Kafulila: Lissu acha kuzipaka matope Mahakama za Tanzania, unataka kutuambia US & China ambao nao ni wanachama wa ICSID Mahakama zao zinaingiliwa?

Kafulila: Lissu acha kuzipaka matope Mahakama za Tanzania, unataka kutuambia US & China ambao nao ni wanachama wa ICSID Mahakama zao zinaingiliwa?

Haki na usawa , Hivi hata ukiwa mbumbumbu wa namna gani , ni kweli huelewi kwamba Mahakama za Tanzania zinaamrishwa na watawala kufanya watakavyo ?
Mtu asie tambua haya mambo hakika uyo afatilii ni nini kinaendelea nchini mwake na inasikitisha tukianza kuwaeleza kujifanya wanashupaza shingo, mimi uwa napata hasira lakini hipo siku kitaeleweka tu maana ccm aitoki mpaka kinuke.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Akili haipimwi kwa namna ambayo unaisema. Wapo wengi tu ambao wamemzidi kwa mbaali Tundu. Kuna vigezo vingine vingi tu vinavyoangaliwa.
Kwa sasa huwezi ukanielewa, mpaka mtakapofanya uchaguzi wenu wa Mwenyekiti ndiyo utanielewa. Maana nasikia Mbowe kasha sema basi.

Nafasi ya mwenyekiti ni aidha Lissu au Heche. Ila kwa akili, Lissu yupo timamu.
 
Kafulila anafanya kazi nzuri Sana kwa sasa,

Kazi ya kuisemea serikali na chama bila posho. Sijui shaka na msigwa watafanya kazi gani. Kweli ameanguka , kutoka ukuu wa mkoa mpaka mchekeshaji wa Rais.
 
Ya kuwa tunapelekwa kwenye arbitration ni kwa sababu ya wawekezaji kuogopa sheria za nchi husika. Sasa mbona kuna kesi za Saudia Arabia, Egypt, Italy, Spain, Hungry na other EU states ambazo kama ukubaliani na maamuzi ya mahakama zao unaweza kukataa rufa mpaka mahakama ya EU Brussel na bado zimepelekwa ICSID.

Ni hivi arbitration mara nyingi hasa kwa nchi za wenzetu huwa kwenye maelewano ya mkataba ukitokea mzozo namna utakavyoamuliwa.

Ebu kwanza google arbitrator chair huwa ni nani? normal judge au industry expert.

Lissu Nguli wa sheria kwako wewe.

Mimi najifunza misingi ya sheria kwa watu walioanzisha mijadala ya justice na concept zao zinatumiwa kwenye utungwaji wa sheria na kutoa haki mpaka leo. Sasa wewe katika hawa ushamsoma nani?

  1. Plato na maelezo yake ya distributive justice.
  2. Aristotle corrective justice
  3. Thomas Aquinas as social harmony
  4. Karl Max
  5. Chaim Perelman
  6. Jeremy Bentham
  7. John Stuart Mill
  8. John Rawls
  9. Robert Nozick
  10. Rudolph von Jhering
  11. Roscoe Pound
  12. Wesley Hohfeld
Or who exactly perspective of Justice is more attuned to your beliefs.

Lissu ni mwanasheria bora kwa viwango vyako sio kila mtu.

Lissu ni mwansheria Bora mpaka Magufuli akataka aache kugombea urais ampe kazi.
 
Arbitration sio public hearing kama mahakama unazozijua wewe, ni private hearing wanaoingia ni involved parties only.

Hakuna raia wala vyombo vya habari.

Like seriously haya mambo sio lazima ata uwe mwanasheria kuyajua kwenye masomo ya biashara na management degrees ni mandatory kufundishwa modules za ‘business law’, contract law or ‘dispute resolution process (which covers different ADR and their legal implication). Sasa katika hizo modules kama ukusoma zote basi walau ata moja ni mandatory nchi za wenzetu.

Arbitration ni ADR (alternative dispute resolution) its private sio mahakama kama tulizozizoea na inaendeshwa na industry expert husika in normal circumstances wote mnatakiwa mumuafiki.

Yaani ata hilo watanzania atuelewi na kila siku tunashitakiwa huko.

Tatizo wewe unaiongelea hiyo mahakama katika angle ya business na sio kisheria. Hiyo mahakama inatambulika kisheria na ipo chini ya mkataka wa kimataifa wa kuanzisha mahakama ya usuluhishi wa migogoro ya kiuwekezaji baina ya Host state na mwekezaji . Tanzania ilisaini makubaliano hayo mwaka 1992 na ilianza kuwa mwanachama tarehe 10 January 1992.
 
Lkn haina uhusiano wa yeye kusamehe. Vinginevyo maisha ni kupanga na kupanga ni kuchagua. Akiamua kujifungia kwenye gereza la chuki na kisasi, uamuzi unabakia mikononi mwa Tundu.

Atamsamehe Nani wakati hawajulikani?. Serikali haitaki kuwakamata, inataka mtu aliyekuwa kwenye comma mwezi mziama aje awasaidie upelelezi.
 
Hongera kwa kuonesha uhuru wako wa maoni. Lkn pole sana, maana chaguo lako halitakuwa la wengi.

Machaguo yangu ni mawili, Lissu au Heche. Kwa Lissu kuwa mwenyekiti inaweza kuwa ngumu maana yupo nje ya nchi. Ila kwa Sasa ili CHADEMA iende mbele tunamuhitaji Heche aliyeko ground.
 
Machaguo yangu ni mawili, Lissu au Heche. Kwa Lissu kuwa mwenyekiti inaweza kuwa ngumu maana yupo nje ya nchi. Ila kwa Sasa ili CHADEMA iende mbele tunamuhitaji Heche aliyeko ground.

Ni kweli, ila CDM, ingetambua mkondo na umuhimu wa nyakati hizi, ingepambana kutafuta na kuandaa president material. Maana binafsi naona mlango uko wazi kabisa.
 
Tatizo wewe unaiongelea hiyo mahakama katika angle ya business na sio kisheria. Hiyo mahakama inatambulika kisheria na ipo chini ya mkataka wa kimataifa wa kuanzisha mahakama ya usuluhishi wa migogoro ya kiuwekezaji baina ya Host state na mwekezaji . Tanzania ilisaini makubaliano hayo mwaka 1992 na ilianza kuwa mwanachama tarehe 10 January 1992.

2FA78048-B896-4F25-B459-8541A8634CFA.jpeg


Ndugu ICSID is an acronym for ‘International Centre for Settlement of Investment Disputes’; so uwepo wake ni kutatua migogoro ya kibiashara tu hawana kazi nyingine.

Kuwa mwanachama aina maana basi unaweza shitakiwa kiholela holela na mtu yeyote, ata wao wanakwambia case zao zina consent ya pande mbili kufunguliwa kwao. Sasa hayo mambo yanakuwa ndani ya mkataba ukitokea mgogoro uta tatuliwa wapi na pande zote mbili zina afiki.

Na kinacho dadaviwa huko ni contract terms nothing else to justify breach and award damages. Nchi wanachama wanaweza kadhia decision kama kukamata mali za mdaiwa baada arbitration ikishaamua final decision.

Huyo Lissu anawapotosha sana.
 
Ni kweli, ila CDM, ingetambua mkondo na umuhimu wa nyakati hizi, ingepambana kutafuta na kuandaa president material. Maana binafsi naona mlango uko wazi kabisa.

Nitajie majina mawili au moja la unayemuona ni presidential material tuanze kumweka mbele.
 
Back
Top Bottom