and 100 others
JF-Expert Member
- Feb 3, 2023
- 3,707
- 12,367
Hio vita USSR alitoa msaada wa hali na mali kwa Vietnam, Rwanda itasaidiwa na nani dhahama ikianza kuwashukia?On paper hata USA alikuwa na uwezo wa kushinda Vietnam
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hio vita USSR alitoa msaada wa hali na mali kwa Vietnam, Rwanda itasaidiwa na nani dhahama ikianza kuwashukia?On paper hata USA alikuwa na uwezo wa kushinda Vietnam
Wanakudaka tu Russia inaua wanaokimbilia UK. India walimuua aliyekimbilia Canada.Inategemea umekimbilia nchi gani.
Sahihi kabisa inatakiwa kuwa na afrika Moja.Tatizo litakuja Kila mmoja atataka yeye awe ndiyo mkuu(rais)Uwepo wa RPF pia unawapa FDLR uhalali wa kuishambulia Rwanda mwanangu. Hizi siasa za mabaki ya kikoloni zitatumaliza. Jibu ni kuunganisha Afrika na kuwa jinchi moja kubwa na lenye nguvu.
Ukiona kobe juu ya mti ujue kuna mtu kampandisha.Hio vita USSR alitoa msaada wa hali na mali kwa Vietnam, Rwanda itasaidiwa na nani dhahama ikianza kuwashukia?
Hapana hata wewe unaweza ingia Rwanda na kuua Kisha kukimbia bila hata kupandikiza mtu ni kujua tu yupo mtaa upi na jengo lipi.Aliingia huko South na akamuua adui yake na wauaji wakatoka salama.. Anajiamini anammudu Ramaphosa. Kapandikiza watu wake wa kutosha sana
Mwenda zake Alikua anabweka ndani tu,uko nje mpole kama nin,walau msoga alituheshimishaBaada ya kuondoa vichwa kama Nyerere na Magufuli na kuongozwa na wanaofikiri kwa matummy na mabutty, unategemea nini? Zama za mchonga mdudu kama Kagame wala asingetingisha mkia wake kabla ya kushikishwa adabu.
Na wewe kumbe Mnyamulenge?Waulize Wamarekani walichokutana nacho Vietnam kwa Viet Cong, Labda Tz ndio wanaweza wakatoana jasho na Rwanda ila SA ni wepesi sana kwa Rwanda.
USA ndio anai run hii dunia Kila sehemu ana mkono wake IDF vs Islamists groups, Russia vs Ukraine, Sudan wars , Congo DRc na akiamua viishe ni dk 0 tu.
Mwenda zake Alikua anabweka ndani tu,uko nje mpole kama nin,walau msoga alituheshimisha
Hapana, ni waKenya wale..M23 ni Wanyarwanda?
Atatandikwa ajinyeeJinsi Kagame anavyojibizana na Ramaphosa naona kama anajisahau sana
Sidhani kama Rwanda itaiweza South Africa.
Nani anawapa silaha kwa miongo miwili? Jibu swali, kwanini wakipigwa wanakimbilia Rwanda? Jibu swaliAlaa kumbe Banyanulenge ni wanafoka Rwanda au siyo?
Eti ameshindwa kuwamaliza Hamas?!Acha upuuzi wako,nani ana uzoefu wa kupigana vita kati ya Jeshi la Rwanda na South Africa?
Kuwa na vifaa tuu haitoshi,medani unazo?
Huoni Israel imeshindwa kuwamaliza Hamas?
Mbinu, uzoefu, vifaa,morali ya wapiganaji pamoja na utayari wa mapambano na discipline Vinachangia ushindi kwa asilimia kubwaPopulation matter
Uchafu Iran huwezi linganisha na Israeli kwenye medani za kijeshiIsrael au Iran..!?
Anaweza vizuri tuu,Jeshi la South Africa ni dhaifu ndio maana amekoromewa na Kagame 👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DFcIdLYCRle/?igsh=ODdiNTFscXFiaGJx