Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
Tumpe benefit of the doubt, anajua maana ya audacity and Kafulila is all that.Ulivyolitumia hilo neno audacity hapo nathubutu kusema hilo neno hujui maana yake kabisaaa! Umetokea tu kulikariri na huna habari kama ni Kinyantuzu au Kidengereko, pole sana mkuu!
Umenikumbusha yule Jaji (RIP) aliyemwambia bila kufikicha macho kwamba yeye ni Tu2 tu!Waliomwambia mjini hakumfai arudi mwituni walishamjua
Sio kutetea nchi, wananchi na rasilimali za nchi husika ?Uzalendo ni kumtetea Rais na Serikali yake,
Sasa kama alikuwa anapigia chapio kina ADANI waje kusambaza Umeme wakati wanajulikana kwa Mlungula unategemea hapo alikuwa anapigia chapio kitu gani (ukizingatia historia yao katika umeme hata kwa layman inajulikana)Kafulila ni Mzalendo wa kweli, Hali Wala hapokei rushwa ila anapiga spana sana
CCM ni nani na yanayofanyika na yanayofanywa na hawa walamba asali na madalali yamo kwenye dhima ya CCM (Chama cha Wakulima na Wafanyakazi) ? Au kishabadilika na kuwa chama cha Madalali bila kupeana taarifaKazi ya mwanaCCM yoyote ni kuilinda na kuitetea CCM na Serikali yake.
Kafulila ni kiongozi wa mfano.
π€£Umenikumbusha yule Jaji (RIP) aliyemwambia bila kufikicha macho kwamba yeye ni Tu2 tu!
Sio benefi of the doubt,Tumpe benefit of the doubt, anajua maana ya audacity and Kafulila is all that.
Mwache atupe entertainment kwa angle anayotaka.
Either way, he is now a political nuisance.π€£
Mkuu jina linaandikwa Two2 au Too2
R.I.P .G WEREMAMungu mpe pumziko la furaha aliye muita jina la tumbili
View attachment 3269096
Kupika na kupakuaJesca ni demu wa kiswaswadu au sio
Walau google basi kwanza, kabla ya kuwa na confidence ivyo.Sio benefi of the doubt,
Ila ni benefit of doubt,
Wewe ni mweupe sana ππ
Kwanini ni Google wakati akili ipo?Walau google basi kwanza, kabla ya kuwa na confidence ivyo.
Zamani wazee walikuwa na msemo πYaani anatokea kwenye media kuliko msemaji wa serikali, CCM, CDM, ACT na wasemaji wa wizara wote combine
Kwanini ni Google wakati akili ipoWalau google basi kwanza, kabla ya kuwa na confidence ivyo.
Unamaanisha Nini?Zamani wazee walikuwa na msemo π
Panya akitaka kutajwa jina hutoka shimoni na kurudi shimoni baada ya kutajwa
Unamaanisha niniZamani wazee walikuwa na msemo π
Panya akitaka kutajwa jina hutoka shimoni na kurudi shimoni baada ya kutajwa
Huyu jamaa ni chizi pesa za mama zinamchanganya sana.Hili nimeliona na kuna watu Lumumba wanazungumza.kuwa dogo sasa anaropoka sana. Yeye anataka kuwa Katibu wa Chama kwa maoni ya watu wengi.
Ameanza kukera baadhi ya watu kuwa ana jikomba mpaka anajikomboleza.mwishoni atabakia hana kitu. Wataalamu wanasema pengine ni ushamba na pia kuchanganyikiwa. Alikaa sana juu ya mawe sasa kuja pewa kitengo ni jambo ambalo limemchanganya.
Kwa hali anayoenda nayo wataalamu wanasema siku zijazo atakosa la kuzungumza na watu wata play audio au videos zake kumkumbusha alivyokuwa aki rorojoka. Wanasema aweke akiba ya maneno asiseme akamaliza.
Naona wapinzani kama wameamua kumwacha ili asipate attention na hili ni jambo linaomuumiza sababu anatamani sana apate nafasi ya kupambana aoneshe yeye ni CCM kweli kweli kuliko CCM wenyewe. Sasa wao wanamwacha anaongea peke yake hawamgusi. Hili linamfanya ajaribu kuomba hata midahalo. Wanamwambia yeye hana cheo cha kujadiliana nao. Anaumia.
Pesa gani za mama wewe jibu hoja zake,Huyu jamaa ni chizi pesa za mama zinamchanganya sana.
Pesa gani za mama wewe jibu hoja zake,Huyu jamaa ni chizi pesa za mama zinamchanganya sana.
Tuombe msaada kwa wengine waitafsiriUnamaanisha Nini?
Zamani wazee walikuwa na msemo π
Panya akitaka kutajwa jina hutoka shimoni na kurudi shimoni baada ya kutajwa
Data zake zinakusaidia nini wewe?Pesa gani za mama wewe jibu hoja zake,
Kafulila anatoa data hawezi kusema uongo kwa data