Kafariki akiwa amejifungia ndani ya ofisi yake, Mke wake alaumiwa

Apologies mkuu, ni short sight on my side, upo right kabisa samahani
 
Kwanza siku hizi wanawake hawalii mamy kama ume notice hilo ni mijibaba tu ndo inashinda kulialia hapa.
 
Kwanza siku hizi wanawake hawalii mamy kama ume notice hilo ni mijibaba tu ndo inashinda kulialia hapa.
Wanawake tulishalia sana tukaona ni ujinga, siku hizi tunapuuza ujinga maisha yataendelea sasa wao ndo wanalia...hawana ujasiri mwishowe ndo wanakufa hovyo hovyo kama hivi. Watajua wenyewe kwa kweli...
 
Ukimwendekeza sana, kumfuatilia sana na kumchukulia serious mwanamke utaishia kufa au kuua mtoto wa mtu.
Halafu nazisoma tu comments za mabwabwa na mahanithi wakataa ndoa wanavyopigilia nyundo ooh woman can cause these and that.
All in all mwamba itakua alibwia sumu au alizidisha gambe.
 
Na mimi nahisi labda alikua na dozi akachanganya na pombe tena zile spirit double kick mana ndo alikua mtumiaj wa zile naskia
 
Pole kwa misiba miwili mfululizo
 
Haya maisha jamani, kila mtu ana mzigo wake anaotembea nao kila siku na yeye pekee ndio anajua yanayomsibu, hakuna mwalimu bora zaidi ya muda na yote tunayopitia ni sehemu ya mafunzo.
 
Ushaambiwa haikuwa kawaida kulala nje ya kwake. Mke angekuwa ni mtu wa maana angeulizia mume wake yuko wapi

Ameanza kulala kwenye frame baada ya kukorofishana na mke wake

Huyo mke ni mkatili
Soma maelezo, habari inasema jamaa alianza kulala kwenye fremu hivyo mke anajua kuwa mumewe analala ofisini kwake kwasababu ya ugomvi na hili pia hata hao jamaa waliomkuta kafa walikuwa wanajua analala kwenye frem unapoachanganya wewe kwenye kifo Kama siku mbili hakuonaka ndio hao jamaa majirani wa ofisi yake wanadhani huenda kajifungia kwa siku mbili kumbuka ni kawaida yame kunifungia usiku na kutoka usiku NOT PROBLEM, tatizo ni pale walioona kajifungia mazima LAKINI hili lakujifungia mazima kwa mke yeye hakulijua maana yeye hayupo hapo sehemu ya fremu anachojua kuwa AS NORMAL kuwa mume wangu analala na kuamka kazini kwake HAKUNA NJIWA aliyebebba ujuembe na kumpelekea Mke kuwa eti leo huko kwenye fremu mumeo ajajifunguli mlango kijifungia tu.

Mke Hana kosa lolote lile tusome maelezo vizuri
 
Unamaanisha ajali ya geita!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…