Kesi zilizopo na zilizotatuliwa tayari, ni za nchi mbali mbali.
Lissu ana audience yake, arbitration ni sehemu ya ADR (Alternative Dispute Resolution) hizi private hearings, run by industry experts.
ADR mara nyingi huwa zipo kwenye mkataba (through stabilisation clause) ikitokea mgogoro kuna maelewano ya pande mbili wapi ukapatiwe ufumbuzi.
Mtu kama Lissu keshajua kuna bozzos chochote anachosema wanaunga mkono na kutetea bila ya hata wao wenyewe kujiongeza.
Arbitrations sio mahakama za kawaida which sits all year round. Hizi zinaitwa ADR na hearing ni private.
Uwezi kwenda kujifungulia tu case lazima iwe sehemu ya makubaliano ya mkataba. Sasa mkataba sio lazima uwe expressed ata unapoingia bilateral trade agreement ikisema mgogoro na wawekezaji wao utatatuliwa on neutral ground hapo umewapa wawekezaji uhalali wakukufungulia case arbitration yeyote. Ndio kama hao wa Swedes wamepata uhalali huo wakufungua kesi kunatokana na bilateral trade na Tanzania iliyopo.
For arbitration to be legal binding inabidi nchi zijiunge (voluntary) ili kuweza kutekeleza maamuzi yake na sio zote zimejisajili na arbitration zote. Ndio maana South Africa waliachia ndege ya ATCL kwa sababu hawakuwa wanachama wa arbitration iliyotoa maamuzi ya case husika, jamaa wakakimbilia Canada.
Surely haya mambo dispute resolution processes na contract law wanafunzi wa business management and other disciplines other than law wanafundishwa huko UDSM, it is basic knowledge kwenye dunia ya biashara maana huyo Lissu huko anajiropokea tu.
Uko wapi Upuuzi wa Kafulila?
Watu wengi wa tanzania unaowaamini hawana uraia wa Tanzania
Siku ukija kuwajua hutoamini macho yako, huyo lisu ni mmoja Kati ya 200+ ambao watoto wao au wao wenyewe ni raia wa inchi zingine na niviongozi wetu
Na mwingine katumbuliwa juzi Tu hapa
Lissu ni mtu mwenye akili sana ila anazitumia kuliumiza Taifa
Anyway Kafulila ana hoja , ila hutupo kumtetea rais na serikali hiyo ni KAZI ya msemaji wa serikali,
Lisu hajawahi kuwa na akili. Kama unanibishia, akigombea uenyekiti wa chama chenu, utaniambia kama atashinda.
Unaongea nini ndugu? Mbona unachoeleza ndicho alichodadavua Lissu tena kwa undani zaidi?Au hujasikia clip yake? Au ni chuki zako tu kwake? Wewe ni wa kumfundisha sheria Lissu kweli?Arbitrations sio mahakama za kawaida which sits all year round. Hizi zinaitwa ADR na hearing ni private.
Uwezi kwenda kujifungulia tu case lazima iwe sehemu ya makubaliano ya mkataba. Sasa mkataba sio lazima uwe expressed ata unapoingia bilateral trade agreement ikisema mgogoro na wawekezaji wao utatatuliwa on neutral ground hapo umewapa wawekezaji uhalali wakukufungulia case arbitration yeyote. Ndio kama hao wa Swedes wamepata uhalali huo wakufungua kesi kunatokana na bilateral trade na Tanzania iliyopo.
For arbitration to be legal binding inabidi nchi zijiunge (voluntary) ili kuweza kutekeleza maamuzi yake na sio zote zimejisajili na arbitration zote. Ndio maana South Africa waliachia ndege ya ATCL kwa sababu hawakuwa wanachama wa arbitration iliyotoa maamuzi ya case husika, jamaa wakakimbilia Canada.
Surely haya mambo dispute resolution processes na contract law wanafunzi wa business management and other disciplines other than law wanafundishwa huko UDSM, it is basic knowledge kwenye dunia ya biashara maana huyo Lissu huko anajiropokea tu.
Shangaa ndugu. Huyu jamaa ana chuki tu na Lissu.Unachopinga ni Nini?. ICSD jukumu lake ni kusikiliza mashauri ya kiuwekezaji baina ya private entity na host state ambaye ni mwanachama wa hiyo mahakama.
Nauliza tu
Upinzani upo au tuanzishe vyama mbadala.
Chadema Mpo kimya yote yanatokea mnayabariki kimtindo
Mmezibwa midomo au
What’s the point ya kuwa na safari na Mikutano ya nje huku mkijua haiwasaidii zaidi ya kupiga maphotooo
Hujaona hizo hoja hapo kweli?
Kafulila wa hoja , kafulia Hoja !
Kama hoja ni mbona hata US nao ni wanachama?
Tatizo liko wapi kumtetea Rais wa nchi na Serikali yake?
Unataka Wafanywaje akina Halima Mkuu?
Akalime Kama Ally Happy (Happiness)Kafulila anapambania cheo
Tanzania ni mfano hai.Vipi hao wanachama Wengine 165?
Hana hoja. Hajui kuwa kuna "sampling" kwenye tafiti.Nadhani mjibuni hoja yake achaneni na hoja kwamba anatafuta UTEUZI
Lissu sio mtu mzuri.
Kwanza yeye watoto wake sio Watanzania.
Hata Kama atatupiganisha tukauana yeye na familia yake atabaki kuwa salama.
Tumwogope kabisa Huyu mtu kwa usalama wa Taifa letu.
Asante Mzalendo Kafulila.