Kafulila: Lissu acha kuzipaka matope Mahakama za Tanzania, unataka kutuambia US & China ambao nao ni wanachama wa ICSID Mahakama zao zinaingiliwa?

Kama Watanzania wanataka kujua nani anewatia hasara warudi kuangalia nani alitia sahihi katika kesi zote ile ya mataliano aliekamata ndege Canada kwa kudhulumiwa mali zake na kupewa Dangote na hao wengine wote bila hivyo ni kupoteza mda na kulaumu mtu kama lissu anaewaambia ukweli wakati mnasahau majukumu yenu
 



Nimekuwekea link ya bilateral treaty kati ya Tanzania na Sweden inayozungumzia procedure za alternative dispute resolution (ADR).

Sasa basi huko nyuma kwenye mada hii na ile ya ndege kukamatwa nilishaelezea pia mkataba unakuwa na terms mbili expressed terms ambazo zipo ndani ya mkataba au implied terms ambazo ata kama hazipo ndani ya mkataba ila kuna sheria basi hizo terms zinatumika.

Kwenye BIT ya Tanzania na Sweden imeelezea hapo jinsi resolution itakavyofanyika hiyo ni implied term ata isipokuwa expressed ndani ya mkataba inatumika.

Ndani ya hiyo hiyo BIT pia article one inatambua uwekezaji ni subject to local laws so kwa sheria zetu pia raisi ana haki ya kuamua maamuzi ya ardhi, ila of course kuna fidia au damages kwa kufanya hivyo.

Sasa nitarudia nilichomweleza econonist hayo mambo ya arbitration yameanza kwenye sixties; how so ni wewe kujifunza historia ya oil and gas investment in the Middle East na waarabu walipostuka na kuanza kuwanyang’anya wawekezaji, migogoro iliyokuja kubainisha nani mmiliki wa natural resources kati ya mwekezaji na host country, migogoro iliyozalisha frameworks za natural resources contract kama PSA, licensing and so forth; and the need for creating arbitration.

Sasa basi kama nchi aina bilateral agreement kama hiyo ya Tanzania na Sweden elewa kujikinga kwenye huo mkataba kutakuwa na stabilisation clause inayo cover mambo hayo hayo kutokana na walichojifunza kwenye uwekezaji wa kwenye mafuta early in the 20th century.

Ni hivi jielimisheni misingi ya hivi vitu kwanza (upate elementary knowledge that is where the reasoning ability on the subject derives) badala ya kusoma constituents ya vitu tu na kuleta ujuaji ndio maana mkienda mahakamani mnashindwa kesi rahisi kama hizo because you lack the foundations in the first place.
 
At one point nilishaelezea hilo BIT being part of implied term, if it covers areas of dispute resolution.
 
Mbona mmetaka ziwafukuza akina Halima mmegonga Mwamba?

Eti Mnataka Rais atoe maelekezo mahakamani hili halipo.

Mahakama zetu ni huru sana.
Hazipo Huru ndiyo maana COVID 19 wamo Bungeni wanakula hela za bure ambazo zingefanya kazi zingine.
 
Nashauri ndugu Kafulila apewe ukuu wa Mkoa tena wa Dodoma
 
Kimsingi mahakama zetu zingeaminiwa na wawekezaji wa kimataifa, wasingelazimisha arbitration ifanyike katika mahakama za kimataifa.

Kwa hivyo, sioni alipokosea Tundu Lissu.
Unao Mfano wowote wa unachokisema?
 
Kafulila fanya kazi, Unachokifanya ni msaada mkubwa sana kwa Chama
 
Unao Mfano wowote wa unachokisema?
Mfano gani unataka?

Hujasikia rais anawaambia TLS kwamba wakiwabana kwa sheria za nje, yeye atawabana kwa za ndani.

Maana yake rais kashajihakikishia uwezo wa kubana kwa kutumia sheria za ndani, haogopi uhuru wa mahakama, kwa vile anaona ni kitu anachoweza kuki control.

Sasa katika mazingira kama hayo, wawekezaji wakiona na wao wanaweza kubanwa kwa sheria za ndani, kwa nini wasitafute haki mahakama za kimataifa na kwenye mabaraza ya usuluhishi ya kimataifa?

Judiciary ya Tanzania ilishavurugwa, marais wa Tanzania washasema na kufanya mengi yaliyoondoa confidence. Mahakama zimefanywa kitegauchumi.

Sasa hapo utasema kuna uhuru wa mahakama Tanzania?

Unauliza mfano?

Hiyo mikataba yote inayovunjwa kiholela na kusababisha ndege kushikwa, kuanzia wa Herman Stein mpaka huu, unafikiri ni nini?
 
Ungetaja Kesi ambao wawekezaji walizifungua Tanzania na Dola Au Ikulu ikaingilia,
 
expand...
Kafulila ni miongoni mwavijana smart sana walioko ndani ya CCM, BAVICHA wanamchukia yeye badala ya hoja zake
 
 
Lissu Chalii tu aliyechangamka
 
KAZIIENDELEE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…