Ms Billionaire
JF-Expert Member
- Jul 18, 2020
- 2,452
- 4,955
Kila mtu anamlaumu mwanamke.
Mwenye post kasema kabisa mwanaume alikua mlevi. Ukute ndo zile sampuli za hawataki kuulizwa uko wapi, ukute ugomvi wao ni kuambiwa acha pombe.
Wanaume huwa mnajua kulaumu sana mkipatwa matatizo ila hamtaki kusikiliza ushauri wa wake zenu.
Sasa mke analaumiwa kwa kipi kama mwanaume amezoea kulala nje labda siku hizo ndo aliamua kulala stoo kwake sijui ofisini. Ukute na simu huwa hapendi kupigiwa.
Apumzike kwa amani au anapostahili ila kuna la kujifunza hapa. Ndoa sio uadui ndoa sio kifungo. Tusikilizane tusaidiane
Mwenye post kasema kabisa mwanaume alikua mlevi. Ukute ndo zile sampuli za hawataki kuulizwa uko wapi, ukute ugomvi wao ni kuambiwa acha pombe.
Wanaume huwa mnajua kulaumu sana mkipatwa matatizo ila hamtaki kusikiliza ushauri wa wake zenu.
Sasa mke analaumiwa kwa kipi kama mwanaume amezoea kulala nje labda siku hizo ndo aliamua kulala stoo kwake sijui ofisini. Ukute na simu huwa hapendi kupigiwa.
Apumzike kwa amani au anapostahili ila kuna la kujifunza hapa. Ndoa sio uadui ndoa sio kifungo. Tusikilizane tusaidiane