Kagame ameingia kibabe sana kwenye mkutano wa amani wa viongozi wa SADC&EAC hapa Dar!

Kagame ameingia kibabe sana kwenye mkutano wa amani wa viongozi wa SADC&EAC hapa Dar!

Kagame na Rwanda yake imefanya Kama alivyofanya ni kuikalia Goma kimabavu then ndio tuanze maongezi kama Putin na Urusi yake kuikalia Crimea
 
Haya ngoja twende taratibu, umeona handshake yake na hao viongozi hapo?, umeona kaa ya Mzee Mseveni hapo alafu angalia za wengine wote.

Niseme tu, Mzee Mseveni atawafundisha wote hapo, la atataka kuwafundisha wote hapo. Sisi tumeonesha toka mwanzo tupo na ubavu/mamlaka fulani hivi. Ila Ruto naona ataleta mahubiri zaidi yakutiana faraja.

Kuna ambao hawaoni kitisho zaidi wanaamini wana nguvu sawa, labda ni kweli au ni nadharia tu.

Ila wadau watu wanazeeka aisee.
 
So, tell us, who's behind this saga??
Things are never simple or black or white there are a lot of grey areas and a lot of culprits and whenever there is Chaos people always takes advantage to self enrich themselves..., kuna siku nilishasema kila upande hapo wana hoja zao za msingi ambazo kwa mwingine ni kazi kuziafiki na katika huu mchezo wa cat and mouse na hii impasse raia wa kawaida hapo wanazidi kuumia.... maybe its about time sehemu yote hio ya Kivu na raia wote wa hapo waanze kuwaza kuwa na nchi yao.... (sababu wamekuwa kama Yatima)
 
Mheshimiwa Felix Tshisekedi hakutokea, ashiriki kwa njia ya mtandao


View: https://m.youtube.com/watch?v=U4geDVePvDk

Nukuu za Comments mtandaoni :
  • ikiwa kati ya wale ambao hawapo ni mtu anayehusika, tunawezaje kumsaidia mtu ambaye hapendezwi ....
  • hapa ndio tatizo la Felix Tshisekedi huwa anakimbia majukumu yake 😂😂😂😂😂😂 hapa tatizo lake kubwa
  • Na bado anataka jambo litatuliwe??????
  • Kagame una enda just because you already arranged with others to support you
  • N.k
 
Nimeona video Kagame akiingia kwenye ukumbi uliokuwa na viongozi wengine wakuu wakimsubiria. Ameingia kibabe sana na kimamlaka, unaweza kuona viongozi wote hadi wa Congo wamemsalimia kwa tabasamu kubwa sana na bashasha!

Kwa body language yake na viongozi wengine wakisalimiana unaweza kuwa hujakosea kusema ni kama vile yeye ndiye atakuwa ana dictate terms! Masikini Tshisekedi.
View attachment 3229110
Kaingiaje kibabe na kimamlaka?

Kuingia kwa kutembea ndio ubabe? Wewe kwenye ukumbi huwa unaingia kwa kutambaa?

Kukaribishwa na kuonyeshwa sehemu ya kuketi, kuwafuata kila aliyepo na kuwasalimia ndio ubabe?

Vitu vya kitoto hivi mnakuza.
 
Things are never simple or black or white there are a lot of grey areas and a lot of culprits and whenever there is Chaos people always takes advantage to self enrich themselves..., kuna siku nilishasema kila upande hapo wana hoja zao za msingi ambazo kwa mwingine ni kazi kuziafiki na katika huu mchezo wa cat and mouse na hii impasse raia wa kawaida hapo wanazidi kuumia.... maybe its about time sehemu yote hio ya Kivu na raia wote wa hapo waanze kuwaza kuwa na nchi yao.... (sababu wamekuwa kama Yatima)
1. Everything is very clear and visible..

2. Kujitenga sio solution (refer to Sudan)

3. Mataifa ya west (US, France, etc) + their puppets (PK & YM) should stay out of DRC
 
Nje ya Mada.

Nani alimpa hilo shart Museveni? It seems like analipenda sana kiasi cha kumuona nalo mara nyingi.

lkn pia the guy seems to be tired and hopeless he should give himself rest.
 
Nimeona video Kagame akiingia kwenye ukumbi uliokuwa na viongozi wengine wakuu wakimsubiria. Ameingia kibabe sana na kimamlaka, unaweza kuona viongozi wote hadi wa Congo wamemsalimia kwa tabasamu kubwa sana na bashasha!

Kwa body language yake na viongozi wengine wakisalimiana unaweza kuwa hujakosea kusema ni kama vile yeye ndiye atakuwa ana dictate terms! Masikini Tshisekedi.
View attachment 3229110
Ila ameshazeeka sana
 
Back
Top Bottom