa roadmap ya maisha yake na mwenyezi Mungu. Ndiyo maana akina Laizer wanaokota tanzanite yenye thamani ya mabilioni wakati wengine hata mia mbovu hamuokoti.
Hakuna Mungu anaye pangia watu maisha.

Huyo Mungu hayupo.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Talk is cheap bruh, siku ukipitia chagamoto na mwenye nyumba anatishia kuifukuza familia yako ndio utelewa kwanini watu wana amani kwa kujenga nyumba zao za kuishi tu hata kama nyumba iko Chanika mwisho.
Watu wanataka kuishi kwenye comfort zone ndo maana tunapambana tuwe na nyumba zetu na tusipange

jiulize kwanini wale wahindi wanaishi kwenye nyumba za kupanga maisha yao yote inamaana hao hawapatagi changamoto ya kodi
 
Kumbukumbu la Torati 28 haielezi hivyo mkuu
Tunazungumzia kufanikiwa kimwili kwa sababu kwa sasa sisi ni mwili.
Yesu Kwa miaka yake 33 duniani hakuwahi mmiliki nyumba Wala gari( punda) Kwa wakati Ule.

Nyumba na gari ni minor issue, muhimu ni tuutafute Ufalme wa Mungu na HAKIKA yake, hayo mengine tutazidishiwa.
 
Kuna kundi kubwa la vijana linasali na kumsifu huyo Mungu lakini bado maisha yao ni pangu pakavu tia mchuzi..

Hakuna mpango wa Mungu kwenye mafanikio ya binadamu.

Sera mbovu, siasa uchwara, mazingira ya rushwa, ujinga, elimu mbovu, serikali za hovyo ndio chanzo cha umaskini na ukosefu wa fursa kwa vijana wengi hasa barani Afrika.





Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Huo ni mtazamo wako
 
Sikubaliani na hoja kuwa mipango ya kimaisha ya vijana wengi inaharibika kwasabb hawamhusishi ama hawamuombi Mungu. Wapo walokole ama mashekhe promax wamefika 50 bado hawana hata kitanda.

Kila mtu ana FATE yake, yaani Kila mtu kachorewa roadmap ya maisha yake na mwenyezi Mungu. Ndiyo maana akina Laizer wanaokota tanzanite yenye thamani ya mabilioni wakati wengine hata mia mbovu hamuokoti.
Hapo kwa Laizer. "Kuokota" kuna biasi mkuu, Laizer naamini anawekeza Ili kupata lazima kuna pesa tena ya kutosha, muda, nguvu, imani, (usimamizi wa kila anacho kiweka). Ndo kuibuka na hizo bilions........babati ni fursa iliyokutana na maandalizi sahihi. Vinginevyo ni ubatili.
 
Back
Top Bottom