The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
Na zilikuwa na matusi na majigambo plus broken englishHotuba ndefu kama za Magufuli huwa zimejaa utapeli na ulaghai.
Hata MB 5 Nyingi mle ni KB kabisa... Yaani Debe tupu... Mtu hajawahi hata kuwaza kuwa RaisFlash ya 5mb unataka iweke movie ya 1gb
Mwache apumzike Bibi yetu
Fundi wa maneno kikwete Bwana
Msomali aliyekuwa kada wa CCM!!??Huyu hata swala la kuuwawa kwa askari 4 na yule Msomali sikuwahi kumsikia akiliongelea kabisa.
Au Mimi ndiye linipita bila kusikia?!
Ni kama hotuba za mkapa na kikwete za mwisho wa mwezi sikuwahi zi elewa hata nusu.Katika marais wote niliowashuhudia katika utu uzima wangu sijawahi kushuhudia rais anayeongea kwa kifupi kama huyu wa awamu ya sita. Anaongea kwa ufupi na mara tu yale aliyokusudia kuwasilisha yakiisha anamaliza hotuba yake.
Kwa kuwa nilizoea kusikia hotuba ndeefu za marais waliotangulia nilikua najua huenda ni taratibu za kiitifaki zinawalazimisha Kutoa hotuba ndefu. Kumbe inaoneokana ni utashi tu wa mtu binafsi na hobi binafsi ya kupenda kuzungumza mambo kwa kirefu!!
Msukuma mwenzenu alikuwa anatoa hotuba ndefu zenye pumba na matusi juu,Kama upo shollow hotuba ndefu utatoa wapi
Dikteta alikuwa anaongea pumba tu na matusi kibao na kusifia wake za watuNa zilikuwa na matusi na majigambo plus broken english
kwani nimesema msukuma mwenzetu ni standard? Labda NyerereMsukuma mwenzenu alikuwa anatoa hotuba ndefu zenye pumba na matusi juu,
Kenge nyinyi
Katika marais wote niliowashuhudia katika utu uzima wangu sijawahi kushuhudia rais anayeongea kwa kifupi kama huyu wa awamu ya sita. Anaongea kwa ufupi na mara tu yale aliyokusudia kuwasilisha yakiisha anamaliza hotuba yake.
Kwa kuwa nilizoea kusikia hotuba ndeefu za marais waliotangulia nilikua najua huenda ni taratibu za kiitifaki zinawalazimisha Kutoa hotuba ndefu. Kumbe inaoneokana ni utashi tu wa mtu binafsi na hobi binafsi ya kupenda kuzungumza mambo kwa kirefu!!
Shallow kwene nn Sasa wakati maraisi wana watu wa hotuba yani anayoyasoma yte unadhani wanaandika wao uo mda wautoe wapi....Kama upo shollow hotuba ndefu utatoa wapi