Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
M23 hawajasema wanataka kupewa nchi yao....Hakika, ni wendawazimu kung'ang'ania linchi likubwa ambalo halitawaliki na serikali. Kama imeshindikana kuelewana huko Mashariki na Kivu wapewe tu nchi yao, vita iishe watu wafanye maendeleo.