Uchaguzi 2020 Kachero Mbobevu Bernard Membe atua nchini, adai ukata umepelekea kusuasua kwa Kampeni za Vyama vya Upinzani nchini

Hizi kauli za huyu mwamba ni kama anampigia kampeni Magufuli hivi? au
 
Typical of Membe! Hakuna mpangilio wa maneno. Hakuna maneno yenye mvuto. Hakuna muelekeo wa kiongozi.
Hapo ACT ipate kura ya nani? Anayewapa kura ni Maalim kule Z'bar, basi!
Mbona unaweweseka sana juu ya wapinzani?
 
Umempatia jibu zuri sana labda atakuelewa mkuu
 
Chadema mfano imepata ruzuku mabilioni na michango ya kila mwezi ya wabunge madiwani ilipeleka wapi? Haikujua kuna uchaguzi ?
Yaani cdm kweli imewashika sehemu mbaya sana, huu uzi unahusika na mgombea wa ACT wazalendo, wewe unaijumlisha cdm?
 
Kwanini picha ya zitto,kwanini wasiweke picha ya mgombea urais ili kumtambulisha kwa wapiga kura au anaomba kwa ajili ya kampeni za jimboni kwake?
Hili nalo ni jambo la msingi sana, ila inawezekana labda ni kutokana na ugeni wa mgombea wa ACT mh Membe kwenye chama ndiyo maana ikawekwa picha ya Zitto
 
ccm haiwez kupinduliwa
 
Kuna malalamiko kwanini ameenda Dubai kipindi hiki, huwa naenda Dubai mara nne kwa mwaka, kuna kampuni mimi ni mwanachama, sasa sikwenda mara mbili sasa nimeenda, lakini pia nimekwenda kucheki afya yangu,”
kucheki afya tu ni dubai,halafu anataka urais
 
Sasa hapo si ndio ingekua nafasi nzuri ya kumtambulisha mgeni wao
Hili nalo ni jambo la msingi sana, ila inawezekana labda ni kutokana na ugeni wa mgombea wa ACT mh Membe kwenye chama ndiyo maana ikawekwa picha ya Zitto
 
Atuambie kikao chake na wale waarabu wa libya na huyu muuza magari shinyanga kilihusu nini?
Je wamemruhusu kuchota sehemu ya ile pesa ya ghadaffi?

Aisha mulikwa huko muda ni shahidi mzuri
 
Aisee haya ni maswali makubwa sana ya kujiuliza
 
Jiandaeni kisaikolojia maana Lissu ndiyo rais wako wa awamu ya sita. View attachment 1570758
Jiandae kisaikolojia weye na huyo mtu maana baada ya uchaguzi inabidi aingie mahakamani kujibu yale madudu aliyoyakimbia muda wote huko ubeligiji......andaeni namba nyingi za mpesa kuchangia gharama za kamanda utopolo akihenya mahakamani
 
Jiandae kisaikolojia weye na huyo mtu maana baada ya uchaguzi inabidi aingie mahakamani kujibu yale madudu aliyoyakimbia muda wote huko ubeligiji......andaeni namba nyingi za mpesa kuchangia gharama za kamanda utopolo akihenya mahakamani
Nakuona kama wewe ni mgeni wa mh Lissu, huyo ndiye mwamba wa mambo ya kisheria hababaishwi na lolote kinalo andaliwa juu yake na maccm.

Lissu ni mpango au zawadi ya kutoka kwa Mungu ili aje kuwakomboa watanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…