Kabla ya Samia kuwa Rais nilidhani ni lazima Rais wa nchi atoe hotuba ndeefu

Kabla ya Samia kuwa Rais nilidhani ni lazima Rais wa nchi atoe hotuba ndeefu

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
1,968
Reaction score
2,957
Katika marais wote niliowashuhudia katika utu uzima wangu sijawahi kushuhudia rais anayeongea kwa kifupi kama huyu wa awamu ya sita.

Anaongea kwa ufupi na mara tu yale aliyokusudia kuwasilisha yakiisha anamaliza hotuba yake.

Kwa kuwa nilizoea kusikia hotuba ndeefu za marais waliotangulia nilikua najua huenda ni taratibu za kiitifaki zinawalazimisha Kutoa hotuba ndefu.

Kumbe inaoneokana ni utashi tu wa mtu binafsi na hobi binafsi ya kupenda kuzungumza mambo kwa kirefu!!
 
Katika marais wote niliowashuhudia katika utu uzima wangu sijawahi kushuhudia rais anayeongea kwa kifupi kama huyu wa awamu ya sita. Anaongea kwa ufupi na mara tu yale aliyokusudia kuwasilisha yakiisha anamaliza hotuba yake.
Kwa kuwa nilizoea kusikia hotuba ndeefu za marais waliotangulia nilikua najua huenda ni taratibu za kiitifaki zinawalazimisha Kutoa hotuba ndefu. Kumbe inaoneokana ni utashi tu wa mtu binafsi na hobi binafsi ya kupenda kuzungumza mambo kwa kirefu!!
Ni kama hotuba za mkapa na kikwete za mwisho wa mwezi sikuwahi zi elewa hata nusu.
 
Katika marais wote niliowashuhudia katika utu uzima wangu sijawahi kushuhudia rais anayeongea kwa kifupi kama huyu wa awamu ya sita. Anaongea kwa ufupi na mara tu yale aliyokusudia kuwasilisha yakiisha anamaliza hotuba yake.
Kwa kuwa nilizoea kusikia hotuba ndeefu za marais waliotangulia nilikua najua huenda ni taratibu za kiitifaki zinawalazimisha Kutoa hotuba ndefu. Kumbe inaoneokana ni utashi tu wa mtu binafsi na hobi binafsi ya kupenda kuzungumza mambo kwa kirefu!!

Asante kwa kuliona hili huyu Madam Rais ndio kawaida yake hajaanza leo hata aikiwa makamu na kwingineko muda kwake ni mali. Japo kwa muktadha huu inabidi atafakari yapo mambo nje na bandari sasa kama hajipangi kwa hotuba shibishi kwa kero za wananchi akajikita kwenye kero chache akaacha zingine kama mfumuko wa bei na mengineyo ajipime kama anatoshea.

Ndio atajua hajui kuwa Magufuli alikuwa mwema ila alijivika kengele ili kutimiza majukumu ya uwajibikaji.

Kasoro zipo ila kukemea na kufuatilia, kutolea majibu haraka kwa kero ndio uongozi.

Tunashukuru na yeye yamkute ambayo hakujua akiwa makamu, aone ugumu wa urais na ubwete wa umakamu rais
 
Back
Top Bottom