Kagame ameingia kibabe sana kwenye mkutano wa amani wa viongozi wa SADC&EAC hapa Dar!

Kagame ameingia kibabe sana kwenye mkutano wa amani wa viongozi wa SADC&EAC hapa Dar!

Hakika, ni wendawazimu kung'ang'ania linchi likubwa ambalo halitawaliki na serikali. Kama imeshindikana kuelewana huko Mashariki na Kivu wapewe tu nchi yao, vita iishe watu wafanye maendeleo.
M23 hawajasema wanataka kupewa nchi yao....
 
Kagame anawapelekesha
Nimeona video Kagame akiingia kwenye ukumbi uliokuwa na viongozi wengine wakuu wakimsubiria. Ameingia kibabe sana na kimamlaka, unaweza kuona viongozi wote hadi wa Congo wamemsalimia kwa tabasamu kubwa sana na bashasha!

Kwa body language yake na viongozi wengine wakisalimiana unaweza kuwa hujakosea kusema ni kama vile yeye ndiye atakuwa ana dictate terms! Masikini Tshisekedi.
View attachment 3229110
 
Unataka kutuambia Kongo ni nchi kubwa jinga?
Hilo ni jibu la kupigia mstari kabisa, ila watakuja hapa wajinga watasema ooh ni kwa sababu ya madini sijui West wamefanya nini na blah blah nyingine nyingine nyingi tu kama vile Congo ndio nchi pekee yenye madini dunia hii.
 
Hakika, ni wendawazimu kung'ang'ania linchi likubwa ambalo halitawaliki na serikali. Kama imeshindikana kuelewana huko Mashariki na Kivu wapewe tu nchi yao, vita iishe watu wafanye maendeleo.
Wacongomani wa asili hawajawai kusema hivyo we mkimbizi wa juzi tu unalilia ardhi.
 
Wacongomani wa asili hawajawai kusema hivyo we mkimbizi wa juzi tu unalilia ardhi.
Sio lazima hata Wacongamani wenyewe waseme hivyo, kila mtu anajua sababu mojawapo ya machafuko Congo na kukosekana order katika sehemu kubwa ya nchi ni kwa sababu ya serikali dhaifu(weak state).
 
Sio lazima hata Wacongamani wenyewe waseme hivyo, kila mtu anajua sababu mojawapo ya machafuko Congo na kukosekana order katika sehemu kubwa ya nchi ni kwa sababu ya serikali dhaifu(weak state).
Wakulaumiwa hapo ni nani ?
 
Sio lazima hata Wacongamani wenyewe waseme hivyo, kila mtu anajua sababu mojawapo ya machafuko Congo na kukosekana order katika sehemu kubwa ya nchi ni kwa sababu ya serikali dhaifu(weak state).
We na utusi wako mna nini zaidi ya mauaji, na kuweka Rwanda kama ngome yenu.
Nchi ni ya kwao waachwe.
 
..Congo tayari ina utawala wa Majimbo.
Kwenye federation suala la ulinzi huwa ni la serikali kuu, sasa Federal government haiwezi hata ku train wanajeshi wake hadi inaleta mamluki(mercenaries) wazungu kutoka Ulaya hiyo serikali ina maana gani!
 
Nimeona video Kagame akiingia kwenye ukumbi uliokuwa na viongozi wengine wakuu wakimsubiria. Ameingia kibabe sana na kimamlaka, unaweza kuona viongozi wote hadi wa Congo wamemsalimia kwa tabasamu kubwa sana na bashasha!

Kwa body language yake na viongozi wengine wakisalimiana unaweza kuwa hujakosea kusema ni kama vile yeye ndiye atakuwa ana dictate terms! Masikini Tshisekedi.
View attachment 3229110
Mahaba yamekuzidi kimo mbona kawaida sana.
 
Nimeona video Kagame akiingia kwenye ukumbi uliokuwa na viongozi wengine wakuu wakimsubiria. Ameingia kibabe sana na kimamlaka, unaweza kuona viongozi wote hadi wa Congo wamemsalimia kwa tabasamu kubwa sana na bashasha!

Kwa body language yake na viongozi wengine wakisalimiana unaweza kuwa hujakosea kusema ni kama vile yeye ndiye atakuwa ana dictate terms! Masikini Tshisekedi.
View attachment 3229110
 
Back
Top Bottom