Kagasheki awaasa kiaina Watanzania kuhusu kauli ya ukomo wa Urais kwa kutumia mfano Paul Kagame 2012

Kagasheki awaasa kiaina Watanzania kuhusu kauli ya ukomo wa Urais kwa kutumia mfano Paul Kagame 2012

Kama mtu ni jambazi, anahukumiwa kwa ujambazi alioufanya au anaotuhumiwa kwamba ataufanya 2025?

Kwa nini unamuona jambazi, anayejulikana, kafanya ujambazi huu na huu kuanzia 2015 mpaka sasa, halafu unamhukumu kwa ujambazi unaosema ataufanya 2025, na kuacha ujambazi ambao tayari kashaufanya?
Kaweke kwenye wasifu wako kwamba wewe ni "child molester" halafu kaombe kazi ya kusimamia shughuli za watoto, hata kama ni miaka kumi ijayo uone kama kzi hiyo utapewa.
 
it's very unfortunate unaonekana kutumia nguvu nyingi sana katika vitu vinavyohitaji simple mental application.

there's no harm in being hypothetical when talking of probabilities.... it's inevitable.

and the binary hypotheses are:
1) JPM may vouch for extending the presidential term limit, all circumstances considered
2) JPM may not vouch for the presidential term limit extension

so, the probability could be 50/50 either way... and you cannot say am wrong with this perspective.

kapish???
Wrongful accusation ni kitu kibaya sana.

JPM kashasema hatavunja katiba katika hili la term limits, unataka afanye nini ili ukubali, au umpe tu the benefit of the doubt, kwamba hatavunja katiba?

Na ukizungumzia kwamba atavunja katiba 2025, wakati kuna uchaguzi wa 2020, hilo linamaanisha ushakubali ameshinda uchaguzi wa kuwa rais 2020?
 
Kaweke kwenye wasifu wako kwamba wewe ni "child molester" halafu kaombe kazi ya kusimamia shughuli za watoto, hata kama ni miaka kumi ijayo uone kama kzi hiyo utapewa.
Sasa mbona unafananisha vitu tofauti?

Hiyo molestation imeshafanyika, unataka kuifananisha na habari za 2025 ambazo hazijafanyika?

Swali langu ni dogo tu.

Inafaa kumhukumu mtu kwa makosa ambayo unafikiri atayafanya, lakini hajayafanya?
 
hata mimi nina mashaka makubwa na kauli ya bwana mkubwa, sioni dalili. he is just fooling you
Kauli ya Jiwe mwaka 2025 " Mimi ni nani hata nikatae ombi la watanzania. Nimekubali kuendelea kubeba mzigo huu. Asanteni kwa kuniamini, Ila 2035 Mungu akijalia uzima naomba mniluhusu nikapumzike Chato jamani. Nafikilii mmenielewa. Si ndiyo? Haya, asanteni kwa kunisikiliza"
 
Umewaza mbali sana


Sent from my iPhone using JamiiForums
Kwa nini watu hawakubali haya mambo ya wazi kabisa?

Je, ni kwa sababu wanaendekeza siasa za kupinga tu bila hoja? Kwamba wanashabikia jambo lolote la kumsema vibaya Magufuli, liwe la msingi au si la msingi. Kizandiki na kinazi, kama ushabiki wa mpira?

Je, wanajua kwamba kumhukumu mtu kwa kosa ambalo hajafanya si haki, lakini hapa hawataki haki, wanataka ushabiki?

Je, hawajui hata namna ya kufikiri, na ujinga umewajaza kuandika mambo kwa mihemuko bila kuchekecha mambo kwa facts na kimantiki?
 
Kauli ya Jiwe mwaka 2025 " Mimi ni nani hata nikatae ombi la watanzania. Nimekubali kuendelea kubeba mzigo huu. Asanteni kwa kuniamini, Ila 2035 Mungu akijalia uzima naomba mniluhusu nikapumzike Chato jamani. Nafikilii mmenielewa. Si ndiyo? Haya, asanteni kwa kunisikiliza"
Siasa za kumuwekea mtu maneno mdomoni hazitambakisha mtu yeyote salama.

Tutaweza kuweka maneno yoyote kinywani mwa mtu yeyote.

Look, Magufuli is not exactly a democrat. I will give you that.

Na naweza kuelewa kwa nini watu wana wasiwasi, Magufuli mwenyewe ametengeneza mazingira ya kushukiwa.

Lakini, kumuwekea maneno ambayo hajasema si sawa.

Kumhukumu kwa makosa ambayo hajayatenda si sawa.
 
Siasa za kumuwekea mtu maneno mdomoni hazitambakisha mtu yeyote salama.

Tutaweza kuweka maneno yoyote kinywani mwa mtu yeyote.

Look, Magufuli is not exactly a democrat. I will give you that.

Na naweza kuelewa kwa nini watu wana wasiwasi, Magufuli mwenyewe ametengeneza mazingira ya kushukiwa.

Lakini, kumuwekea maneno ambayo hajasema si sawa.

Kumhukumu kwa makosa ambayo hajayatenda si sawa.
Kwani aliyemtaja huyo unayemtaja ni nani? Mbona mtoa mada hajamtaja huyu unayemtaja wewe? Hebu soma tena ujumbe wa mtoa hoja, kamtaka huyo unayemtaja wewe?
 
Kagasheki zama zake zilishapita ajitulize. Kila mtu ana Bahati yake. Wahenga walishasema Bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi.

Sisi watanzania tunampenda kwa wingi Mkubwa, na tunasema katiba sio Vitabu vitakatifu.

Kupitia wawakilishi wetu ambao ni wabunge na ndio wenye dhamana ya kurekebisha vifungu kwa maslahi mapana ya Taifa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wasiwasi wenu ni upi? Kati ya mambo ambayo huyu mzee hatofanya ni kuongeza muda wa kukaa madarakani. Tuzifufue hizi nyuzi 2025.
Hiyo movement huwa hawaifanyi wao directly. Yaani anahitaji watu watatu tu kuimuvuzisha hii kitu na bahati mbaya sana wote hao kila anapoenda, na wao humfuata nyuma as if Mihimili na Vyombo vyao ni tawi la Gogoni
 
Kwani aliyemtaja huyo unayemtaja ni nani? Mbona mtoa mada hajamtaja huyu unayemtaja wewe? Hebu soma tena ujumbe wa mtoa hoja, kamtaka huyo unayemtaja wewe?
Aliyemtaja huyo niliyemtaja ni niliyemnukuu.

Soma mada kwa kufuatilia mtiririko watu wanaponukuu.

Zaidi, point yangu ya msingi ni kwamba, kumhukumu mtu leo kwa makosa ya 2025 si sawa.

Mtu yeyote yule.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo movement huwa hawaifanyi wao directly. Yaani anahitaji watu watatu tu kuimuvuzisha hii kitu na bahati mbaya sana wote hao kila anapoenda, na wao humfuata nyuma as if Mihimili na Vyombo vyao ni tawi la Gogoni
Wakemeeni hao watu.

Mizengo Pinda kashasema maneno ya kipambe kwenye hili. Mkemeeni.

Magufuli kaja kaweka wazi kwamba hana nia ya ku violate term limits.

Kumhukumu kwa hili si haki.

Kumshikia bango Magufuli kwenye hili ni kukosa focus



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wrongful accusation ni kitu kibaya sana.

JPM kashasema hatavunja katiba katika hili la term limits, unataka afanye nini ili ukubali, au umpe tu the benefit of the doubt, kwamba hatavunja katiba?

Na ukizungumzia kwamba atavunja katiba 2025, wakati kuna uchaguzi wa 2020, hilo linamaanisha ushakubali ameshinda uchaguzi wa kuwa rais 2020?
ukisoma posts zangu between the lines utagundua mimi na wewe tunaongea kitu hichi - kimoja!
tatizo you don't seem to like the way am presenting mine. fair enough.

for example, kwenye one of my posts responding to yours, mimi sijapigilia msumari wa 2025.... see below.

nadhani pia si sahihi kwako kutuhukumu/tuhumu - whatever - tunaosema ni naivety kuamini eti hatang'ang'ania madarakani kipindi chake kikiisha (be it 2020 or 2025).

hakuna anaye draw conclusion yoyote hapa but tunasema uwezekano huo upo hata kwa kuangalia tu behaviours za peers wake anao rub shoulders nao (remember birds of the same feathers.......?). this is where am coming from.

so, hatumhukumu but tuna kila sababu ya kuwa na mashaka kwa kuangalia circumstances.
 
ukisoma posts zangu between the lines utagundua mimi na wewe tunaongea kitu hichi - kimoja!
tatizo you don't seem to like the way am presenting mine. fair enough.

for example, kwenye one of my posts responding to yours, mimi sijapigilia msumari wa 2025.... see below.
Kumhukumu mtu kwa kosa ambalo hajalifanya bado, ila anakisiwa kuwa atalifanya baadaye, ni jambo lililo sawa na haki au si sawa na si haki?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumhukumu mtu kwa kosa ambalo hajalifanya bado, ila anakisiwa kuwa atalifanya baadaye, ni jambo lililo sawa na haki au si sawa na si haki?

Sent using Jamii Forums mobile app
si haki naafikiana nawe. but ni haki kusema kuwa anaweza kuhukumiwa kwani ni one of the probability outcomes, which is what I have been trying to say all along here!
 
Ukisema wewe Pohamba ambae ni mwanachama wa PNP na mshabiko maarufu ilala nzima nakubali,kwakuwa umeshawahi kuwa boss wa wilaya wakati fulani katika chama hicho chenye misuguano ya chini kwa chini na baadhi ya wazee wasio na dhamira ya uongozi tena kuwahi kuonya kama maskara.
Rais wa Kizalendo wa Jamhuri ya Muungano wa Puetorica atapumzika 2025

Msuko suko wa ndani ya Chama cha PNP kutoka kwa Wazee wa Chama ni Mkubwa sana kiasi kwamba kutuliza hali ya hewa imebidi atolee ufafanuzi kutuliza hali

Raia wa Nchi hiyo wanapaswa kuamini asemacho Rais wao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
si haki naafikiana nawe. but ni haki kusema kuwa anaweza kuhukumiwa kwani ni one of the probability outcomes, which is what I have been trying to say all along here!
Hapo utakuwa unapiga ramli.

Tuongee kwa fact. Si kwa kupiga ramli.

Fact.Magufuli ana makosa mengi sana kashafanya.

Mhukumuni kwa makosa ambayo kashayafanya, si kwa kumpigia ramli kuhusu makosa atakayoyafanya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo utakuwa unapiga ramli.

Tuongee kwa fact. Si kwa kupiga ramli.

Fact.Magufuli ana makosa mengi sana kashafanya.

Mhukumuni kwa makosa ambayo kashayafanya, si kwa kumpigia ramli kuhusu makosa atakayoyafanya.

Sent using Jamii Forums mobile app
mathematical deduction imekuwa ramli siku hizi??
 
Back
Top Bottom