Kaburi la Petro(Simoni bar-yona) lipo Jerusalem na siyo Roma

Kaburi la Petro(Simoni bar-yona) lipo Jerusalem na siyo Roma

Kwa taarifa yako hata mimi nilikuwa MKATOLIKI na baada yakufundishwa UWONGO, niliamua kuitafuta KWELI. Nilipoijua KWELI nikaona nisikae kimya wacha niwajulishe na wengine ili na wao waijue KWELI. Huwezi kuujua uchafu wa nyumba kama uko nje ya nyumba na hujawahi kuingia ndani.

Kwa taarifa yako Bagatti alihojiwa na akakiri kila kitu ingawa hakuandika kwenye kitabu chake. Kuna watu waliongea na akina Bagatti na wakaamua kwenda Jerusalemu kuutafuta UKWELI na wakauona kwa macho yao. Sasa wewe endelea kuogelea kwenye UWONGO wa Kanisa Katoliki. Hata baadhi ya Mapre wa Kanisa Katoliki wapo Jerusalemu na wanakuambia ni kweli Petro alifia Jerusalemu na kuzikwa huko. Lakini kamwe hawewezi kusimama hadharani na kuongea hivi vitu.
Sasa we mbona unataka utulazimishe maneno yako yana ukwel bila ushahidi wowote wakina nani hao
 
Hizo barua zote mimi nazifahamu na wala hazina UKWELI wowote ule. Barua hizo ni za kutungwa tu baadhi ya watu. Mtu aliyeutengeneza UWONGO ni rahisi sana kwake kutengeneza UWONGO mwingine ili apate majibu ya kuwapatia watu wanaojaribu kuhoji. Kanisa Katoliki limetengeneza barua nyingi sana ambazo zote ni za uwongo. Barua zote hizi ama WARAKA hazipo ndani ya BIBLIA kabisa.

Mfano mzuri ni barua liliyoandikwa na Gaius kati ya mwaka 170 na 180. Barua hizi siyo za kweli hata kidogo. Maandiko mengine yanayohifadhiwa na Kanisa hilo ni kama The Apocryphal Acts of Peter. Kama maandiko haya yangekuwa Genuine yangejumuishwa kwenye Biblia. Nasema hivyo sababu wote tunajua kuwa vitabu vilivyojumuishwa kwenye Biblia vilijumuishwa kwa MWONGOZO wa ROHO MTAKATIFU. Kila andiko lililoachwa nje ya Biblia halikuwa sahihi kwa mafundisho ya KIKRISTO. MUNGU anatenda kazi sana na kuna watu wanafikiri ni rahisi tu kushindana naye. Kanisa katoliki linamilikiwa na Ibilisi na anafikiri atamshinda MUNGU, lakini kamwe hawezi kumshinda MUNGU.

Kanisa Katoliki lina waumini takribani bilioni mbili kwa sasa. Hii ni idadi ya wale wanaoshi achilia mbali wale waliokwisha kufa miaka kama 2000 iliyopita.

Ikiwa Kanisa Katoliki la idadi hiyo ya waumini ni la Kishetani ina maana Mungu hana nguvu na uweza dhidi ya shetani kiasi kwamba Mungu anaangalia tu watu wote hao ambao ni mali yake watapeliwe na shetani?
 
Kuuona ufalme wa mungu, sio kuwa mkatoliki, sio kuwa msabato, sio kuwa mlutheri na kadhalka... kufuata mafundisho ya mungu au kutenda matendo mema ndiko kutamfanya binadamu auone ufalme wa mungu. Yesu hakuwahi kusema dhehebu gani ni la mungu. Yesu kafundisha watu kufanya mema ndiko kutamfanya mtu auone ufalme wa mungu. Madhehebu yote yana nia moja tu. Kufundisha mema na kufuata mafundisho ya mungu.
Acha kujidanganya mkuu, kama dhehebu lako linakufundisha kusali na kumwomba mtu aliyekufa wakati Biblia inakufundisha ukisali umwombe MUNGU peke yake, unafikiri siku ya mwisho utabakia salama kweli?

Kama Biblia imekataza usichonge sanamu wala usiitumikie, halafu dhehebu lako linakuuzia sanamu na wewe unasali huku ukiwa umepiga magoti mbele ya sanamu unafikiri siku ya mwisho utabaki salama??

Kama Biblia inakufundisha kuwa hakuna AMRI YA MUNGU hata moja iliyofutwa, halafu dhehebu lako linakufundisha kudharau baadhi ya AMRI za MUNGU, Je! unafikiri siku ya mwisho utabakia salama mkuu?

Mkuu kuna madhehebu yanafundisha kinyume kabisa na MAANDIKO. Hivyo ukiwa muumini wa madhehebu ya aina hiyo, UFALME WA MUNGU utausikia tu.
 
Kanisa Katoliki lina waumini takribani bilioni mbili kwa sasa. Hii ni idadi ya wale wanaoshi achilia mbali wale waliokwisha kufa miaka kama 2000 iliyopita.

Ikiwa Kanisa Katoliki la idadi hiyo ya waumini ni la Kishetani ina maana Mungu hana nguvu na uweza dhidi ya shetani kiasi kwamba Mungu anaangalia tu watu wote hao ambao ni mali yake watapeliwe na shetani?
Imeandikwa wale watakao ingia kwenye UFALME wa MUNGU watakuwa ni kundi dogo sana. LUKA 12:32. Pia imeandikwa kwa sababu ya kupenda kwao udanganyifu, MUNGU amewaacha wapotee kwenye udanganyifu, WARUMI 1:28-32. Tena imeandikwa wao watakao mtafuta MUNGU kwa bidii basi watamwona, YEREMIA 29:13
 
Mimi sina dhehebu mkuu. Imeandikwa hivi; "Basi maana yangu ni hii, ya kwamba kila mtu wa kwenu husema, mimi ni wa Paulo, na mimi ni wa Apolo, na mimi ni wa Kefa, na mimi ni wa Kristo. Je! Kristo amegawanyika? Je! Paulo alisulubiwa kwa ajili yenu? Au Je! Mlibatizwa kwa jina la Paulo?" 1 WAKORINTHO 1:12-13

Wewe ukisema ni wa dhehebu fulani, Je! ulibatizwa kwa jina la dhehebu lako?? Nafikiri utakuwa umenielewa mkuu. Mimi sina dhehebu, mimi namwamini KRISTO na kuishi kwa kuzishika AMRI za MUNGU. Siyo kama sina dhambi au siyo kama sikosei, nakosea sana lakini, kwa IMANI nitaishi na kwa NEEMA za MUNGU wetu ninasamehewa makosa yangu.
Aaah! Kumbe na wewe ni mdhambi kiasi cha kufichama! Basi kalale, samahani nilipotea njia.
Usingizi mwema.
 
Acha kujidanganya mkuu, kama dhehebu lako linakufundisha kusali na kumwomba mtu aliyekufa wakati Biblia inakufundisha ukisali umwombe MUNGU peke yake, unafikiri siku ya mwisho utabakia salama kweli?

Kama Biblia imekataza usichonge sanamu wala usiitumikie, halafu dhehebu lako linakuuzia sanamu na wewe unasali huku ukiwa umepiga magoti mbele ya sanamu unafikiri siku ya mwisho utabaki salama??

Kama Biblia inakufundisha kuwa hakuna AMRI YA MUNGU hata moja iliyofutwa, halafu dhehebu lako linakufundisha kudharau baadhi ya AMRI za MUNGU, Je! unafikiri siku ya mwisho utabakia salama mkuu?

Mkuu kuna madhehebu yanafundisha kinyume kabisa na MAANDIKO. Hivyo ukiwa muumini wa madhehebu ya aina hiyo, UFALME WA MUNGU utausikia tu.
Wewe huna dhehebu utaongeleaje madhehebu!
 
Unachekesha unavyoviandika kweli we punguani kumbe mnadanganywa sana
 
Mvinyo tulionyweshwa na rc ni mkali sana si rahisi kuzinduka
Ha ha ha ha ha ha, umenichekesha sana mkuu Pierreeppah , tena imeandikwa hakuna anywae mvinyo wa zamani, akatamani mvinyo mpya, kwa kuwa asema ile ya kale ndiyo iliyo njema. LUKA 5:39.
 
Umeanza kupinga na bible sasa eti petro hakukanyaga roma
 
Unachekesha unavyoviandika kweli we punguani kumbe mnadanganywa sana
Ukimsoma kuanzia post ya kwanza hadi ya mwisho huwezi kukosea kuhitimisha kama ulivyosema. Anaandika lolote linalomjia kichwani pasipo kuangalia kama yanahusiana. Kama vile kuna kitu hakipo sawa pahala.
 
Unachekesha unavyoviandika kweli we punguani kumbe mnadanganywa sana
Nashukuru mkuu, hata YESU MWANA WA MUNGU alitukanwa sana tu itakuwa mimi? Kama MFALME alipigwa makofi na kutemewa mate itakuwaje kwa mtumishi wa MFALME?

Ubarikiwe mkuu.
 
Nashukuru mkuu, hata YESU MWANA WA MUNGU alitukanwa sana tu itakuwa mimi? Kama MFALME alipigwa makofi na kutemewa mate itakuwaje kwa mtumishi wa MFALME?

Ubarikiwe mkuu.
Mkuu!
Hebu pitia post zako tangu ya kwanza, comments za wengine na response zako. Kuna kitu hakipo sawa ati.
 
Ukimsoma kuanzia post ya kwanza hadi ya mwisho huwezi kukosea kuhitimisha kama ulivyosema. Anaandika lolote linalomjia kichwani pasipo kuangalia kama yanahusiana. Kama vile kuna kitu hakipo sawa pahala.
Huwezi ukaelewa hata kidogo sababu wewe umezongwa na "udanganyifu wa ibilisi", una masikio lakini husikii hata ukisikia huelewi, una macho huoni hata ukiona hutambui. Kaa vivyo hivyo kwenye upotevu wako mkuu.
 
Mkuu hili Kanisa Katoliki linafundisha uwongo sana. Hakuna ushahidi wowote hata wa kihistoria tu unao onesha kuwa Mtume Petro aliwahi kuishi Roma. Hakika kabisa Kanisa hili ni adui namba moja wa UKRISTO duniani.
Ikiwa huamini au unaamini Petro aliishi/hakuishi Roma je kunakupunguzia au kukuongezea nini katika njia yako ya kuirithi mbingu? Je kwapunguza nini ikiwa Petro hakuzikwa Roma katika imani katoliki ambayo ambayo imejengwa katika kuamini ya kuwa Kristo mwenyewe ndio njia ya kweli na uzima?
Kama imani katoliki inayofundisha Yesu ndio njia ya kweli na uzima ni adui wa ukristo basi hakika wewe ni ant-christ
 
waisraeli wajanja sana wanaandaa conspiracy theory nyingi zinazoegemea upande wao kwa manufaa yao binafsi [HASHTAG]#edjewcation[/HASHTAG]
 
Nioneshe kwenye Biblia panaposema Petro alikwenda Roma. Niwekee hapa mistari mkuu.
Acha ujinga kutafuta sifa za kipuuuzi dogo..unachokifanya apa kupinga hakikuongezi chkchote..ndezi kabisa
 
Mkuu Son of Gamba
Nimekupa ushauri, unaweza ukaupuuzia ukipenda lakini pia hutapungukiwa na kitu ukiufanyia kazi. Ni kwa nia njema kabisa.
 
Back
Top Bottom