Kafulila awalipua mawaziri akaunti ya Escrow

Mpuuzi wewe!!! Rudi shule ukajifunze kuandika badala ya kukubali kutumiwa na hao mafisadi waliokuokota Kariakoo ulikokuwa ukiuza bangi na kukulipa ujira mdogo ili kuja kuandika pumba hapa jamvini. Hapa tunaongelea wizi wa bilioni 200 za ESCROW hatuongelei mambo ya kuoana mpumbavu mkubwa wee. Jifunze kusoma na kuelewa kilichoandikwa badala ya kukurupuka na kuanza kuropoka pumba. Mxciuuuuuuuuuuuuu

 
Hakuna sheria yoyote ile nchini inayokataza Watanzania kuhoji maamuzi ya Rais, kama ipo hebu tuwekee hapa na utufahamishe pia sheria hii ilipitishwa lini.

umemkimbiza .
 
Reactions: BAK
Unajua Mkuu Erythrocyte hawa wapumbavu wanaotumiwa na mapanya na mafisi wa chama cha wahuni wanajua wakija hapa na kutukana watu wakati mwingine hata matusi ya nguoni basi watawanyamazisha watu wote wanaoandika hapa kuhoji mambo mbali mbali yanayofanywa na hii Serikali dhalimu. Miaka ya nyuma posts kama hizo ulikuwa ukigusa kitufe cha "REPORT ABUSE" inafutwa mara moja na muhusika kupewa onyo au hata kufungiwa, siku hizi utagusa hicho kitufe hata mara milioni post haifutwi. Hivyo ustaarabu na uungwana ni kwa wale ambao wanauthamini vinginevyo ni jicho kwa jicho lakini kamwe siwezi kutumia matusi ya nguoni hapa.

umemkimbiza .
 
Last edited by a moderator:

Hili sakata, bila kumumunya maneno, kutikisa masikio wala kupepesa macho, lazima liende na mtu….haiwezekani hawa panya watafune fedha zote hizi za umma halafu wananchi tukae kimya! Mbivu na mabichi lazima zijulikane…Kafulila anao ushahidi mujarabu lakini WEZI hawataki kumpa nafasi kwa kuwa wanafahamu kwamba atawaumbua mchana kweupe. Hivi ni lini hawa panya wa CCM wataacha kutafuna fedha za watanzania?

 
Reactions: BAK

Umepanic Kamanda, baada ya kuataki hoja yangu unaniataki mimi. Ila sishangai ni kawaida ya wajinga.
 

Kafulila kashatoa ushahidi wake kwa PCCB na CAG, Yeah! hili sakata linaondoka na KAFULILA maana anakesi ya madai mahakamani.
 

Mkuu, acha kutetea WEZI...kama wanadhani kwamba wanachafuliwa kwanini wasikimbilie mahakamani wakaoge? Nawe umetumwa kuwatetea mafisadi wa CCM ama?
 
Kafulila kashatoa ushahidi wake kwa PCCB na CAG, Yeah! hili sakata linaondoka na KAFULILA maana anakesi ya madai mahakamani.

Linaondoka naye kwa namna gani wakati yeye ndiye anasaidia kuibua WEZI na kuwavua nguo hadharani? Wewe ungetamani hawa PANYA waendelee kuguguna mali za umma mpaka lini?
 

JF senior member, Joining Date Febr 2007. umepanic, uliyemtukana alijenga hoja yake juu ya mabeberu (UK) ambao wewe uliwatumia kujenga hoja. Umeshindwa kutetea hoja yako umeamua kumattack. Hakuna anayetetea mafisadi humu ila uzushi kama wakina KAFULILA na MSALITI hatuwezi kubeba.
 
Porojo na wanasiasa kukosa hoja za ukweli tu, hakuna lolote kuhusu IPTL.

Bi kizee, afadhali umekuja....hebu taumbie UKWELI wa hili sakata au nawe umetumwa kutetea WEZI?
 
Siwezi kupanick hata siku moja, rudi shule ukajifunze kusoma na kuandika badala ya kutumiwa na mapanya na mafisadi ili uwapigie debe hapa jamvini kwa ujambazi wao. Kumbuka wakati ni ukuta ukiupiga utaumia mwenyewe, bado hujachelewa kujifunza kusoma na kuandika.

Umepanic Kamanda, baada ya kuataki hoja yangu unaniataki mimi. Ila sishangai ni kawaida ya wajinga.
 

Bwana Muhongo, hebu jitetee vizuri, bado siajakupata!
 
Kafulila kashatoa ushahidi wake kwa PCCB na CAG, Yeah! hili sakata linaondoka na KAFULILA maana anakesi ya madai mahakamani.

Check ulivyo na akili,umepost bonge la point hakika wewe ni great thinker,makofii pwaaa pwaaa,haya kalale sasa
 

Asante Kamanda ntarudi shule, lakini hatuwezi kuacha kusema ukweli eti sababu ya mihemko yako unayoionesha. Umepanick kamanda , Hakuna wizi kwenye akaunti ya escrow.
 
Ndiyo matatizo ya nchi ikiwa mikononi mwa Majambazi, watakwapua kila wawezacho kukwapua kasha kufanya jitihada kubwa sana ili kupoteza ushahidi wa kuwapandisha kizimbani na wakati mwingine hata sharia za nchi zitapindishwa ili kuwakingia kifua. Kumbuka EPA, "Pesa zote zilizoibiwa zimerudishwa hivyo hakuna haja ya kuwapandisha kizimbani wahusika." Na kauli nyingine, "Wezi wa EPA ni mtajiri wakubwa sana nchini kama wakikamatwa basi nchi itawaka moto." Mxciuuuuuuuuuuu...Halafu wanajiita eti ni viongozi!!!!

 
Huujui ukweli wewe ungekuwa unaujua ukweli kamwe usingethubutu kusimama upande mmoja na mafisi na mapanya wanaoiangamiza Tanzania siku zote ungekuwa unasimama mstari wa mbele kutetea maslahi ya Tanzania na Watanzania wenzako badala ya hao majambazi wanaokwapua karibu kila wiki huku nchi ikikosa maendeleo ya kweli.

Asante Kamanda ntarudi shule, lakini hatuwezi kuacha kusema ukweli eti sababu ya mihemko yako unayoionesha. Umepanick kamanda , Hakuna wizi kwenye akaunti ya escrow.
 


Mkuu tusitegemee mwendelezo wa hili jambo.
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…