Kagame ameingia kibabe sana kwenye mkutano wa amani wa viongozi wa SADC&EAC hapa Dar!

Kagame ameingia kibabe sana kwenye mkutano wa amani wa viongozi wa SADC&EAC hapa Dar!

kitu kibaya zaidi kagame anakifanya, anaona wacongo wenye asili ya rwanda ni watusi peke yake, wale FDLR ambao ni wanyarwanda kabisa kabisa na wameenda kule juzi tu 1994 (tofauti na banyamulenge ambao wameenda kule hata yeye hajazaliwa) anawabagua. ni mjinga sana, kama ambavyo huwezi kuwamaliza m23 ndivyo ambavyo huwezi kuwamaliza FDLR, cha muhimu ni wapewe haki kurudi nyumbani kama yeye alivyorudi baada ya kuwa mganda kwa miaka mingi. hatakuja kukaa salama asipowaunganisha hao. jambo lingine, kagame ni mjinga sana, alipoambiwa na kikwete apatane na maadui zake, alitukana akataka hadi kupigana, ila mseven jana kawaambia congo wapatane, umeona difference ya mnywa damu na mwizi wa madini, na mwanadam wa kawaida.
Yeye ndio mbaya ila watu hawaoni,hataki mtu atofautiane nae mawazo
 
Even if things are clear but are not as clear as water or day and night, when different individuals have grudges most of the time both of them have got viable reasons, that's why they sometimes try to find comprimise

Sababu South walijitenga hawakufanikiwa does not mean wengine wasifanye hivyo; kuwa nchi moja ni kwamba mna umoja na nchi yenu kwa pamoja mnajilinda na kulinda watu wenu sehemu zote; sasa kama wa pengine huko mbali wanabaki kama yatima na bila msaada from the centre it means the centre can no longer hold, na mambo ya Vita Congo hii sio mara ya kwanza, kuna first Congo War, Kuna Seconda Congo War na Vita vya Kutosha ambavyo vimekuwa vikitokea kwenye jamii hizo hata kabla ya hii Modern Congo

Hakuna mtu atabisha hilo (ukizingatia wengi wanakwenda pale kama wezi) pia hata Charter ya OAU ilikuwa na Non Interference ( ingawa inabidi tupime ni wapi kama majirani hatuingilii kati) Sababu hilo ndio lilipelekea Majirani, Afrika na Dunia kwa Ujumla kuangalia wakati baadhi ya Wahutu wanachinja Watusi (tukisema kwamba hayo ni mambo yao ya ndani i.e. Internal Affairs)

Even if things are clear but are not as clear as water or day and night, when different individuals have grudges most of the time both of them have got viable reasons, that's why they sometimes try to find comprimise

Sababu South walijitenga hawakufanikiwa does not mean wengine wasifanye hivyo; kuwa nchi moja ni kwamba mna umoja na nchi yenu kwa pamoja mnajilinda na kulinda watu wenu sehemu zote; sasa kama wa pengine huko mbali wanabaki kama yatima na bila msaada from the centre it means the centre can no longer hold, na mambo ya Vita Congo hii sio mara ya kwanza, kuna first Congo War, Kuna Seconda Congo War na Vita vya Kutosha ambavyo vimekuwa vikitokea kwenye jamii hizo hata kabla ya hii Modern Congo

Hakuna mtu atabisha hilo (ukizingatia wengi wanakwenda pale kama wezi) pia hata Charter ya OAU ilikuwa na Non Interference ( ingawa inabidi tupime ni wapi kama majirani hatuingilii kati) Sababu hilo ndio lilipelekea Majirani, Afrika na Dunia kwa Ujumla kuangalia wakati baadhi ya Wahutu wanachinja Watusi (tukisema kwamba hayo ni mambo yao ya ndani i.e. Internal Affairs)
Alright, can you offer the permanent solution to this conflict cz It feels like you're just beating around the bush.
 
Nimeona video Kagame akiingia kwenye ukumbi uliokuwa na viongozi wengine wakuu wakimsubiria. Ameingia kibabe sana na kimamlaka, unaweza kuona viongozi wote hadi wa Congo wamemsalimia kwa tabasamu kubwa sana na bashasha!

Kwa body language yake na viongozi wengine wakisalimiana unaweza kuwa hujakosea kusema ni kama vile yeye ndiye atakuwa ana dictate terms! Masikini Tshisekedi.
View attachment 3229110
Yoweli Museveni ni mtu wa tofauti sana... hebu oneni alivyovaa na pozi alilokaa....
 
Nimeona video Kagame akiingia kwenye ukumbi uliokuwa na viongozi wengine wakuu wakimsubiria. Ameingia kibabe sana na kimamlaka, unaweza kuona viongozi wote hadi wa Congo wamemsalimia kwa tabasamu kubwa sana na bashasha!

Kwa body language yake na viongozi wengine wakisalimiana unaweza kuwa hujakosea kusema ni kama vile yeye ndiye atakuwa ana dictate terms! Masikini Tshisekedi.
View attachment 3229110
M7 na PK wamezeeka...
 
sikubaliani naye, hivi nchi zote hizi, zimeshindwa kuingia kibabe na kuwakamatwa m23? au kwa sababu baadhi yao kama marais watatu kati ya hao, wanasapoti m23.
Kwa faida ya nani boss?

Kama Viongozi na Wanajeshi wa DRC wana side na M23 kisiri siri
 
Umeona kile ambacho wengine hawajakiona.hapo Goma Kagame hatoki Tena

Kwanza itakua salama kwake Kwa M23 kukaa hapo ili kuwazuia FDLR

Pili anakua kapata nafasi ya ardhi Kwajiri ya watu wake hasa jamii ya watusi

Kifupi Ile Kivu Republican inaenda kuundwa
Kwani ni mara ya kwanza M23 kuikalia GOMA?
KAZI ni kipimo cha UTU
 
Alright, can you offer the permanent solution to this conflict cz It feels like you're just beating around the bush.
Solution by me will be from my perspective the only people who can offer the permanent solution for their problems are the ones in Congo to be precise Kivu region; together with their counterparts they should unite and if Congo (Kinshasa can not help them) they are better off without them...

Second all these malicious groups be it M23 today or any other group tomorrow should be terminated and without these malicious groups Rwanda and Uganda will not have any plausible reason to be or interfere with Congo...
 
Nimeona video Kagame akiingia kwenye ukumbi uliokuwa na viongozi wengine wakuu wakimsubiria. Ameingia kibabe sana na kimamlaka, unaweza kuona viongozi wote hadi wa Congo wamemsalimia kwa tabasamu kubwa sana na bashasha!

Kwa body language yake na viongozi wengine wakisalimiana unaweza kuwa hujakosea kusema ni kama vile yeye ndiye atakuwa ana dictate terms! Masikini Tshisekedi.
View attachment 3229110
Hakuna ubabe wowote

Uko obsessed tu na huyo jamaa

Umekua Kama kigori kikiona crush wake
 
Back
Top Bottom