Kafariki akiwa amejifungia ndani ya ofisi yake, Mke wake alaumiwa

Kafariki akiwa amejifungia ndani ya ofisi yake, Mke wake alaumiwa

Kwenye maisha jitahidi kuwa na mtu mmoja wa kushare nae matatizo mzungumze inapotokea tatizo atakupa ushauri hata kama hautakua mzuri ila ile nguvu utakayotumia kumsikiliza huwezi kukosa kitu !!! Kama huna rafiki wa karibu basi kaa chini uandike ndo maana leo tuna vitabu kama ZABURI na MAOMBOLEZO zile zilikua hisia za mtu akazihamishia kwenye maandishi 😂😂 wanaume kulia ni nadra sana!

Umenikumbusha kisa fulani miaka ya 1990's rafiki yangu mmoja alikua anapata mafunzo katika taasisi mojawapo kubwa ya Dini ili awe kiongozi wa imani kwa ile dini ambayo viongozi hawaoi wala kuolewa hufunga ndoa na Kanisa , basi jamaa alienda vizuri akawa amepita hatua karibu zote mwezi mmoja kabla ya kusimikwa awe kiongozi wa imani ikatoka taarifa kwa amesimamisha sababu haijulikani nadhani ni mambo ya familia ndo yalifanya asimamishwe !! Haikuwekwa wazi !

Watu wote tulisikitika kweli maana ilikua ishapitishwa mchango kwa ajili ya zawadi sijui kumnunulia gari mambo kibao pia mpaka upitie hatua zote sijui theology mara malezi na maadili ni miaka mingi sana ukichanganya na ya shule inaweza kwenda 21+
Kwa kweli jamaa alipata Depression akaanza kuongea mwenyewe matendo yake yakawa sio ya kawaida alikosa hata mtu wa kuongea nae nadhani maana alikua pure introvert baada ya Siku kadhaa alikutwa tu ndani amefariki ilikua imepita siku kama tano toka afariki.
 
Mtoa mada pole kwa kufiwa na uncle wako na jirani yako,pole sana ,ila kwangu ninakuona ni mtu mwenye utawala na ukatili wa kidume, why ulaumu mke kama ndio tatizo?,why marehemu aliamua kulala kwenye frem na sio nyumbani?,alikuwa ni coward?kabla ya ku sort out matatizo yeye akaamua kuyakimbia, hope pathologist (kama yupo na sio GP)ataufanyia mwili wa marehemu postmortem kujua chanzo cha kifo, binafsi definitely sio mke wake
 
Imetokea leo mchana maeneo ya kituo cha bandari kurasini.. kuna jamaa ana ofisi yake (frame) ya kuziba pancha na kuongeza upepo ni jirani yetu kabisa na ofisi yetu ndogo (branch) ambayo hua napita siku moja kila wiki. Huyu jamaa ni mkimya sana sijawahi kuzoeana nae ila salamu tu na nimewahi kumuomba chenji mara kadhaa.

Sasa basi asubuhi ile nafika tu pale ofisini nje nilikuta watu wanne wanaongea wanajadili kua jamaa hajafungua ofisi siku ya pili, simu yake haipatikani na wana wasiwasi yumo mule ndan mana amekua akilala ndani ya ile frame yake kwa wiki kadhaa baada ya kukorofishana na mke wake.

Nilitoa salamu, nikasikiliza mawili matatu ya wale jamaa nikaingia ndani.. kijana wa pale ofisini akaanza kunipa mkasa mzima coz yeye anashinda pale daily.. akanieleza yule jamaa alikua ni mlevi sana ila mawiki kadhaa alizidisha ulevi wa kupindukia na chanzo anasema alikua na ugomvi na mke wake hadi kupelekea kuhama kwake akaanza kulala mule ofisini. Hii ishu walikua wanajua watu wachache sana mana jamaa ni mkimya mno.

Basi kama mnavojua protocol za kibongo kuchelewesha mambo, jamaa baada ya kushauriana pale walimfata mwenye nyumba anaekaa nyuma ya zile frame kumshirikisha juu ya hofu yao kua jamaa yumo mule ndani, mwenye nyumba akaenda kwa mjumbe kaandikiwa barua wakaenda polisi ili waje nao pale wabomoe kuingia .. hizi taratibu zote zilichukua masaa mengi yan mpaka polisi wanakuja pale ni saa 8 mchana, hili nalo lilinikera sana!

Walimkuta kweli jamaa kajikunyata sakafuni mule ndan anatoka mapovu ila bado anapumua ndio kumpandisha gar kumuwahisha hospital ya bandari amabapo haikuchukua round akaaga uhai.

Watu wanamlaumu mke wake jamaa kufa kwa style ile kidhalili japo wote hatujui ugomvi wao ni wa nn, mwenye nyumba kapagawa anawaomba wapangaj wote wasiseme kua jamaa alikua analala pale kuepuka usumbufu wa upelelezi.

Mchana huo huo nikapokea taarifa ya mjomba wangu kapata ajali mbaya sana ya gari mkoani na kufariki hapo hapo, eeh Mungu tunaomba mwisho mwema 🤲

Haya maisha jamani, kila mtu ana mzigo wake anaotembea nao kila siku na yeye pekee ndio anajua yanayomsibu..hakuna mwalimu bora zaidi ya muda na yote tunayopitia ni sehemu ya mafunzo.
dronedrake hii habari ya kusikitisha kwamba ndoa imeua je imeshafika dawatini kwako?


Rest in Power mwanaume mwenzetu
 
Imetokea leo mchana maeneo ya kituo cha bandari kurasini.. kuna jamaa ana ofisi yake (frame) ya kuziba pancha na kuongeza upepo ni jirani yetu kabisa na ofisi yetu ndogo (branch) ambayo hua napita siku moja kila wiki. Huyu jamaa ni mkimya sana sijawahi kuzoeana nae ila salamu tu na nimewahi kumuomba chenji mara kadhaa.

Sasa basi asubuhi ile nafika tu pale ofisini nje nilikuta watu wanne wanaongea wanajadili kua jamaa hajafungua ofisi siku ya pili, simu yake haipatikani na wana wasiwasi yumo mule ndan mana amekua akilala ndani ya ile frame yake kwa wiki kadhaa baada ya kukorofishana na mke wake.

Nilitoa salamu, nikasikiliza mawili matatu ya wale jamaa nikaingia ndani.. kijana wa pale ofisini akaanza kunipa mkasa mzima coz yeye anashinda pale daily.. akanieleza yule jamaa alikua ni mlevi sana ila mawiki kadhaa alizidisha ulevi wa kupindukia na chanzo anasema alikua na ugomvi na mke wake hadi kupelekea kuhama kwake akaanza kulala mule ofisini. Hii ishu walikua wanajua watu wachache sana mana jamaa ni mkimya mno.

Basi kama mnavojua protocol za kibongo kuchelewesha mambo, jamaa baada ya kushauriana pale walimfata mwenye nyumba anaekaa nyuma ya zile frame kumshirikisha juu ya hofu yao kua jamaa yumo mule ndani, mwenye nyumba akaenda kwa mjumbe kaandikiwa barua wakaenda polisi ili waje nao pale wabomoe kuingia .. hizi taratibu zote zilichukua masaa mengi yan mpaka polisi wanakuja pale ni saa 8 mchana, hili nalo lilinikera sana!

Walimkuta kweli jamaa kajikunyata sakafuni mule ndan anatoka mapovu ila bado anapumua ndio kumpandisha gar kumuwahisha hospital ya bandari amabapo haikuchukua round akaaga uhai.

Watu wanamlaumu mke wake jamaa kufa kwa style ile kidhalili japo wote hatujui ugomvi wao ni wa nn, mwenye nyumba kapagawa anawaomba wapangaj wote wasiseme kua jamaa alikua analala pale kuepuka usumbufu wa upelelezi.

Mchana huo huo nikapokea taarifa ya mjomba wangu kapata ajali mbaya sana ya gari mkoani na kufariki hapo hapo, eeh Mungu tunaomba mwisho mwema [emoji2969]

Haya maisha jamani, kila mtu ana mzigo wake anaotembea nao kila siku na yeye pekee ndio anajua yanayomsibu..hakuna mwalimu bora zaidi ya muda na yote tunayopitia ni sehemu ya mafunzo.
#Kataa ndoa!
 
Mume wake siku 2 hajaonekana kweli mwanamke anayakalisha tu matako ndani hana hata wasiwasi
Huwezi judge maana hujui walikuwa wanaishi vipi. Kuna wanaume kutokurudi nyumbani hata wiki ni kawaida yao.

Mnahukumu tu bila kujua sababu ni nini. Huyo mwenzenu nae hana akili...unaachaje nyumba yako unaenda kulala kwenye frame ya biashara?
Badala ya kutatua tatizo unakimbia ili iweje? Ndoa ikikushinda si unaacha kwani kuna mtu anakulazimisha.

Mnapoambiwa ishini nao kwa akili muwe mnazingatia. Tatizo lenu hizo akili sijui mmeziweka wapi.

Kila kitu ni lawama na kulialia kila siku mmekuwa hamna tofauti na watoto wa kike mnauaibisha uanaume wenu.
 
Kuna jamaa yetu nae amefariki juzi,alikuwa amebadilika na kuwa mtu wa mawazo sana,na jamaa yake wa karibu anasema alikuwa na walikuwa ugomvi na mkewe kwa muda mrefu na alikuwa anajipnga Amuachie mke nyumba na kwenda kuanzisha mji mwingine...juzi ametoka job homa ghafra na kufariki..
 
Imetokea leo mchana maeneo ya kituo cha bandari kurasini.. kuna jamaa ana ofisi yake (frame) ya kuziba pancha na kuongeza upepo ni jirani yetu kabisa na ofisi yetu ndogo (branch) ambayo hua napita siku moja kila wiki. Huyu jamaa ni mkimya sana sijawahi kuzoeana nae ila salamu tu na nimewahi kumuomba chenji mara kadhaa.

Sasa basi asubuhi ile nafika tu pale ofisini nje nilikuta watu wanne wanaongea wanajadili kua jamaa hajafungua ofisi siku ya pili, simu yake haipatikani na wana wasiwasi yumo mule ndan mana amekua akilala ndani ya ile frame yake kwa wiki kadhaa baada ya kukorofishana na mke wake.

Nilitoa salamu, nikasikiliza mawili matatu ya wale jamaa nikaingia ndani.. kijana wa pale ofisini akaanza kunipa mkasa mzima coz yeye anashinda pale daily.. akanieleza yule jamaa alikua ni mlevi sana ila mawiki kadhaa alizidisha ulevi wa kupindukia na chanzo anasema alikua na ugomvi na mke wake hadi kupelekea kuhama kwake akaanza kulala mule ofisini. Hii ishu walikua wanajua watu wachache sana mana jamaa ni mkimya mno.

Basi kama mnavojua protocol za kibongo kuchelewesha mambo, jamaa baada ya kushauriana pale walimfata mwenye nyumba anaekaa nyuma ya zile frame kumshirikisha juu ya hofu yao kua jamaa yumo mule ndani, mwenye nyumba akaenda kwa mjumbe kaandikiwa barua wakaenda polisi ili waje nao pale wabomoe kuingia .. hizi taratibu zote zilichukua masaa mengi yan mpaka polisi wanakuja pale ni saa 8 mchana, hili nalo lilinikera sana!

Walimkuta kweli jamaa kajikunyata sakafuni mule ndan anatoka mapovu ila bado anapumua ndio kumpandisha gar kumuwahisha hospital ya bandari amabapo haikuchukua round akaaga uhai.

Watu wanamlaumu mke wake jamaa kufa kwa style ile kidhalili japo wote hatujui ugomvi wao ni wa nn, mwenye nyumba kapagawa anawaomba wapangaj wote wasiseme kua jamaa alikua analala pale kuepuka usumbufu wa upelelezi.

Mchana huo huo nikapokea taarifa ya mjomba wangu kapata ajali mbaya sana ya gari mkoani na kufariki hapo hapo, eeh Mungu tunaomba mwisho mwema 🤲

Haya maisha jamani, kila mtu ana mzigo wake anaotembea nao kila siku na yeye pekee ndio anajua yanayomsibu..hakuna mwalimu bora zaidi ya muda na yote tunayopitia ni sehemu ya mafunzo.
Aise
 
Huwezi judge maana hujui walikuwa wanaishi vipi. Kuna wanaume kutokurudi nyumbani hata wiki ni kawaida yao.

Mnahukumu tu bila kujua sababu ni nini. Huyo mwenzenu nae hana akili...unaachaje nyumba yako unaenda kulala kwenye frame ya biashara?
Badala ya kutatua tatizo unakimbia ili iweje? Ndoa ikikushinda si unaacha kwani kuna mtu anakulazimisha.

Mnapoambiwa ishini nao kwa akili muwe mnazingatia. Tatizo lenu hizo akili sijui mmeziweka wapi.

Kila kitu ni lawama na kulialia kila siku mmekuwa hamna tofauti na watoto wa kike
Ushaambiwa haikuwa kawaida kulala nje ya kwake. Mke angekuwa ni mtu wa maana angeulizia mume wake yuko wapi

Ameanza kulala kwenye frame baada ya kukorofishana na mke wake

Huyo mke ni mkatili
 
Mtoa mada pole kwa kufiwa na uncle wako na jirani yako,pole sana ,ila kwangu ninakuona ni mtu mwenye utawala na ukatili wa kidume, why ulaumu mke kama ndio tatizo?,why marehemu aliamua kulala kwenye frem na sio nyumbani?,alikuwa ni coward?kabla ya ku sort out matatizo yeye akaamua kuyakimbia, hope pathologist (kama yupo na sio GP)ataufanyia mwili wa marehemu postmortem kujua chanzo cha kifo, binafsi definitely sio mke wake
Asante mkuu, ukisoma vizuri utaona sijalaumu mahala mke. Hata hii ishu nimeandika kama third party tu yani niliyoyasikia pale tena haswa kwa yule mfanyakaz mwenzangu mana wale wako pale kila siku.. wale ndo walikua wanamlaumu mkewe coz ana zaidi ya wiki 2 analala mule ila kiukweli sikuuliza waligombania nn na wala sijajua.
 
Ushaambiwa haikuwa kawaida kulala nje ya kwake. Mke angekuwa ni mtu wa maana angeulizia mume wake yuko wapi

Ameanza kulala kwenye frame baada ya kukorofishana na mke wake

Huyo mke ni mkatili
Ni mengi hatuyajui huwezi kulaumu tu kwa kufikiria.
Mwanaume hajitambui ni wale wasiojua kusolve matatizo. Labda hiyo nyumba sio yake. Mwanaume wa kiafrika hakimbii nyumba...mke ndo atafukuzwa.
 
Back
Top Bottom