Mzee Nyerere
JF-Expert Member
- Jun 24, 2024
- 219
- 279
- Thread starter
-
- #121
Kubwa ukilinganisha na lini mkuu?Kafulila hana akili timamu, kwamba sahivi tatizo la maji halipo? nenda Monduli, Longido, Same, Siha, Simanjiro, Kiteto na Hanang uone tatizo lilivyo kubwa
Kubwa ukilinganisha na lini mkuu?Kafulila hana akili timamu, kwamba sahivi tatizo la maji halipo? nenda Monduli, Longido, Same, Siha, Simanjiro, Kiteto na Hanang uone tatizo lilivyo kubwa
Unatokea Wilaya gani?Kubwa ukilinganisha na lini mkuu?
View attachment 3027430
Katika Ukurasa wake wa ( X ) zamani tweeter Mkurugenzi wa PPP-Cetre Tanzania Bw David Kafulila amesema kuwa utafiti uliofanywa na taasisi ya kitafiti ya Steadman au SYNOVETe mwaka 2008 ulibaini kuwa tatizo namna moja la Watanzania ni maji safi na Salama.
Kafulila amesema kuwa Rais Samia katika kukabiliana na tatizo hili namba moja la Watanzania amekuwa akitoa pesa nyingi pengine kuliko Marais wote tangu Uhuru wa nchi hii.
Kafulila anasema, kabla ya mwisho wa mwaka wa Fedha wa Kila mwaka na katika miaka mitatu ya Rais Samia bajeti ya maji imetekelezwa kwa zaidi ya asilimia 75 na 92 miezi minne kabla ya wakati uliokusudiwa.
Mkurugenzi huyo pia ananakili baadhi ya miaka ya Fedha huko nyuma kabla ya Rais Samia bajeti ya maji ilitekelezwa kwa chini ya asilimia 40.
Hii ndio tofauti ya Rais Samia na Wengine ndio maana Mzee Kikwete ametamka wazi kuwa Rais Samia katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo hakamatiki.
Ingefaa sana kama ungeweka utambulishilo sahihiMtaani kwangu hapa hapa Dar tena mjini kabisa maji yametoka mara 3 toka mwaka huu uanze.
Hayo maji 92% yanapatikana mkoa gani?
Mitano tena Mama
Kafulila ni mzuri kwa hoja sijui kuhusu utendajiView attachment 3027430
Katika Ukurasa wake wa ( X ) zamani tweeter Mkurugenzi wa PPP-Cetre Tanzania Bw David Kafulila amesema kuwa utafiti uliofanywa na taasisi ya kitafiti ya Steadman au SYNOVETe mwaka 2008 ulibaini kuwa tatizo namna moja la Watanzania ni maji safi na Salama.
Kafulila amesema kuwa Rais Samia katika kukabiliana na tatizo hili namba moja la Watanzania amekuwa akitoa pesa nyingi pengine kuliko Marais wote tangu Uhuru wa nchi hii.
Kafulila anasema, kabla ya mwisho wa mwaka wa Fedha wa Kila mwaka na katika miaka mitatu ya Rais Samia bajeti ya maji imetekelezwa kwa zaidi ya asilimia 75 na 92 miezi minne kabla ya wakati uliokusudiwa.
Mkurugenzi huyo pia ananakili baadhi ya miaka ya Fedha huko nyuma kabla ya Rais Samia bajeti ya maji ilitekelezwa kwa chini ya asilimia 40.
Hii ndio tofauti ya Rais Samia na Wengine ndio maana Mzee Kikwete ametamka wazi kuwa Rais Samia katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo hakamatiki.
Hata hivyo takwimu zinaonesha upatikanaji wa Maji vijijini umepanda kutoka 70.1% mpaka 89.6% wakati upatikanaji wa Maji mjini umeongezeka kutoka 85% mpaka 90%.
#Mama Samia hakamatiki
Daaah makasiriko ya nini?Wapumbavu nyie,Yani miaka Zaidi ya 60 ya uhuru tunazungumzia maji? Kwa utajiri WA nchi HII mambo ya maji,barabara na umeme vingetakiwa viwe tangu miaka ya 90 au at least 2000
CCM wamedhoofisha nchi
Ni Mtendaji mzuri piaKafulila ni mzuri kwa hoja sijui kuhusu utendaji
Sawa Mungu ampe Kila haja ya moyo wakeNi Mtendaji mzuri pia
Na iwe hivyo daimaSawa Mungu ampe Kila haja ya moyo wake
Mimi Niko hapa KaweUnatokea Wilaya gani?
Nipo nyanda za juu kusini najionea namna upatikanaji wa maji ulivyo wafikia wananchi mahali walipo.Acheni uongo buana vijiji gani hivyo?hebu niambie upo kijiji gani labda
View attachment 3027430
Katika Ukurasa wake wa ( X ) zamani tweeter Mkurugenzi wa PPP-Cetre Tanzania Bw David Kafulila amesema kuwa utafiti uliofanywa na taasisi ya kitafiti ya Steadman au SYNOVETe mwaka 2008 ulibaini kuwa tatizo namna moja la Watanzania ni maji safi na Salama.
Kafulila amesema kuwa Rais Samia katika kukabiliana na tatizo hili namba moja la Watanzania amekuwa akitoa pesa nyingi pengine kuliko Marais wote tangu Uhuru wa nchi hii.
Kafulila anasema, kabla ya mwisho wa mwaka wa Fedha wa Kila mwaka na katika miaka mitatu ya Rais Samia bajeti ya maji imetekelezwa kwa zaidi ya asilimia 75 na 92 miezi minne kabla ya wakati uliokusudiwa.
Mkurugenzi huyo pia ananakili baadhi ya miaka ya Fedha huko nyuma kabla ya Rais Samia bajeti ya maji ilitekelezwa kwa chini ya asilimia 40.
Hii ndio tofauti ya Rais Samia na Wengine ndio maana Mzee Kikwete ametamka wazi kuwa Rais Samia katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo hakamatiki.
Hata hivyo takwimu zinaonesha upatikanaji wa Maji vijijini umepanda kutoka 70.1% mpaka 89.6% wakati upatikanaji wa Maji mjini umeongezeka kutoka 85% mpaka 90%.
#Mama Samia hakamatiki
Kwani Lucas mpaka Leo hajapewa hata Úkatibu Tarafa?Mkuu rejea hoja na maudhui ya mada ziletazwo hapa jukwaani na kijana wetu Lucas Mwashambwa, ndipo utaweza kupata kwa tafsiri yako mwenyewe maana ya maisha ya uchawa.
Kafulila ni chawa aliyechangamkaView attachment 3027430
Katika Ukurasa wake wa ( X ) zamani tweeter Mkurugenzi wa PPP-Cetre Tanzania Bw David Kafulila amesema kuwa utafiti uliofanywa na taasisi ya kitafiti ya Steadman au SYNOVETe mwaka 2008 ulibaini kuwa tatizo namna moja la Watanzania ni maji safi na Salama.
Kafulila amesema kuwa Rais Samia katika kukabiliana na tatizo hili namba moja la Watanzania amekuwa akitoa pesa nyingi pengine kuliko Marais wote tangu Uhuru wa nchi hii.
Kafulila anasema, kabla ya mwisho wa mwaka wa Fedha wa Kila mwaka na katika miaka mitatu ya Rais Samia bajeti ya maji imetekelezwa kwa zaidi ya asilimia 75 na 92 miezi minne kabla ya wakati uliokusudiwa.
Mkurugenzi huyo pia ananakili baadhi ya miaka ya Fedha huko nyuma kabla ya Rais Samia bajeti ya maji ilitekelezwa kwa chini ya asilimia 40.
Hii ndio tofauti ya Rais Samia na Wengine ndio maana Mzee Kikwete ametamka wazi kuwa Rais Samia katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo hakamatiki.
Hata hivyo takwimu zinaonesha upatikanaji wa Maji vijijini umepanda kutoka 70.1% mpaka 89.6% wakati upatikanaji wa Maji mjini umeongezeka kutoka 85% mpaka 90%.
#Mama Samia hakamatiki
Acha naye huyo huwa hajitambui hata kidogoKubwa ukilinganisha na lini mkuu?
Mheshimiwa Kafulila hajawahi kuwa chawa.kila mtu anafahamu namna Mheshimiwa Kafulila alivyo mzalendo na mchapa kazi na mtu muadilifu sanaKafulila ni chawa aliyechangamka
Kwani lini uliona nimetumia barua ya maombi ya afisa tarafaKwani Lucas mpaka Leo hajapewa hata Úkatibu Tarafa?
Ni chama kama wewe ila wewe ni chawa promaxMheshimiwa Kafulila hajawahi kuwa chawa.kila mtu anafahamu namna Mheshimiwa Kafulila alivyo mzalendo na mchapa kazi na mtu muadilifu sana