Kafariki akiwa amejifungia ndani ya ofisi yake, Mke wake alaumiwa

Kafariki akiwa amejifungia ndani ya ofisi yake, Mke wake alaumiwa

Asante mkuu, ukisoma vizuri utaona sijalaumu mahala mke. Hata hii ishu nimeandika kama third party tu yani niliyoyasikia pale tena haswa kwa yule mfanyakaz mwenzangu mana wale wako pale kila siku.. wale ndo walikua wanamlaumu mkewe coz ana zaidi ya wiki 2 analala mule ila kiukweli sikuuliza waligombania nn na wala sijajua.
Apologies mkuu, ni short sight on my side, upo right kabisa samahani
 
Huwezi judge maana hujui walikuwa wanaishi vipi. Kuna wanaume kutokurudi nyumbani hata wiki ni kawaida yao.

Mnahukumu tu bila kujua sababu ni nini. Huyo mwenzenu nae hana akili...unaachaje nyumba yako unaenda kulala kwenye frame ya biashara?
Badala ya kutatua tatizo unakimbia ili iweje? Ndoa ikikushinda si unaacha kwani kuna mtu anakulazimisha.

Mnapoambiwa ishini nao kwa akili muwe mnazingatia. Tatizo lenu hizo akili sijui mmeziweka wapi.

Kila kitu ni lawama na kulialia kila siku mmekuwa hamna tofauti na watoto wa kike mnauaibisha uanaume wenu.
Kwanza siku hizi wanawake hawalii mamy kama ume notice hilo ni mijibaba tu ndo inashinda kulialia hapa.
 
Kwanza siku hizi wanawake hawalii mamy kama ume notice hilo ni mijibaba tu ndo inashinda kulialia hapa.
Wanawake tulishalia sana tukaona ni ujinga, siku hizi tunapuuza ujinga maisha yataendelea sasa wao ndo wanalia...hawana ujasiri mwishowe ndo wanakufa hovyo hovyo kama hivi. Watajua wenyewe kwa kweli...
 
Ukimwendekeza sana, kumfuatilia sana na kumchukulia serious mwanamke utaishia kufa au kuua mtoto wa mtu.
Halafu nazisoma tu comments za mabwabwa na mahanithi wakataa ndoa wanavyopigilia nyundo ooh woman can cause these and that.
All in all mwamba itakua alibwia sumu au alizidisha gambe.
 
Ukimwendekeza sana, kumfuatilia sana na kumchukulia serious mwanamke utaishia kufa au kuua mtoto wa mtu.
Halafu nazisoma tu comments za mabwabwa na mahanithi wakataa ndoa wanavyopigilia nyundo ooh woman can cause these and that.
All in all mwamba itakua alibwia sumu au alizidisha gambe.
Na mimi nahisi labda alikua na dozi akachanganya na pombe tena zile spirit double kick mana ndo alikua mtumiaj wa zile naskia
 
Imetokea leo mchana maeneo ya kituo cha bandari kurasini.. kuna jamaa ana ofisi yake (frame) ya kuziba pancha na kuongeza upepo ni jirani yetu kabisa na ofisi yetu ndogo (branch) ambayo hua napita siku moja kila wiki. Huyu jamaa ni mkimya sana sijawahi kuzoeana nae ila salamu tu na nimewahi kumuomba chenji mara kadhaa.

Sasa basi asubuhi ile nafika tu pale ofisini nje nilikuta watu wanne wanaongea wanajadili kua jamaa hajafungua ofisi siku ya pili, simu yake haipatikani na wana wasiwasi yumo mule ndan mana amekua akilala ndani ya ile frame yake kwa wiki kadhaa baada ya kukorofishana na mke wake.

Nilitoa salamu, nikasikiliza mawili matatu ya wale jamaa nikaingia ndani.. kijana wa pale ofisini akaanza kunipa mkasa mzima coz yeye anashinda pale daily.. akanieleza yule jamaa alikua ni mlevi sana ila mawiki kadhaa alizidisha ulevi wa kupindukia na chanzo anasema alikua na ugomvi na mke wake hadi kupelekea kuhama kwake akaanza kulala mule ofisini. Hii ishu walikua wanajua watu wachache sana mana jamaa ni mkimya mno.

Basi kama mnavojua protocol za kibongo kuchelewesha mambo, jamaa baada ya kushauriana pale walimfata mwenye nyumba anaekaa nyuma ya zile frame kumshirikisha juu ya hofu yao kua jamaa yumo mule ndani, mwenye nyumba akaenda kwa mjumbe kaandikiwa barua wakaenda polisi ili waje nao pale wabomoe kuingia .. hizi taratibu zote zilichukua masaa mengi yan mpaka polisi wanakuja pale ni saa 8 mchana, hili nalo lilinikera sana!

Walimkuta kweli jamaa kajikunyata sakafuni mule ndan anatoka mapovu ila bado anapumua ndio kumpandisha gar kumuwahisha hospital ya bandari ambapo haikuchukua round akaaga uhai.

Watu wanamlaumu mke wake jamaa kufa kwa style ile kidhalili japo wote hatujui ugomvi wao ni wa nn, mwenye nyumba kapagawa anawaomba wapangaj wote wasiseme kua jamaa alikua analala pale kuepuka usumbufu wa upelelezi.

Mchana huo huo nikapokea taarifa ya mjomba wangu kapata ajali mbaya sana ya gari mkoani na kufariki hapo hapo, eeh Mungu tunaomba mwisho mwema [emoji2969]

Haya maisha jamani, kila mtu ana mzigo wake anaotembea nao kila siku na yeye pekee ndio anajua yanayomsibu..hakuna mwalimu bora zaidi ya muda na yote tunayopitia ni sehemu ya mafunzo.
Pole kwa misiba miwili mfululizo
 
Haya maisha jamani, kila mtu ana mzigo wake anaotembea nao kila siku na yeye pekee ndio anajua yanayomsibu, hakuna mwalimu bora zaidi ya muda na yote tunayopitia ni sehemu ya mafunzo.
 
Ushaambiwa haikuwa kawaida kulala nje ya kwake. Mke angekuwa ni mtu wa maana angeulizia mume wake yuko wapi

Ameanza kulala kwenye frame baada ya kukorofishana na mke wake

Huyo mke ni mkatili
Soma maelezo, habari inasema jamaa alianza kulala kwenye fremu hivyo mke anajua kuwa mumewe analala ofisini kwake kwasababu ya ugomvi na hili pia hata hao jamaa waliomkuta kafa walikuwa wanajua analala kwenye frem unapoachanganya wewe kwenye kifo Kama siku mbili hakuonaka ndio hao jamaa majirani wa ofisi yake wanadhani huenda kajifungia kwa siku mbili kumbuka ni kawaida yame kunifungia usiku na kutoka usiku NOT PROBLEM, tatizo ni pale walioona kajifungia mazima LAKINI hili lakujifungia mazima kwa mke yeye hakulijua maana yeye hayupo hapo sehemu ya fremu anachojua kuwa AS NORMAL kuwa mume wangu analala na kuamka kazini kwake HAKUNA NJIWA aliyebebba ujuembe na kumpelekea Mke kuwa eti leo huko kwenye fremu mumeo ajajifunguli mlango kijifungia tu.

Mke Hana kosa lolote lile tusome maelezo vizuri
 
Imetokea leo mchana maeneo ya kituo cha bandari kurasini.. kuna jamaa ana ofisi yake (frame) ya kuziba pancha na kuongeza upepo ni jirani yetu kabisa na ofisi yetu ndogo (branch) ambayo hua napita siku moja kila wiki. Huyu jamaa ni mkimya sana sijawahi kuzoeana nae ila salamu tu na nimewahi kumuomba chenji mara kadhaa.

Sasa basi asubuhi ile nafika tu pale ofisini nje nilikuta watu wanne wanaongea wanajadili kua jamaa hajafungua ofisi siku ya pili, simu yake haipatikani na wana wasiwasi yumo mule ndan mana amekua akilala ndani ya ile frame yake kwa wiki kadhaa baada ya kukorofishana na mke wake.

Nilitoa salamu, nikasikiliza mawili matatu ya wale jamaa nikaingia ndani.. kijana wa pale ofisini akaanza kunipa mkasa mzima coz yeye anashinda pale daily.. akanieleza yule jamaa alikua ni mlevi sana ila mawiki kadhaa alizidisha ulevi wa kupindukia na chanzo anasema alikua na ugomvi na mke wake hadi kupelekea kuhama kwake akaanza kulala mule ofisini. Hii ishu walikua wanajua watu wachache sana mana jamaa ni mkimya mno.

Basi kama mnavojua protocol za kibongo kuchelewesha mambo, jamaa baada ya kushauriana pale walimfata mwenye nyumba anaekaa nyuma ya zile frame kumshirikisha juu ya hofu yao kua jamaa yumo mule ndani, mwenye nyumba akaenda kwa mjumbe kaandikiwa barua wakaenda polisi ili waje nao pale wabomoe kuingia .. hizi taratibu zote zilichukua masaa mengi yan mpaka polisi wanakuja pale ni saa 8 mchana, hili nalo lilinikera sana!

Walimkuta kweli jamaa kajikunyata sakafuni mule ndan anatoka mapovu ila bado anapumua ndio kumpandisha gar kumuwahisha hospital ya bandari ambapo haikuchukua round akaaga uhai.

Watu wanamlaumu mke wake jamaa kufa kwa style ile kidhalili japo wote hatujui ugomvi wao ni wa nn, mwenye nyumba kapagawa anawaomba wapangaj wote wasiseme kua jamaa alikua analala pale kuepuka usumbufu wa upelelezi.

Mchana huo huo nikapokea taarifa ya mjomba wangu kapata ajali mbaya sana ya gari mkoani na kufariki hapo hapo, eeh Mungu tunaomba mwisho mwema 🤲

Haya maisha jamani, kila mtu ana mzigo wake anaotembea nao kila siku na yeye pekee ndio anajua yanayomsibu..hakuna mwalimu bora zaidi ya muda na yote tunayopitia ni sehemu ya mafunzo.
Unamaanisha ajali ya geita!?
 
Back
Top Bottom