Kagame ameingia kibabe sana kwenye mkutano wa amani wa viongozi wa SADC&EAC hapa Dar!

Kagame ameingia kibabe sana kwenye mkutano wa amani wa viongozi wa SADC&EAC hapa Dar!

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Nimeona video Kagame akiingia kwenye ukumbi uliokuwa na viongozi wengine wakuu wakimsubiria. Ameingia kibabe sana na kimamlaka, unaweza kuona viongozi wote hadi wa Congo wamemsalimia kwa tabasamu kubwa sana na bashasha!

Kwa body language yake na viongozi wengine wakisalimiana unaweza kuwa hujakosea kusema ni kama vile yeye ndiye atakuwa ana dictate terms! Masikini Tshisekedi.
 
Nimeona video Kagame akiingia kwenye ukumbi uliokuwa na viongozi wengine wakuu wakimsubiria. Ameingia kibabe sana na kimamlaka, unaweza kuona viongozi wote hadi wa Congo wamemsalimia kwa tabasamu kubwa sana na bashasha!

Kwa body language yake na viongozi wengine wakisalimiana unaweza kuwa hujakosea kusema ni kama vile yeye ndiye atakuwa ana dictate terms! Masikini Tshisekedi.
Kagame na Museven ni fitina kubwa katika eneo letu mpaka wawe eliminated ndo eneo lipate amani, wote ni homocidal dictators bloodsunkers, power greedy wezi na fisadi wa kubwa.......hawana huruma na wenyeji wa nchi zao.
 
Kagame na Museven ni fitina kubwa katika eneo letu mpaka wawe eliminated ndo eneo lipate amani, wote ni homocidal dictators bloodsunkers, power greedy wezi na fisadi wa kubwa.......hawana huruma na wenyeji wa nchi zao.
Kwahio Matatizo ya haya mambo yameanza baada ya Kagame na Museveni kuja ?; Unajua dhahama zilizokuwa zikitokea / zilizotokea kabla ya Kagame Rwanda na Museveni Uganda ?

Haya mambo tusipoangalia mzizi wa vitina tutakuwa tunaturudi pale pale mwaka baada ya mwaka kwa kutafuta cultprits hapa na pale (tunatibu symptoms badala ya ugonjwa)
 
Viongozi wote wanataka mazungumzo ya mezani yanayohusisha makundi yote ikiwemo kundi kubwa la AFC / M23 ndiyo maana Tshisekedi kaamua kususa kiaina kushiriki kwa zoom online mkutano huu wa Dar es Salaam ambapo labda viongozi wa DR Congo na Burundi tu ndiyo wanataka mzozo huu uishe kwa mtutu wa bunduki lakini viongozi wa SADC na EAC wengine wote wanaafiki mazungumzo ndiyo njia sahihi kumaliza mgogoro huu wa kikabila Congo.

Soma : Burundi yaongeza wanajeshi Kivu Kusini

Soma : Waasi wa M23 sasa waelekea mji wa Bukavu
 
Watutsi mmejazana mitandaoni..eti kibabe!!
M 23 na Alshabaab kitu kimoja tafauti yao ni dini tu, hawa wakristo na hawa ni waislamu.
Watutsi na wasomali kuna vitu wanafanana kimaumbile na kitabia.
Kimaumbile wote ni warefu na wenye pua ndefu .
Na kitabia ni watu wanapenda chokochoko na kupenda kuwa juu ya watu wengine kwa njia yoyote hata kwa kumwaga damu za watu!
 
Nimeona video Kagame akiingia kwenye ukumbi uliokuwa na viongozi wengine wakuu wakimsubiria. Ameingia kibabe sana na kimamlaka, unaweza kuona viongozi wote hadi wa Congo wamemsalimia kwa tabasamu kubwa sana na bashasha!

Kwa body language yake na viongozi wengine wakisalimiana unaweza kuwa hujakosea kusema ni kama vile yeye ndiye atakuwa ana dictate terms! Masikini Tshisekedi.
View attachment 3229110
Nimegundua mnamtetemekea sana Kagame, hata wewe???
 
Nimeona video Kagame akiingia kwenye ukumbi uliokuwa na viongozi wengine wakuu wakimsubiria. Ameingia kibabe sana na kimamlaka, unaweza kuona viongozi wote hadi wa Congo wamemsalimia kwa tabasamu kubwa sana na bashasha!

Kwa body language yake na viongozi wengine wakisalimiana unaweza kuwa hujakosea kusema ni kama vile yeye ndiye atakuwa ana dictate terms! Masikini Tshisekedi.
View attachment 3229110
Kwahiyo hapo wa DRC ni yupi? Je wameshikana mikono?
 
07 February 2025
Kigali Rwanda

Kituo cha Taifa Television RTV

Mwendesha mdahalo bwana Ruziga Emmanuel Masantura wa idhaa ya Taifa RBA kiswahili ya televisheni ya taifa ya RTV Kigali Rwanda

DIRA YETU: Amani maziwa makuu: Nini suluhisho la migogoro kwenye ukanda?


View: https://m.youtube.com/watch?v=A0USsnGjM7w

RTV studio kuna wageni wabobezi kufanya uchambuzi , ikiwemo ushuhuda wa mmoja wa wanajopo alitimuliwa akiwa mtoto mdogo kabisa pamoja na familia yake baba na mama kutoka Congo ya Mashariki na kisha kupokelewa Tanzania enzi za utawala wa rais Julius Nyerere kama mkimbizi..

uchambuzi huu wa kina unajikita katika sera, siasa na mikakati ya kikanda unaangalia suala la amani na chanzo cha migogoro eneo hili la Maziwa Makuu yaani nchi za Rwanda, Burundi, DR Congo, Uganda, Tanzania ... na suluhisho kwenda mbele
 
Nimeona video Kagame akiingia kwenye ukumbi uliokuwa na viongozi wengine wakuu wakimsubiria. Ameingia kibabe sana na kimamlaka, unaweza kuona viongozi wote hadi wa Congo wamemsalimia kwa tabasamu kubwa sana na bashasha!

Kwa body language yake na viongozi wengine wakisalimiana unaweza kuwa hujakosea kusema ni kama vile yeye ndiye atakuwa ana dictate terms! Masikini Tshisekedi.
View attachment 3229110
Ushabiki mwingine wa hovyo,
 
Back
Top Bottom