Kafulila: Mwaka mmoja tu wa Rais Samia mauzo ya bidhaa na huduma nje yameongezeka kwa US$ 2.8bl Sawa na Shilingi trilioni 6

Kafulila: Mwaka mmoja tu wa Rais Samia mauzo ya bidhaa na huduma nje yameongezeka kwa US$ 2.8bl Sawa na Shilingi trilioni 6

Na hiki ndio kiini cha ngonjera zote za tumbili....njaa!
Hayo mauzo nayaona ni namba tu.
Mwananchi wa kawaida bado anasulubika.
Kweli njaa yako inaweza kuizidi ya Kafulila anayepewa kiinua mgongo cha Karibu 200M?!
 
Ni mpumbafu tu ndio atamnyima kura Samia,Naamini hata Mbowe na Lissu watamchagua must,
Ni mpumbavu pekee na anayekula bule Kwa shemeji yake atayempa kura,

Lakini anayetafuta ili alishe familia yake, hatompa kura huyo!

Maana yake, hadi shemeji yako mahali unakula na kulala, hatompa kura!
 
Wakati baadhi ya Watanzania wachache wakiendelea kufumba macho na masikio wasione wala kusikia kazi kubwa na Nzuri inayofanywa na Rais wetu hodari wa awamu ya sita Mhe Samia Suluhu Hassan,

Aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe David Kafulila ameandika haya Kwenye ukurasa wake wa tweeter kuhusu Tanzania kuvunja rekodi ya kuuza nje ya nchi bidhaa na huduma,

Kwa taarifa tu, Rekodi hii haijawahi kutokea tangu nchi yetu iwe huru kisiasa na kiuchumi,

#Hongera Rais Samia Suluhu Hassan na team yako,

👇👇👇


View attachment 2365046
Kimsingi Serikali ya Rais Samia Haina shida ya pesa ndogo ndogo ndio maana unaona miradi kwenye sekta zote inafanyika..

On top of that ina jeuri ya ajira nk 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220922-162447.png
    Screenshot_20220922-162447.png
    151.4 KB · Views: 3
Wakati baadhi ya Watanzania wachache wakiendelea kufumba macho na masikio wasione wala kusikia kazi kubwa na Nzuri inayofanywa na Rais wetu hodari wa awamu ya sita Mhe Samia Suluhu Hassan,

Aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe David Kafulila ameandika haya Kwenye ukurasa wake wa tweeter kuhusu Tanzania kuvunja rekodi ya kuuza nje ya nchi bidhaa na huduma,

Kwa taarifa tu, Rekodi hii haijawahi kutokea tangu nchi yetu iwe huru kisiasa na kiuchumi,

#Hongera Rais Samia Suluhu Hassan na team yako,

👇👇👇


View attachment 2365046
Hizo ni figures nzuri lakini shida ipo ukija kwa Ground pesa hakuna na bidhaa muhimu ziko bei juu sana Mkuu !! Ukiwaambia watu hizo Takwimu hawatakuelewa kabisaaa. !! Hiyo ndio shida Brother !
 
Hizo ni figures nzuri lakini shida ipo ukija kwa Ground pesa hakuna na bidhaa muhimu ziko bei juu sana Mkuu !! Ukiwaambia watu hizo Takwimu hawatakuelewa kabisaaa. !! Hiyo ndio shida Brother !
Pesa ingekuwa hakuna kama unavyodai wewe miradi ingesimama,ajira zisingekuwepo,vilio vya kufunga biashara ungesikia na ujenzi wa nyumba za watu ungekuwa unasua sua..

Ukweli ni kwamba pesa haiwezi kufuata lazima uifuate iliko.
 
Ni mpumbavu pekee na anayekula bule Kwa shemeji yake atayempa kura,

Lakini anayetafuta ili alishe familia yake, hatompa kura huyo!

Maana yake, hadi shemeji yako mahali unakula na kulala, hatompa kura!
Kura atazoa kama zote tena nyingi ni za Vijijini.. pengine taahira tuu ndio hatomchagua.

Ona hii miradi mipya ya barabara za lami ujenzi unaendelea 👇
 

Attachments

  • IMG_20220918_130159_873.jpg
    IMG_20220918_130159_873.jpg
    830.5 KB · Views: 3
  • IMG_20220918_121950_104.jpg
    IMG_20220918_121950_104.jpg
    817 KB · Views: 2
  • IMG_20220917_125932_315.jpg
    IMG_20220917_125932_315.jpg
    1.2 MB · Views: 3
  • IMG_20220917_125942_512.jpg
    IMG_20220917_125942_512.jpg
    1 MB · Views: 3
Pesa ingekuwa hakuna kama unavyodai wewe miradi ingesimama,ajira zisingekuwepo,vilio vya kufunga biashara ungesikia na ujenzi wa nyumba za watu ungekuwa unasua sua..

Ukweli ni kwamba pesa haiwezi kufuata lazima uifuate iliko.
Na mimi naomba mnifundishe namna ya kuifuata hiyo hela ilipo !!
 
Back
Top Bottom