Kagame ameingia kibabe sana kwenye mkutano wa amani wa viongozi wa SADC&EAC hapa Dar!

Kagame ameingia kibabe sana kwenye mkutano wa amani wa viongozi wa SADC&EAC hapa Dar!

Kagame na Museven ni fitina kubwa katika eneo letu mpaka wawe eliminated ndo eneo lipate amani, wote ni homocidal dictators bloodsunkers, power greedy wezi na fisadi wa kubwa.......hawana huruma na wenyeji wa nchi zao.
Madikteta hawa wanahofu Sana kuondolewa madarakani Kama walivyowaondoa watangulizi wao.
Kagame na museveni wanaona m23 ndiyo watakuwa walinzi wao zidi ya waasi wa nchi zao hawana Imani kabisa na serikali ya kongo ukijumlisha na utajiri wa madini huko kivu ndiyo kabisa
 
Nimeona video Kagame akiingia kwenye ukumbi uliokuwa na viongozi wengine wakuu wakimsubiria. Ameingia kibabe sana na kimamlaka, unaweza kuona viongozi wote hadi wa Congo wamemsalimia kwa tabasamu kubwa sana na bashasha!

Kwa body language yake na viongozi wengine wakisalimiana unaweza kuwa hujakosea kusema ni kama vile yeye ndiye atakuwa ana dictate terms! Masikini Tshisekedi.
View attachment 3229110
Hakuna u Aberdeen wowote. Kumbuka huyo ni medal ukakamqvu ni kawaida yake
 
W
Kagame na Museven ni fitina kubwa katika eneo letu mpaka wawe eliminated ndo eneo lipate amani, wote ni homocidal dictators bloodsunkers, power greedy wezi na fisadi wa kubwa.......hawana huruma na wenyeji wa nchi zao.
Wananchi wao wanamaoni tofauti na unayosema.
 
Kagame na Museven ni fitina kubwa katika eneo letu mpaka wawe eliminated ndo eneo lipate amani, wote ni homocidal dictators bloodsunkers, power greedy wezi na fisadi wa kubwa.......hawana huruma na wenyeji wa nchi zao.
Watutsi, nawaona ni vichaa, washari, wapenda sifa, wagomvi, wajuaji, wezi, wapenda makuu na majigambo. Kagame Museveni wasipouwa East and central Africa itapata tabu sana. Wanawatijirisha wazungu na wao binafsi kama kikundi.
 
Nimeona video Kagame akiingia kwenye ukumbi uliokuwa na viongozi wengine wakuu wakimsubiria. Ameingia kibabe sana na kimamlaka, unaweza kuona viongozi wote hadi wa Congo wamemsalimia kwa tabasamu kubwa sana na bashasha!

Kwa body language yake na viongozi wengine wakisalimiana unaweza kuwa hujakosea kusema ni kama vile yeye ndiye atakuwa ana dictate terms! Masikini Tshisekedi.
View attachment 3229110
Kibabe gani mtu anahangaika kukimbiakimbia kuwasalimia viongozi yeye mwenyewe!!
 
Toka maktaba :

Mazungumzo ya Nairobi I na Nairobi II kuhusu Congo chini ya rais mstaafu Uhuru Kenyatta kuhusu utatuzi wa mzozo wa Congo


View: https://m.youtube.com/watch?v=BI5HRv7WVrA

Uhuru Kenyatta, rais wa zamani wa Kenya, aliyeteuliwa kuwa mwezeshaji wa mchakato wa Nairobi na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), anatathmini safari yake ya saa 48 mjini Kinshasa tangu Jumapili, Novemba 13, 2022. Pia inashughulikia suala la usalama mashariki mwa DRC.

Mstaafu Uhuru Kenyatta alikutana na mheshimiwa Rais Felix Tshisekedi wa DR Congo na kiongozi mkuu wa MONUSCO (SRSG-Head of MONUSCO), Bi. Bintou Keita .... kuhusu vita inayoendelea na kuona kwa njia gani wanaweza kusaidiana na wananchi wa kabila mbalimbali na jamii mbalimbali mbalimbali

Mwezeshaji wa mchakato wa Nairobi rais mstaafu Uhuru Kenyatta anasema wakutoka nje wenye maslahi binafsi wanawagawa siyo kwa mapendo bali wanaangalia madini kwa manufaa yao na kuwa bunduki na risasi haziwezi kuleta amani juu ya mzozo wa Mashariki ya Congo

Nimepewa jukumu hili na Jumuiya ya Afrika ya Mashariki EAC kuwa bunduki na risasi haziwezi kuleta ushindi wowote, mimi nimetoka Ethiopia kule wamakubali Tigray na Amhara kuwa bunduki na risasi hazileti amani na ujumbe wangu kwa Congo ni huo huo asisitiza rais mstaafu Uhuru Kenyatta

Jukumu letu kama viongozi ahadi kubwa unayoweza kutoa kwa raia ni usalama wao kwa kuhakikisha hakuna umwagaji wa damu ili watu waendelee na maisha yao ya kujiletea maendeleo

Shida zilizopo zitatuliwe kisiasa na tusiwe na fikra kuwa jamii moja inaweza kushinda pekee bali wakongomani wa aina zote wakae pamoja kwa mazungumzo

Mazungumzo ya mèzani ni muhimu iwe M23 au serikali wote kwa kuweka bunduki chini, njia ya nguvu haitafauli na wala haitaleta ushindi ...
 
Kinshasa, DR Congo

Toka maktaba :

Alice Wairimu Nderitu , Mshauri Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Kuzuia Mauaji ya Kimbari


View: https://m.youtube.com/watch?v=QfAA4Vpy_uI

Ziara yake nchini Congo kutokana na kuzorota kwa hali ya amani kufuatia ghasia ya miaka mingi, ili kukutana na wadau mbalimbali kuwezesha mazungumzo kukokomesha hali hii ya mauji ...1944 mwandishi wa Poland alitohoa maneno mawili Geno na Cide yaani ndiyo aliyekata neno jipya la Genocide yaani uhalifu wa mauaji ya halaiki wakati wa amani au wakati wa vita

Genocide ni uhalifu wa kimataifa wa mauaji wa kutokana na chuki, itìkadi haujotikezi kwa ghafla mashindano ya madaraka, ukabila, itikadi, hawafanani na sisi n.k

Nchi ya Congo kuna hatari ya kutokea genocide na ndiyo maana katibu mkuu amenituma nije kuangazia kinachoendelea hapa Congo

Unajua genocide lazìma iwepo dhamira na mipango kupangwa ndipo kunaweza kubainishwa kisheria kimataifa kupitia korti ICTR Rwanda, Yugoslavia ya zamani, Cambodia zinaweza kutupa kama kuna genocide DR Congo ...

Mauaji ya nchini Congo na kubaini wahusika, ila jukumu kubwa la serikali yoyote ni kuzuia mauaji hivyo hata hapa Congo jukumu ni la serikali ya Congo ...


More info :

Alichosema Mwendesha Mashtaka wa ICC Karim Khan baada ya ziara yake Mashariki mwa DRC


View: https://m.youtube.com/watch?v=FmuhRU7L3Ws
 
Back
Top Bottom