Sasa kama Mahakama za Tanzania zinaaminika, kwanini Huyo aliyetushtaki hakwenda Mahakama Kuu ya Tanzania.
Tuache hayo. Lakini Moja ya sababu za kuanzishwa kutuo hiki Cha ICSID pamoja na vingine, Moja ni kutokana na Ukiritimba wa Mahakama za ndani, Uhuru. Wenye shaka wa Mahakama za ndani, kuspeed up usikilizwaji na uamuzi wa mashauri, uwepo wa Sheria zinazoilinda serikali hata inapokuwa negligent pamoja Specialisation
Haya yote huweza kuyapata kwa uhakika katika Mahakama za ndani. Embu jiulize wakati wa Katili Magufuli ni Jaji yupi Tanzania angeweza akasema serikali imekosea kivunja mkataba wa Beberu?
Lakini pia kwa mujibu wa Sheria za ndani hata kama ukiishinda serikali ni vigumu sana kukulipa. Kamuulize Vhlambia.
Itoshe tu kusema kwamba Kafulila amefulia huko nje, anajua jina la Lissu ni kete inayoweza kimfanya Raisi akamkimbuka, Lakini Hana hoja.
Lissu is right.
Tuache hayo. Lakini Moja ya sababu za kuanzishwa kutuo hiki Cha ICSID pamoja na vingine, Moja ni kutokana na Ukiritimba wa Mahakama za ndani, Uhuru. Wenye shaka wa Mahakama za ndani, kuspeed up usikilizwaji na uamuzi wa mashauri, uwepo wa Sheria zinazoilinda serikali hata inapokuwa negligent pamoja Specialisation
Haya yote huweza kuyapata kwa uhakika katika Mahakama za ndani. Embu jiulize wakati wa Katili Magufuli ni Jaji yupi Tanzania angeweza akasema serikali imekosea kivunja mkataba wa Beberu?
Lakini pia kwa mujibu wa Sheria za ndani hata kama ukiishinda serikali ni vigumu sana kukulipa. Kamuulize Vhlambia.
Itoshe tu kusema kwamba Kafulila amefulia huko nje, anajua jina la Lissu ni kete inayoweza kimfanya Raisi akamkimbuka, Lakini Hana hoja.
Lissu is right.