Kagame: Rwanda is ready for a confrontation with South Africa if necessary!
Nakuunga mkono asilimia 1000 kwani madaraka kupita kiasi hulevya kupita kiasi. Kagame akumbushe kilichompata nduli Idi Amin alipoichokoza na kuichokonoa Tanzania. Awaulize wareno kilichowapata Angola na Msumbiji.
Hawa wanasiasa watawala wa sasa hivi ninachoona wanali compromise tu jeshi letu.

Kuna mambo serikali inanawafanyia wananchi na mifumo ya nchi mpaka wananchi wanaamua kujikatia tamaa na kujiona kama vile wanaishi kwenye nchi yao kwa hisani huku jeshi la Wananchi likiangalia tu.

Unaona kabisa vile wananchi wanajiona wao wenyewe are useles, basi hisia hizo lazima waliambukize Jeshi lao sababu hao wananchi wanakuwa enlisted jeshini wanatokana na wananchi hawahawa mbao wapo demoralized, wanaonyanyaswa, na wenye hofu na wanaohisi wapo kwa huruma tu za wengine..

Jeshi litokanalo na wanainchi wa aina hii kamwe haliwezi kuwa imara. Matokeo yake huku mitandaoni tunabaki kuimba uingo tu mara ooh Jeshi letublimefanya kweli, mara ooh limewafurumusha na kuuchukua tena mji , wakati kule on griund hali haipo kama inavyopambwa mitandaoni.

Tunalipenda sana Jeshi letu, lakini watawala wanaluharibu kupitia mifumo yao ya kuminya wananchi wanaounda Jeshi lile.

Nilianza kuiona thamani ya Jeshi letu kuwa hatarani kipindi cha Mwendazake, Jeshi letu lilidharirishwa na hawa wapumbavu wa M23 kule Congo, vijana wetu wakauawa, Kagame akajiona mshindi. Serikali haikuongea neno, wananchi wakaufyata, miili ya wanajeshi wetu ikapelekwa Tanzania, mazishi ya heshima ya kitaifa yakafanyika Dodoma lakini rais hakuhudhuria.

Mambo kama haya yakitokea watanzania huwa hawaongei. Kutoyaongea haya ni mbaya sana, jeshi hujiona lipo lenyewe, halina wa kuwatetea mwisho litageuka kuwa kama sisi watanzania tulivyo.

Tuache unafiki wa kujifanya tunalishangilia likiwa limepata mafanikio, tuache unafiki wa kulitengenezea matukio ya kishujaa ambalo halijayafanya. Ni Jeshi letu, lazima tujifunze kulipigania, lazima watanzania watambue wana wajibu wa kuilinda brand ya Jeshi letu.

Watanzania ni Jeshi pekee ambalo wamekuwa wakijuvunia, si utalii, si maliasili, si katiba, si serikali, vyote havina msaada, limebaki Jeshi tu ndiyo wanajivunia. Jeshi nalo linapaswa kuhakikisha watanzania wanaheshimika, mifumo yao inaheshimika, katiba na sheria zao zinafuatwa. Jeshi zuri na imara haluwezi likatokana na wananchi wa hovyo.

HIi ni wakeup call kwa Wananchi, serikali na Jeshi lao.
 
Hawa wanasiasa watawala wa sasa hivi ninachoona wanali compromise tu jeshi letu.

Kuna mambo serikali inanawafanyia wananchi na mifumo ya nchi mpaka wananchi wanaamua kujikatia tamaa na kujiona kama vile wanaishi kwenye nchi yao kwa hisani huku jeshi la Wananchi likiangalia tu.

Unaona kabisa vile wananchi wanajiona wao wenyewe are useles, basi hisia hizo lazima waliambukize Jeshi lao sababu hao wananchi wanakuwa enlisted jeshini wanatokana na wananchi hawahawa mbao wapo demoralized, wanaonyanyaswa, na wenye hofu na wanaohisi wapo kwa huruma tu za wengine..

Jeshi litokanalo na wanainchi wa aina hii kamwe haliwezi kuwa imara. Matokeo yake huku mitandaoni tunabaki kuimba uingo tu mara ooh Jeshi letublimefanya kweli, mara ooh limewafurumusha na kuuchukua tena mji , wakati kule on griund hali haipo kama inavyopambwa mitandaoni.

Tunalipenda sana Jeshi letu, lakini watawala wanaluharibu kupitia mifumo yao ya kuminya wananchi wanaounda Jeshi lile.

Nilianza kuiona thamani ya Jeshi letu kuwa hatarani kipindi cha Mwendazake, Jeshi letu lilidharirishwa na hawa wapumbavu wa M23 kule Congo, vijana wetu wakauawa, Kagame akajiona mshindi. Serikali haikuongea neno, wananchi wakaufyata, miili ya wanajeshi wetu ikapelekwa Tanzania, mazishi ya heshima ya kitaifa yakafanyika Dodoma lakini rais hakuhudhuria.

Mambo kama haya yakitokea watanzania huwa hawaongei. Kutoyaongea haya ni mbaya sana, jeshi hujiona lipo lenyewe, halina wa kuwatetea mwisho litageuka kuwa kama sisi watanzania tulivyo.

Tuache unafiki wa kujifanya tunalishangilia likiwa limepata mafanikio, tuache unafiki wa kulitengenezea matukio ya kishujaa ambalo halijayafanya. Ni Jeshi letu, lazima tujifunze kulipigania, lazima watanzania watambue wana wajibu wa kuilinda brand ya Jeshi letu.

Watanzania ni Jeshi pekee ambalo wamekuwa wakijuvunia, si utalii, si maliasili, si katiba, si serikali, vyote havina msaada, limebaki Jeshi tu ndiyo wanajivunia. Jeshi nalo linapaswa kuhakikisha watanzania wanaheshimika, mifumo yao inaheshimika, katiba na sheria zao zinafuatwa. Jeshi zuri na imara haluwezi likatokana na wananchi wa hovyo.

HIi ni wakeup call kwa Wananchi, serikali na Jeshi lao.
Baada ya kuondoa vichwa kama Nyerere na Magufuli na kuongozwa na wanaofikiri kwa matummy na mabutty, unategemea nini? Zama za mchonga mdudu kama Kagame wala asingetingisha mkia wake kabla ya kushikishwa adabu.
 
Lakini Ramaphosa hakusema vibaya kwa maoni yangu
Ajibizane na huyu pia 👇

 
Baada ya kuondoa vichwa kama Nyerere na Magufuli na kuongozwa na wanaofikiri kwa matummy na mabutty, unategemea nini? Zama za mchonga mdudu kama Kagame wala asingetingisha mkia wake kabla ya kushikishwa adabu.
Kipindi cha Magufuli ndiyo Kagame alianza kuishika matako Tanzania, Kipindi cha Magufuli ndipo aliua Wanajeshiwetu, baada ya kufanikiwa kutusambaratisha kule ndiyo akapata ujasl wa kupeleka Jesh lake Msumbiji hata baada ya kusikia tupo kule kusaka waasi. Alipeleka jeshi lake wakati kikao cha SADC kikiendelea na kupanga kupeleka Jeshi, yeye akapeleka kivyake akiwa conttracttedna France.
 
Jinsi Kagame anavyojibizana na Ramaphosa naona kama anajisahau sana
Sidhani kama Rwanda itaiweza South Africa.

Hii ni kutoka X (Twitter)

I held two conversations this week with President Ramaphosa on the situation in Eastern DRC, including earlier today. What has been said about these conversations in the media by South African officials and President Ramaphosa himself contains a lot of distortion, deliberate attacks, and even lies. If words can change so much from a conversation to a public statement, it says a lot about how these very important issues are being managed. A few important clarifications for the record:

1. The Rwanda Defence Force is an army, not a militia.

2. SAMIDRC is not a peacekeeping force, and it has no place in this situation. It was authorized by SADC as a belligerent force engaging in offensive combat operations to help the DRC Government fight against its own people, working alongside genocidal armed groups like FDLR which target Rwanda, while also threatening to take the war to Rwanda itself.

3. SAMIDRC displaced a true peacekeeping force, the East African Community Regional Force, and this contributed to the failure of the negotiation processes.

4. President Ramaphosa has never given a "warning" of any kind, unless it was delivered in his local language which I do not understand. He did ask for support to ensure the South African force has adequate electricity, food and water, which we shall help communicate.

5. President Ramaphosa confirmed to me that M23 did not kill the soldiers from South Africa, FARDC did.

6. If South Africa wants to contribute to peaceful solutions, that is well and good, but South Africa is in no position to take on the role of a peacemaker or mediator. And if South Africa prefers confrontation, Rwanda will deal with the matter in that context any day.

Lakini Ramaphosa hakusema vibaya kwa maoni yangu

Fellow South Africans, Following the recent intensification of fighting in the eastern Democratic Republic of the Congo, South Africa has lost 13 brave soldiers who were dedicated to their mission and committed to peace. The fighting is the result of an escalation by the rebel group M23 and Rwanda Defence Force (RDF) militia engaging the Armed Forces of the DRC (FARDC) and attacking peacekeepers from the SADC Mission in the Democratic Republic of Congo (SAMIDRC).
On behalf of the government and the people of our country, I express our sincerest condolences to their families, their loved ones and colleagues. We bow our heads in honor of their heroic and gallant fight for peace. We honour and mourn them.All necessary support is being provided to the families of the deceased and the families of the injured. The process to repatriate the remains of the deceased is underway.

The attacks on peacekeepers resulted in the deaths of SAMIDRC members from other troop contributing countries, namely, Malawi and Tanzania, as well members of the UN Organisation Stabilisation Mission in the DRC (MONUSCO) brigade. We honour all the lives that were lost and pass our condolences to their families, governments and citizens. The situation in Goma and Sake, where our troops and their counterparts are stationed, remains very tense, volatile and unpredictable. The Minister of Defence and Military Veterans Ms Angie Motshekga and the Chief of the SANDF Gen Rudzani Maphwanya and SAMIDRC Force Commander Maj Gen Monwabisi Dyakopu are working to ensure that the SAMIDRC forces remain well equipped and sufficiently supported during this critical mission. We are concerned about the speculation about the state of our troops and the battle conditions.

All South Africans must rally behind our brave men and women who have dedicated their lives to bringing peace in our continent. South Africa’s military presence in the eastern DRC is not a declaration of war against any country or state. The members of the South African National Defence Force that are in the DRC are part of both SADC and United Nations efforts to bring peace and protect thousands of lives that are constantly threatened by the conflict in the DRC. The presence of the SAMIDRC forces demonstrates a commitment of SADC member states to supporting the DRC in its efforts to achieve lasting peace and stability and ultimately, create an enabling environment for sustainable development and prosperity.

We welcome the position that was recently adopted by the United Nations Security Council during its special sitting on the situation in the DRC, which calls for an immediate end to hostilities, the reversal of territorial expansion by the M23, the exit of external forces from the DRC and the resumption of peace talks under the Nairobi Process. The territorial integrity of the DRC must be respected in accordance with the United Nations Charter on the respect of sovereignty, territorial integrity and political independence of other states. We call on all parties to this conflict to fully embrace the current diplomatic efforts that are aimed at finding a peaceful resolution, including honoring the Luanda Process agreements. We must silence the guns on our continent for the attainment of inclusive development and prosperity.

I thank you.
Kagame ni kama Mke mdogo au Last born jinsi anavyobehave.
Jinsi Kagame anavyojibizana na Ramaphosa naona kama anajisahau sana
Sidhani kama Rwanda itaiweza South Africa.

Hii ni kutoka X (Twitter)

I held two conversations this week with President Ramaphosa on the situation in Eastern DRC, including earlier today. What has been said about these conversations in the media by South African officials and President Ramaphosa himself contains a lot of distortion, deliberate attacks, and even lies. If words can change so much from a conversation to a public statement, it says a lot about how these very important issues are being managed. A few important clarifications for the record:

1. The Rwanda Defence Force is an army, not a militia.

2. SAMIDRC is not a peacekeeping force, and it has no place in this situation. It was authorized by SADC as a belligerent force engaging in offensive combat operations to help the DRC Government fight against its own people, working alongside genocidal armed groups like FDLR which target Rwanda, while also threatening to take the war to Rwanda itself.

3. SAMIDRC displaced a true peacekeeping force, the East African Community Regional Force, and this contributed to the failure of the negotiation processes.

4. President Ramaphosa has never given a "warning" of any kind, unless it was delivered in his local language which I do not understand. He did ask for support to ensure the South African force has adequate electricity, food and water, which we shall help communicate.

5. President Ramaphosa confirmed to me that M23 did not kill the soldiers from South Africa, FARDC did.

6. If South Africa wants to contribute to peaceful solutions, that is well and good, but South Africa is in no position to take on the role of a peacemaker or mediator. And if South Africa prefers confrontation, Rwanda will deal with the matter in that context any day.

Lakini Ramaphosa hakusema vibaya kwa maoni yangu

Fellow South Africans, Following the recent intensification of fighting in the eastern Democratic Republic of the Congo, South Africa has lost 13 brave soldiers who were dedicated to their mission and committed to peace. The fighting is the result of an escalation by the rebel group M23 and Rwanda Defence Force (RDF) militia engaging the Armed Forces of the DRC (FARDC) and attacking peacekeepers from the SADC Mission in the Democratic Republic of Congo (SAMIDRC).
On behalf of the government and the people of our country, I express our sincerest condolences to their families, their loved ones and colleagues. We bow our heads in honor of their heroic and gallant fight for peace. We honour and mourn them.All necessary support is being provided to the families of the deceased and the families of the injured. The process to repatriate the remains of the deceased is underway.

The attacks on peacekeepers resulted in the deaths of SAMIDRC members from other troop contributing countries, namely, Malawi and Tanzania, as well members of the UN Organisation Stabilisation Mission in the DRC (MONUSCO) brigade. We honour all the lives that were lost and pass our condolences to their families, governments and citizens. The situation in Goma and Sake, where our troops and their counterparts are stationed, remains very tense, volatile and unpredictable. The Minister of Defence and Military Veterans Ms Angie Motshekga and the Chief of the SANDF Gen Rudzani Maphwanya and SAMIDRC Force Commander Maj Gen Monwabisi Dyakopu are working to ensure that the SAMIDRC forces remain well equipped and sufficiently supported during this critical mission. We are concerned about the speculation about the state of our troops and the battle conditions.

All South Africans must rally behind our brave men and women who have dedicated their lives to bringing peace in our continent. South Africa’s military presence in the eastern DRC is not a declaration of war against any country or state. The members of the South African National Defence Force that are in the DRC are part of both SADC and United Nations efforts to bring peace and protect thousands of lives that are constantly threatened by the conflict in the DRC. The presence of the SAMIDRC forces demonstrates a commitment of SADC member states to supporting the DRC in its efforts to achieve lasting peace and stability and ultimately, create an enabling environment for sustainable development and prosperity.

We welcome the position that was recently adopted by the United Nations Security Council during its special sitting on the situation in the DRC, which calls for an immediate end to hostilities, the reversal of territorial expansion by the M23, the exit of external forces from the DRC and the resumption of peace talks under the Nairobi Process. The territorial integrity of the DRC must be respected in accordance with the United Nations Charter on the respect of sovereignty, territorial integrity and political independence of other states. We call on all parties to this conflict to fully embrace the current diplomatic efforts that are aimed at finding a peaceful resolution, including honoring the Luanda Process agreements. We must silence the guns on our continent for the attainment of inclusive development and prosperity.

I thank you.
Kagame anabehave kama make mdogo au Last born.
Hawajui west vizuri, ye aendelee kulinda maslahi yao ila wakimchoka ni kama toilet paper tu.
Anauwa waafrica wenzake jwa ajili ya ujinga kabisa na tamaa za kipumbavu.
Nguvu ya kushutumu waafrica wenzake anatoa wapi?
 
Kagame hayuko peke yake ana support kubwa kutoka Kwa mabeberu akiwemo USA.

..hapana.

..Kagame ana unlimited funds za kupigana vita.

..fedha hizo zinatokana na madini yanayochimbwa DRC.

..Ramaphosa inabidi aombe fedha bungeni ndipo aweze kupigana vita.

..pia South Africa ni mbali na DRC kwa hiyo ni gharama sana kupigana vita na M23 na Kagame.
 
Hahaha mnachekesha huyu Kagame na kainchi kake saizi ya mkoa kanaliza mataifa majitu ya Afrika.
Simpendi jamaa ila nakubali sana uthubutu wake.
Hakuna cha uthubutu, ni kwamba mataifa makubwa ni wastaarabu. Hawapendi kuanzisha vita vya kihayawani. Ni aibu Waafrika badala ya kujenga umoja wa kiuchumi tuanze kupigana vita vya kikabila/ mipaka kwenye karne hii ya 21. Wakati nchi za wenzetu zinapiga hatua kiteknolojia na akili mnemba
 
..hapana.

..Kagame ana unlimited funds za kupigana vita.

..fedha hizo zinatokana na madini yanayochimbwa DRC.

..Ramaphosa inabidi aombe fedha bungeni ndipo aweze kupigana vita.

..pia South Africa ni mbali na DRC kwa hiyo ni gharama sana kupigana vita na M23 na Kagame.
USA ndio anai run hii dunia Kila sehemu ana mkono wake IDF vs Islamists groups, Russia vs Ukraine, Sudan wars , Congo DRc na akiamua viishe ni dk 0 tu.
 
Back
Top Bottom