Kagame ameingia kibabe sana kwenye mkutano wa amani wa viongozi wa SADC&EAC hapa Dar!

Kagame ameingia kibabe sana kwenye mkutano wa amani wa viongozi wa SADC&EAC hapa Dar!

Nimeona video Kagame akiingia kwenye ukumbi uliokuwa na viongozi wengine wakuu wakimsubiria. Ameingia kibabe sana na kimamlaka, unaweza kuona viongozi wote hadi wa Congo wamemsalimia kwa tabasamu kubwa sana na bashasha!

Kwa body language yake na viongozi wengine wakisalimiana unaweza kuwa hujakosea kusema ni kama vile yeye ndiye atakuwa ana dictate terms! Masikini Tshisekedi.
View attachment 3229110
Mbona anatembea kama Sokomoko
 
Kila kitu kina mwisho, Wacongo watapumua siku moja
kwa bahati mbaya, Goma tayari imeshatwaliwa na waasi wamesema hawarudi msituni tena. sudan kusin ilikuwa hivyo, maeneo ya ukrain yalikuwa hivyo. hi yo ndiio inakuwaga ni njia ya kuunda nchi mpya ndani ya nchi ya zamani na icho ndicho mr.slim alikuwa anakitafuta kwa miaka mingi na amefanikiwa, apongezwe tu. hata mseven anasapoti icho kitu. iyo nchi muda si mrefu itajiunga na rwanda na itaongeza eneo ili rwanda ambayo ni overpopulated iweze kupumua, na watusi wataongezeka duniani, na rwanda sasa itakuwa na ardhi yenye madini, atayatumia vizuir kuendelea.
 
Mheshimiwa Felix Tshisekedi hakutokea, ashiriki kwa njia ya mtandao


View: https://m.youtube.com/watch?v=U4geDVePvDk

Nukuu za Comments mtandaoni :
  • ikiwa kati ya wale ambao hawapo ni mtu anayehusika, tunawezaje kumsaidia mtu ambaye hapendezwi ....
  • hapa ndio tatizo la Felix Tshisekedi huwa anakimbia majukumu yake 😂😂😂😂😂😂 hapa tatizo lake kubwa
  • Na bado anataka jambo litatuliwe??????
  • Kagame una enda just because you already arranged with others to support you
  • N.k

Ulitaka wam'habyarimane'!?
🤣:AweeWoo:
 
Mheshimiwa Felix Tshisekedi hakutokea, ashiriki kwa njia ya mtandao


View: https://m.youtube.com/watch?v=U4geDVePvDk

Nukuu za Comments mtandaoni :
  • ikiwa kati ya wale ambao hawapo ni mtu anayehusika, tunawezaje kumsaidia mtu ambaye hapendezwi ....
  • hapa ndio tatizo la Felix Tshisekedi huwa anakimbia majukumu yake 😂😂😂😂😂😂 hapa tatizo lake kubwa
  • Na bado anataka jambo litatuliwe??????
  • Kagame una enda just because you already arranged with others to support you
  • N.k

Kutokana na sababu za kiusalama, "Tishe Boy" Yupo sahihi kutohudhuria.
 
Everything is clear...
Even if things are clear but are not as clear as water or day and night, when different individuals have grudges most of the time both of them have got viable reasons, that's why they sometimes try to find compromise
Kujitenga sio solution (refer to Sudan)
Sababu South walijitenga hawakufanikiwa does not mean wengine wasifanye hivyo; kuwa nchi moja ni kwamba mna umoja na nchi yenu kwa pamoja mnajilinda na kulinda watu wenu sehemu zote; sasa kama wa pengine huko mbali wanabaki kama yatima na bila msaada from the centre it means the centre can no longer hold, na mambo ya Vita Congo hii sio mara ya kwanza, kuna first Congo War, Kuna Second Congo War na Vita vya Kutosha ambavyo vimekuwa vikitokea kwenye jamii hizo hata kabla ya hii Modern Congo
Mataifa ya west (US, France, etc) + their puppets (PK & YM) should stay out of DRC
Hakuna mtu atabisha hilo (ukizingatia wengi wanakwenda pale kama wezi) pia hata Charter ya OAU ilikuwa na Non Interference ( ingawa inabidi tupime ni wapi kama majirani hatuingilii kati) Sababu hilo ndio lilipelekea Majirani, Afrika na Dunia kwa Ujumla kuangalia wakati baadhi ya Wahutu wanachinja Watusi (tukisema kwamba hayo ni mambo yao ya ndani i.e. Internal Affairs)
 
labda viongozi wa DR Congo na Burundi tu ndiyo wanataka mzozo huu uishe kwa mtutu wa bunduki lakini viongozi wa SADC na EAC wengine wote wanaafiki mazungumzo ndiyo njia sahihi kumaliza mgogoro huu wa kikabila Congo.


08 February 2025
Dar es Salaam, Tanzania

Maneno mazito ya mwenyekiti wa EAC rais William Ruto bila kupepesa macho wala kumungunya maneno asema
:

Hakika Mtutu wa Bunduki na Mabomu Hayawezi Kutatua Mgogoro Huu Mgumu wa Congo


View: https://m.youtube.com/watch?v=eOtJbUWcnVQ
 
Nimeona video Kagame akiingia kwenye ukumbi uliokuwa na viongozi wengine wakuu wakimsubiria. Ameingia kibabe sana na kimamlaka, unaweza kuona viongozi wote hadi wa Congo wamemsalimia kwa tabasamu kubwa sana na bashasha!

Kwa body language yake na viongozi wengine wakisalimiana unaweza kuwa hujakosea kusema ni kama vile yeye ndiye atakuwa ana dictate terms! Masikini Tshisekedi.
View attachment 3229110
Misafara milefu ya Nini,Safi kagame!
 
Enzi za JK angeitwa Ikulu huyo baada ya Kikao,ni kama anapelekwa tu atake asitake.

Maza Hawezi hizi shoo
 
08 February 2025
Dar es Salaam, Tanzania

Maneno mazito ya mwenyekiti wa EAC rais William Ruto bila kupepesa macho wala kumungunya maneno
: Mtutu wa Bunduki na Mabomu Hayawezi Kutatua Mgogoro Huu Mgumu wa Congo


View: https://m.youtube.com/watch?v=eOtJbUWcnVQ

sikubaliani naye, hivi nchi zote hizi, zimeshindwa kuingia kibabe na kuwakamatwa m23? au kwa sababu baadhi yao kama marais watatu kati ya hao, wanasapoti m23.
 
Mheshimiwa Felix Tshisekedi hakutokea, ashiriki kwa njia ya mtandao


View: https://m.youtube.com/watch?v=U4geDVePvDk

Nukuu za Comments mtandaoni :
  • ikiwa kati ya wale ambao hawapo ni mtu anayehusika, tunawezaje kumsaidia mtu ambaye hapendezwi ....
  • hapa ndio tatizo la Felix Tshisekedi huwa anakimbia majukumu yake 😂😂😂😂😂😂 hapa tatizo lake kubwa
  • Na bado anataka jambo litatuliwe??????
  • Kagame una enda just because you already arranged with others to support you
  • N.k

Anaogopa akitoka yule mwenye bleach kichwani na kidevuni atakalia seat
 
sikubaliani naye, hivi nchi zote hizi, zimeshindwa kuingia kibabe na kuwakamatwa m23? au kwa sababu baadhi yao kama marais watatu kati ya hao, wanasapoti m23.

Kumbuka rais William Ruto ni mlaji wa taarifa nyeti za kiintelejensia za kikanda, amiri jeshi mkuu wa majeshi Kenya hivyo amesoma taarifa nyingi za ki-operesheni za kutumia ubabe wa kidola yaani jeshi Somalia, Haiti, DR Congo, Serbia n.k ambapo Kenya ilishiriki kwa kutumia bunduki, mabomu na silaha nzito kujaribu kwa kushirikiana na nchi zingine kuleta amani chini ya UN, EAC, AU n.k lakini misheni hizo zimefeli..

Rais Museveni majeshi yake yapo Congo kupitia Operesheni Shujaa anafahamu ugumu wa vita

Marais wa Tanzania, Malawi, South Africa, Burundi, Rwanda pia wapo Congo kupitia operesheni MONUSCO, SAMIDRC na kwa operesheni fiche zisizo wazi wanafahamu ugumu wa ubabe wa kijeshi siyo suluhisho la amani
 
kwa bahati mbaya, Goma tayari imeshatwaliwa na waasi wamesema hawarudi msituni tena. sudan kusin ilikuwa hivyo, maeneo ya ukrain yalikuwa hivyo. hi yo ndiio inakuwaga ni njia ya kuunda nchi mpya ndani ya nchi ya zamani na icho ndicho mr.slim alikuwa anakitafuta kwa miaka mingi na amefanikiwa, apongezwe tu. hata mseven anasapoti icho kitu. iyo nchi muda si mrefu itajiunga na rwanda na itaongeza eneo ili rwanda ambayo ni overpopulated iweze kupumua, na watusi wataongezeka duniani, na rwanda sasa itakuwa na ardhi yenye madini, atayatumia vizuir kuendelea.
Umeona kile ambacho wengine hawajakiona.hapo Goma Kagame hatoki Tena

Kwanza itakua salama kwake Kwa M23 kukaa hapo ili kuwazuia FDLR

Pili anakua kapata nafasi ya ardhi Kwajiri ya watu wake hasa jamii ya watusi

Kifupi Ile Kivu Republican inaenda kuundwa
 
Umeona kile ambacho wengine hawajakiona.hapo Goma Kagame hatoki Tena

Kwanza itakua salama kwake Kwa M23 kukaa hapo ili kuwazuia FDLR

Pili anakua kapata nafasi ya ardhi Kwajiri ya watu wake hasa jamii ya watusi

Kifupi Ile Kivu Republican inaenda kuundwa
kitu kibaya zaidi kagame anakifanya, anaona wacongo wenye asili ya rwanda ni watusi peke yake, wale FDLR ambao ni wanyarwanda kabisa kabisa na wameenda kule juzi tu 1994 (tofauti na banyamulenge ambao wameenda kule hata yeye hajazaliwa) anawabagua. ni mjinga sana, kama ambavyo huwezi kuwamaliza m23 ndivyo ambavyo huwezi kuwamaliza FDLR, cha muhimu ni wapewe haki kurudi nyumbani kama yeye alivyorudi baada ya kuwa mganda kwa miaka mingi. hatakuja kukaa salama asipowaunganisha hao. jambo lingine, kagame ni mjinga sana, alipoambiwa na kikwete apatane na maadui zake, alitukana akataka hadi kupigana, ila mseven jana kawaambia congo wapatane, umeona difference ya mnywa damu na mwizi wa madini, na mwanadam wa kawaida.
 
William Ruto, Emerson Munangangwa na Samia Suluhu Hassan wakiongea kabla ya kikao cha kujifungia ambapo waandishi wa habari na maofisa wa msafara hawataruhusiwa kuingia kusikiliza mazungumzo ya viongozi wa nchi au wawakilishi wao katika kikao hiki cha wakuu wa nchi za SADC na EAC


View: https://m.youtube.com/watch?v=BtTK5pblmE0
 
Back
Top Bottom