Kafulila watu wameanza kumdharau wamegundua anapitiliza

Ulivyolitumia hilo neno audacity hapo nathubutu kusema hilo neno hujui maana yake kabisaaa! Umetokea tu kulikariri na huna habari kama ni Kinyantuzu au Kidengereko, pole sana mkuu!
Tumpe benefit of the doubt, anajua maana ya audacity and Kafulila is all that.

Mwache atupe entertainment kwa angle anayotaka.
 
Uzalendo ni kumtetea Rais na Serikali yake,
Sio kutetea nchi, wananchi na rasilimali za nchi husika ?
Kafulila ni Mzalendo wa kweli, Hali Wala hapokei rushwa ila anapiga spana sana
Sasa kama alikuwa anapigia chapio kina ADANI waje kusambaza Umeme wakati wanajulikana kwa Mlungula unategemea hapo alikuwa anapigia chapio kitu gani (ukizingatia historia yao katika umeme hata kwa layman inajulikana)
Kazi ya mwanaCCM yoyote ni kuilinda na kuitetea CCM na Serikali yake.
Kafulila ni kiongozi wa mfano.
CCM ni nani na yanayofanyika na yanayofanywa na hawa walamba asali na madalali yamo kwenye dhima ya CCM (Chama cha Wakulima na Wafanyakazi) ? Au kishabadilika na kuwa chama cha Madalali bila kupeana taarifa
 
🀣
Mkuu jina linaandikwa Two2 au Too2
Either way, he is now a political nuisance.

Kwanini asitulie tu kwenye nafasi yake na kufanya kazi; kuliko kila siku kutokea kwenye media.

Yaani anatokea kwenye media kuliko msemaji wa serikali, CCM, CDM, ACT na wasemaji wa wizara wote combine
 
Yaani anatokea kwenye media kuliko msemaji wa serikali, CCM, CDM, ACT na wasemaji wa wizara wote combine
Zamani wazee walikuwa na msemo πŸ‘‡
Panya akitaka kutajwa jina hutoka shimoni na kurudi shimoni baada ya kutajwa
 
Huyu jamaa ni chizi pesa za mama zinamchanganya sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…