Kabla ya vita USD 1 ilikuwa sawa na Rubles 77, sasa hivi ni sawa na Rubles 55. Tunajifunza nini kutokana na hali hii kama Taifa huru?

Soma hii article kama una uwezo wa kuelewa na itakufungua macho.
 
Imebidi nikaangalie, nimekuta kweli.

Dunia inamuinamia Russia.
 
Nimejifunza kuwa tuwapinge mashoga wote wakiongozwa na USA tukifanya hivyo thamani yao itashuka na yetu itaongezeka
 
Hatufanya utafiti wa kutosha kwa sababu ya kukosa uwezo. Miaka yote kuanzia 1970 utafiti umejikita Songosongo na maeneo ya karibu na Songosongo huko Lindi na Mtwara. Hivi karibuni utafiti mdogo huko Zanzibar ulionesha gesi hiyo inayoanzia Mtwara na Mozambique inafika hadi visiwa vya Zanzibar na Pemba. Bila shaka hadi bahari ya Tanga.

Hivi majuzi rais wetu amesema anakusudia kuliongezea uwezo shirika letu la TPDC ili longer kasi ya tafiti hizi ambazo gharama zake ni za gharama kubwa sana.
 
Viongozi wa Africa 95% wamelaaniwa na Mungu
 
Tafiti za kupiga pesa tupu
 
Hii mentality mbaya sana, kwahiyo Ukraine ivamiwe tu watu wake kimya kisa kuokoa uchumi wao binafsi?? Kwa akili kama hizi unadhani Mandela angepigania uhuru wa watu weusi South Africa maana kwa wakati ule uchumi wa Sauzi ulikua juu sana kuliko wa sasa and in fact waafrika Wana maisha magumu sasa kuliko hata kipindi wanabaguliwa tofauti ni uhuru tu ila umaskini umezidi.

So kwa ushauri wako huu Mandela angeacha kupigania uhuru sababu tu uchumi ulikua mzuri Sauzi sio??
 
Tembo Tena kuwanyofo pembe zao hpn utapigwa Vita na dunia nnzima
Mbona huyo OBC huko Loliondo anafanya trophy hunting? Mbona uchumi wa Rwanda unategemea sana mauzo ya trophy wanazozipata kutoka kwetu kwa kificho? Shida ni kuua tembo, kunyofoa trophy zao kitalaam under anesthesia by qualified wildlife veteran doctors.
 

Interest rate isn’t a controlling factor. Interest rate ya Tanzania haijawahi kuwa chini in recent history, yet kuporomoka kwa thamani ya shilling hakujawahi kukoma!
 

Sawa, lakini hii sio justification ya madai kwamba Tanzania ina natural gas nyingi kuliko Russia and Ukraine, combined!
 
Uchumi gani urusi umeimarika? Wakati mamilionea na matajiri na wafanyabiashara maelfu na maelfu wanatoroka kila siku kwasababu hali mbaya ya kiuchumi. Acheni ushabiki hali ya maisha urusi sasa hivi ni mvaya ba inazidi kuwa mbaya.
 
Interest rate isn’t a controlling factor. Interest rate ya Tanzania haijawahi kuwa chini in recent history, yet kuporomoka kwa thamani ya shilling hakujawahi kukoma!
Leo hii BOT ipandishe interest kwa asilimia 10 utaona kama shilingi haitapanda. Ila sasa maumivu kwa raia itakuwa balaa. Hiyo mikopo mtu analipa laki mbili kwa mwezi, atatakiwa kulipa laki nne.

Interest rate ni factor mojawapo ya ku control thamani ya pesa. Ukishusha interest thamani ya pesa inapungua kwasababu pesa nyingi zinakuwa mitaani. Ukipandisha interest pesa nyingi zinarudi bank na hivyo thamni yake inapanda.

Of course kuna factors zingine pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…