Kafariki akiwa amejifungia ndani ya ofisi yake, Mke wake alaumiwa

Good Observation Mkuu 🀝
 
Huyo mkewe kama ananisikia ni nyau wa porini mwenye roho ya uuaji.

Dar es salaam tunayoijua ni nan atabeba jukumu la kumpelekea huyo chunusi mla damu ujumbe kwamba amejifungia dukani? Hata kama ugomvi ungehusu nini.

Kwanini amekuwa mbinafsi kiasi cha kutojali watt ambao najua wanao.?

Na je ametumia nguvu gani mpaka huyo marehemu akaogopa na kuona yeye ndiye anafaa kukimbia nyumba ingawa hatujajua kama walikuwa wamepanga au wamejenga?

Nimemulika nikaona hata huo ukimya na ulevi umeletwa na dis apointments alizoziona kwa huyo mjaa mauti. Ambao mnadhani mko kwenye mikono salama endeleeni kujiachia na kubweteka. [emoji4]
 
Kumbe jamaa alikua kajenga mbagala kwa mbiku ila alihama nyumba yake, walikua na watoto wawili miaka 7 na miaka 3, mwenzangu niliongea nae tena leo eti kuna ndugu wa marehem wamekuja pale kuwasalimia majirani pale na walikua wanauliza maswali kama flan alikua na kauli za aina gani siku za hivi karibuni?
 
Wanawake hawana Huruma wapo kwa ajili ya kuua wanaume
Duuuh! nimecheka ndg. Lakini ukweli ndio huo. Ukiwa mzembe mbele ya mwanamke hutachelewa kufa. Chakufanya sasa. 1. Ishi naye kwa akili (kama unazo akili). 2. Usiweke moyoni kila kwazo la kiumbe huyu. Mchukulie mwanamke kama mtoto ingawa yeye ana umri mkubwa. 3. 4. 5. 6........
 
So sad aisee. Mungu azilaze roho za marehemu mahali pema. Wengine wanafariki wakiwa na huzuni, wengine wakiwa na furaha alafu gafra paaap ajari hiyo mbele πŸ˜­πŸ˜­πŸ™
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…