Kafulila: 2008 SYNOVATE walisema tatizo namba moja la Watanzania ni maji

Sorry, Mimi sio Kafulila.

Maji mwaka wa kumi unamaana gani?

Umeshavuta bomba ila maji hayatoki?

Au hakuna mabomba?

Fafanua Mzee,
Kafulila umekuja na ID mpya. Baada ya kuona watu wamekushtukia na kukupotezea. Maana kila saa ulikuwa unahangaika kupandisha nyuzi zako zote za nyuma ila ukazidiwa na Gen Z wa Kenya na issue ya Mpina. Fanya kazi acha uchawa.
 
Ulijaribu kupandisha nyuzi zako baada ya kusahaulika. Naona umeamua kuleta nyuzi mpya.
Acha uongo wako hapa ndugu yangu.mbona mimi ninamuandika sana Mheshimiwa Kafulila na wala siyo kwamba ninalipwa au kuwahi kuonana naye? Fahamu ya kuwa Mheshimiwa Kafulila anakubalika na kupendwa na watanzania kutokana na uchapakazi wake, uzalendo wake na upeo wake mkubwa alio nao.najuwa CHADEMA mnaumia sana na mnatamani sana angekuwa ndani ya chama Chenu ili awasaidie kwenye hoja mbalimbali
Your browser is not able to display this video.
 
Kigambona gani haina maji bro?
Sio kigambona, ni kigamboni mjimwema, kibugumo, geza, mawezi, ungindoni na kwingine koote huko ni mwendo wa visima tu, raisi walimuingiza chaka alikuja kuzindua mradi haijakamilika, ye anazindua wakati hata bomba chini zilikuwa hazijatandazwa, kifupi mpaka leo yale maji aliyozindua hakuna kitu.
 
Ukweli ni huu,
Rais Samaia anejitahidi sana kwenye Sekta ya maji,mengine ni mambo ya kawaida katika Uongozi.
 
Wapumbavu nyie,Yani miaka Zaidi ya 60 ya uhuru tunazungumzia maji? Kwa utajiri WA nchi HII mambo ya maji,barabara na umeme vingetakiwa viwe tangu miaka ya 90 au at least 2000
CCM wamedhoofisha nchi
Ni wapumbavu haswa! Dodoma mjini mabomba yapo tu hayatoi maji watu wanatumia maji ya visima.
 
Mama Samia anapiga kazi sana hakika mitano inamuhusu tu
Kwa hakika anastahili mitano mingine pamoja na kumpelekea Bungeni vijana wengine akili kubwa aina ya Mheshimiwa David Kafulila.
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…