Kagame: Rwanda is ready for a confrontation with South Africa if necessary!
Uwepo wa RPF pia unawapa FDLR uhalali wa kuishambulia Rwanda mwanangu. Hizi siasa za mabaki ya kikoloni zitatumaliza. Jibu ni kuunganisha Afrika na kuwa jinchi moja kubwa na lenye nguvu.
Sahihi kabisa inatakiwa kuwa na afrika Moja.Tatizo litakuja Kila mmoja atataka yeye awe ndiyo mkuu(rais)
 
Aliingia huko South na akamuua adui yake na wauaji wakatoka salama.. Anajiamini anammudu Ramaphosa. Kapandikiza watu wake wa kutosha sana
Hapana hata wewe unaweza ingia Rwanda na kuua Kisha kukimbia bila hata kupandikiza mtu ni kujua tu yupo mtaa upi na jengo lipi.
 
Kagame ataiweza Kweli South Africa Kijeshi au anatafuta Sifa za kijinga tu kama Nduli Iddi Amin Dada?

Nimeshangaa sana 🐼
 
Chuma icho nguvu ukose hata kikwala ? Utakua ndezi sasa
 

Attachments

  • FB_IMG_1737997769908.jpg
    FB_IMG_1737997769908.jpg
    50.6 KB · Views: 3
Baada ya kuondoa vichwa kama Nyerere na Magufuli na kuongozwa na wanaofikiri kwa matummy na mabutty, unategemea nini? Zama za mchonga mdudu kama Kagame wala asingetingisha mkia wake kabla ya kushikishwa adabu.
Mwenda zake Alikua anabweka ndani tu,uko nje mpole kama nin,walau msoga alituheshimisha
 
Waulize Wamarekani walichokutana nacho Vietnam kwa Viet Cong, Labda Tz ndio wanaweza wakatoana jasho na Rwanda ila SA ni wepesi sana kwa Rwanda.
Na wewe kumbe Mnyamulenge?
 
USA ndio anai run hii dunia Kila sehemu ana mkono wake IDF vs Islamists groups, Russia vs Ukraine, Sudan wars , Congo DRc na akiamua viishe ni dk 0 tu.

..Amiri Jeshi Mkuu wetu yuko wapi?

..hata kutoa tamko kwenye pande zinazohasiama zirejee kwenye mazungumzo hawezi?

..zile combat alikuwa anavaa za nini?
 
Acha upuuzi wako,nani ana uzoefu wa kupigana vita kati ya Jeshi la Rwanda na South Africa?

Kuwa na vifaa tuu haitoshi,medani unazo?

Huoni Israel imeshindwa kuwamaliza Hamas?
Eti ameshindwa kuwamaliza Hamas?!
Kumbe kichwa kimejaa kamasi ndio maana unashabikia ccm
Population matter
Mbinu, uzoefu, vifaa,morali ya wapiganaji pamoja na utayari wa mapambano na discipline Vinachangia ushindi kwa asilimia kubwa
 
Mnakumbuka hata idd Amin alitishia na hata kuanza mazoezi ya kuishambulia Israel au mmesahau wazee wenzangu🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom