Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahahaha,basi hata huyo haongei nae , ngoja mkutano uisheTshekedi ameshasema hawezi kuongea na mbwa (M23) labda aongee na mmiliki (PK).
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha,basi hata huyo haongei nae , ngoja mkutano uisheTshekedi ameshasema hawezi kuongea na mbwa (M23) labda aongee na mmiliki (PK).
Kama Tshekedi hajaja, basi huo mkutano utamalizika bila ufumbuzi wowote.Hahahaha,basi hata huyo haongei nae , ngoja mkutano uishe
Nimeona video Kagame akiingia kwenye ukumbi uliokuwa na viongozi wengine wakuu wakimsubiria. Ameingia kibabe sana na kimamlaka, unaweza kuona viongozi wote hadi wa Congo wamemsalimia kwa tabasamu kubwa sana na bashasha!
Kwa body language yake na viongozi wengine wakisalimiana unaweza kuwa hujakosea kusema ni kama vile yeye ndiye atakuwa ana dictate terms! Masikini Tshisekedi.
View attachment 3229110
PM wake yupi Kuna video call meeting ataongeaKama Tshekedi hajaja, basi huo mkutano utamalizika bila ufumbuzi wowote.
Angekuwepo yeye binafsi ingekuwa rahisi hata viongozi wenzake kuwashinikiza yeye na PK wafikie aina fulani ya muafaka Ili kupunguza mvutano.PM wake yupi Kuna video call meeting ataongea
Nchi amwachiye nani kipindi hiki cha machafuko?Angekuwepo yeye binafsi ingekuwa rahisi hata viongozi wenzake kuwashinikiza yeye na PK wafikie aina fulani ya muafaka Ili kupunguza mvutano.
Kwahy waliona asije wamekosea ? AiseeAngekuwepo yeye binafsi ingekuwa rahisi hata viongozi wenzake kuwashinikiza yeye na PK wafikie aina fulani ya muafaka Ili kupunguza mvutano.
Niliandika hapa mapema tu kuwa Felix Tshishekedi hatokuwepo leoAngekuwepo yeye binafsi ingekuwa rahisi hata viongozi wenzake kuwashinikiza yeye na PK wafikie aina fulani ya muafaka Ili kupunguza mvutano.
Hao viongozi wengine hapo nchi zao wamewaachia kina nani?Nchi amwachiye nani kipindi hiki cha machafuko?
M23 hawajaja hapo sembuse yeye
Wamekosea sana tu.Kwahy waliona asije wamekosea ? Aisee
Kwa sababu kunafujo kwenye hizo nchi zao sindiyo?.Hao viongozi wengine hapo nchi zao wamewaachia kina nani?
Na unaweza ukakuta ilikiwa baada ya hiyo mission ya hapo Goma ilikuwa avutwe na kuingizwa kwenye circle ya walinxi au washauri wa rais wa maswala ya Ulinzi na UsalamaWanamnyonga Major wao!
Tshisekedi akiona hadi Major kawa mole wa M23 lazima jasho limchuruzike.
Mhh!Alivyoingia Hadi nimetamani abaki hapa nyumbani na huyu wa nyumbani aende Rwanda.
IdiotKwa sababu kunafujo kwenye hizo nchi zao sindiyo?.
Na alama yakuuliza umeweka. Hovyo kabisa
Hakika, ni wendawazimu kung'ang'ania linchi likubwa ambalo halitawaliki na serikali. Kama imeshindikana kuelewana huko Mashariki na Kivu wapewe tu nchi yao, vita iishe watu wafanye maendeleo.Even if things are clear but are not as clear as water or day and night, when different individuals have grudges most of the time both of them have got viable reasons, that's why they sometimes try to find comprimise
Sababu South walijitenga hawakufanikiwa does not mean wengine wasifanye hivyo; kuwa nchi moja ni kwamba mna umoja na nchi yenu kwa pamoja mnajilinda na kulinda watu wenu sehemu zote; sasa kama wa pengine huko mbali wanabaki kama yatima na bila msaada from the centre it means the centre can no longer hold, na mambo ya Vita Congo hii sio mara ya kwanza, kuna first Congo War, Kuna Seconda Congo War na Vita vya Kutosha ambavyo vimekuwa vikitokea kwenye jamii hizo hata kabla ya hii Modern Congo
Hakuna mtu atabisha hilo (ukizingatia wengi wanakwenda pale kama wezi) pia hata Charter ya OAU ilikuwa na Non Interference ( ingawa inabidi tupime ni wapi kama majirani hatuingilii kati) Sababu hilo ndio lilipelekea Majirani, Afrika na Dunia kwa Ujumla kuangalia wakati baadhi ya Wahutu wanachinja Watusi (tukisema kwamba hayo ni mambo yao ya ndani i.e. Internal Affairs)
Wote hao wawili walishika madaraka ya nchi zao kwa uasi - waliziangusha tawala zao kwa mapinduzi ya msituni.Kagame na Museven ni fitina kubwa katika eneo letu mpaka wawe eliminated ndo eneo lipate amani, wote ni homocidal dictators bloodsunkers, power greedy wezi na fisadi wa kubwa.......hawana huruma na wenyeji wa nchi zao.
Unataka kutuambia Kongo ni nchi kubwa jinga?Hakika, ni wendawazimu kung'ang'ania linchi likubwa ambalo halitawaliki na serikali. Kama imeshindikana kuelewana huko Mashariki na Kivu wapewe tu nchi yao, vita iishe watu wafanye maendeleo.