Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanawake hawana Huruma wapo kwa ajili ya kuua wanaume
Good Observation Mkuu 🤝Soma maelezo, habari inasema jamaa alianza kulala kwenye fremu hivyo mke anajua kuwa mumewe analala ofisini kwake kwasababu ya ugomvi na hili pia hata hao jamaa waliomkuta kafa walikuwa wanajua analala kwenye frem unapoachanganya wewe kwenye kifo Kama siku mbili hakuonaka ndio hao jamaa majirani wa ofisi yake wanadhani huenda kajifungia kwa siku mbili kumbuka ni kawaida yame kunifungia usiku na kutoka usiku NOT PROBLEM, tatizo ni pale walioona kajifungia mazima LAKINI hili lakujifungia mazima kwa mke yeye hakulijua maana yeye hayupo hapo sehemu ya fremu anachojua kuwa AS NORMAL kuwa mume wangu analala na kuamka kazini kwake HAKUNA NJIWA aliyebebba ujuembe na kumpelekea Mke kuwa eti leo huko kwenye fremu mumeo ajajifunguli mlango kijifungia tu.
Mke Hana kosa lolote lile tusome maelezo vizuri
Wakataa ndoa clique 😁Wanawake hawana Huruma wapo kwa ajili ya kuua wanaume
Umesoma Cuba wapi wewe maamuma. Huna lolote umesoma Nyampulukano na unajifanya umesoma Cuba. Kwani nimeandika Nini kibaya au kizuri mpaka PM yangu ijaye? Atakayeijaza PM yangu nani? Pumbavu kabisa wewe.Tuliosoma Cuba tumeshaielewa point yako. Komaa fungua PM watakuja.
Huyo mkewe kama ananisikia ni nyau wa porini mwenye roho ya uuaji.Soma maelezo, habari inasema jamaa alianza kulala kwenye fremu hivyo mke anajua kuwa mumewe analala ofisini kwake kwasababu ya ugomvi na hili pia hata hao jamaa waliomkuta kafa walikuwa wanajua analala kwenye frem unapoachanganya wewe kwenye kifo Kama siku mbili hakuonaka ndio hao jamaa majirani wa ofisi yake wanadhani huenda kajifungia kwa siku mbili kumbuka ni kawaida yame kunifungia usiku na kutoka usiku NOT PROBLEM, tatizo ni pale walioona kajifungia mazima LAKINI hili lakujifungia mazima kwa mke yeye hakulijua maana yeye hayupo hapo sehemu ya fremu anachojua kuwa AS NORMAL kuwa mume wangu analala na kuamka kazini kwake HAKUNA NJIWA aliyebebba ujuembe na kumpelekea Mke kuwa eti leo huko kwenye fremu mumeo ajajifunguli mlango kijifungia tu.
Mke Hana kosa lolote lile tusome maelezo vizuri
Kumbe jamaa alikua kajenga mbagala kwa mbiku ila alihama nyumba yake, walikua na watoto wawili miaka 7 na miaka 3, mwenzangu niliongea nae tena leo eti kuna ndugu wa marehem wamekuja pale kuwasalimia majirani pale na walikua wanauliza maswali kama flan alikua na kauli za aina gani siku za hivi karibuni?Huyo mkewe kama ananisikia ni nyau wa porini mwenye roho ya uuaji.
Dar es salaam tunayoijua ni nan atabeba jukumu la kumpelekea huyo chunusi mla damu ujumbe kwamba amejifungia dukani? Hata kama ugomvi ungehusu nini.
Kwanini amekuwa mbinafsi kiasi cha kutojali watt ambao najua wanao.?
Na je ametumia nguvu gani mpaka huyo marehemu akaogopa na kuona yeye ndiye anafaa kukimbia nyumba ingawa hatujajua kama walikuwa wamepanga au wamejenga?
Nimemulika nikaona hata huo ukimya na ulevi umeletwa na dis apointments alizoziona kwa huyo mjaa mauti. Ambao mnadhani mko kwenye mikono salama endeleeni kujiachia na kubweteka. [emoji4]
[emoji23][emoji23][emoji23]Ndio maana sasa umeamua uolewe na mwanaume mwenzio ili usife?
😳😳😳mmmhWanawake hawana Huruma wapo kwa ajili ya kuua wanaume
😅😅Ndio maana sasa umeamua uolewe na mwanaume mwenzio ili usife?
Duuuh! nimecheka ndg. Lakini ukweli ndio huo. Ukiwa mzembe mbele ya mwanamke hutachelewa kufa. Chakufanya sasa. 1. Ishi naye kwa akili (kama unazo akili). 2. Usiweke moyoni kila kwazo la kiumbe huyu. Mchukulie mwanamke kama mtoto ingawa yeye ana umri mkubwa. 3. 4. 5. 6........Wanawake hawana Huruma wapo kwa ajili ya kuua wanaume
So sad aisee. Mungu azilaze roho za marehemu mahali pema. Wengine wanafariki wakiwa na huzuni, wengine wakiwa na furaha alafu gafra paaap ajari hiyo mbele 😭😭🙏Imetokea leo mchana maeneo ya kituo cha bandari Kurasini. Kuna jamaa ana ofisi yake (frame) ya kuziba pancha na kuongeza upepo ni jirani yetu kabisa na ofisi yetu ndogo (branch) ambayo huwa napita siku moja kila wiki.
Huyu jamaa ni mkimya sana sijawahi kuzoeana nae ila salamu tu na nimewahi kumuomba chenji mara kadhaa.
Sasa basi asubuhi ile nafika tu pale ofisini nje nilikuta watu wanne wanaongea wanajadili kuwa jamaa hajafungua ofisi siku ya pili, simu yake haipatikani na wana wasiwasi yumo mule ndani maana amekuwa akilala ndani ya ile frame yake kwa wiki kadhaa baada ya kukorofishana na mke wake.
Nilitoa salamu, nikasikiliza mawili matatu ya wale jamaa nikaingia ndani. Kijana wa pale ofisini akaanza kunipa mkasa mzima coz yeye anashinda pale daily. Akanieleza yule jamaa alikuwa ni mlevi sana ila wiki kadhaa alizidisha ulevi wa kupindukia na chanzo anasema alikuwa na ugomvi na mke wake hadi kupelekea kuhama kwake akaanza kulala mule ofisini. Hii ishu walikuwa wanajua watu wachache sana mana jamaa ni mkimya mno.
Basi kama mnavojua protocol za kibongo kuchelewesha mambo, jamaa baada ya kushauriana pale walimfata mwenye nyumba anaekaa nyuma ya zile frame kumshirikisha juu ya hofu yao kuwa jamaa yumo mule ndani, mwenye nyumba akaenda kwa mjumbe kaandikiwa barua wakaenda polisi ili waje nao pale wabomoe kuingia
Hizi taratibu zote zilichukua saa nyingi yaani mpaka polisi wanakuja pale ni saa 8 mchana, hili nalo lilinikera sana!
Walimkuta kweli jamaa kajikunyata sakafuni mule ndani anatoka mapovu ila bado anapumua ndio kumpandisha gari kumuwahisha hospitali ya bandari ambapo haikuchukua round akaaga uhai.
Watu wanamlaumu mke wake jamaa kufa kwa style ile kidhalili japo wote hatujui ugomvi wao ni wa nini, mwenye nyumba kapagawa anawaomba wapangaji wote wasiseme kuwa jamaa alikuwa analala pale kuepuka usumbufu wa upelelezi.
Mchana huo huo nikapokea taarifa ya mjomba wangu kapata ajali mbaya sana ya gari mkoani na kufariki hapo hapo, eeh Mungu tunaomba mwisho mwema 🤲
Haya maisha jamani, kila mtu ana mzigo wake anaotembea nao kila siku na yeye pekee ndio anajua yanayomsibu. Hakuna mwalimu bora zaidi ya muda na yote tunayopitia ni sehemu ya mafunzo.