Kagasheki: Mtindo wa Makonda kuwapa tumbo joto Mawaziri haufai. Dunia nzima kuna utaratibu wa kusikiliza kero za wananchi

Makonda sio mtendaji mkuu wa chama. Kufoka foka hadharani na kutoa amri ni usanii tuu. Wenzake walivyotumia style hiyo hiyo mbona watu wale waliosemwa ni mzigo bado wapo na nyadhifa zao kwenye chama?
 
Kwanza aliumbuliwa kwa Oparesheni yake ya mauaji
 
Mbona kila mpiga madili na mpenda dhuluma lazima amchukie Makonda kwa hii style.

Mmojawapo ni Kagasheki.

Alipokuwa Waziri wa Maliasili na Utalii alifanya madudu mabaya sana, vibali vya uwindaji kwa waarabu, operationi za kuumiza Wananchi n.k

Lazima achukie na ndio maana hata hayati Walimchukia.
 
Mzee Kagasheki yupo sahihi,ila chawa wa Makonda hawawezi kuelewa kitu.
 
Makonda ni ‘pawn’ katika political chase game, nyuma yake kuna ‘bi tozo’, hizi ni harakati zake tu za kuwapiga watu biti kupitia Makonda.

Hayo makelele ya Makonda hayamnyimi kiongozi yeyote usingi serikalini (toothless dog only barks but can’t bite) wanajua mwenye mamlaka ya kuwatumbua ni raisi and the woman doesn’t care; angekuwa anataka hayo mabadiliko makelele angeyapiga mwenyewe na kutumbua juu.

Just a facade ya kutaka kujifananisha na Magufuli apate imani ya watanzania. Ukipita huko Makonda alipokuwa akitoa amri utokuta hata moja lililotekelezwa.
 
Tofautisha Kati ya kusikiliza kero za Wananchi ambalo ni jambo la msingi na kuwa summon Mawaziri na kuwapa ultimatum hadharani, Serikali duniani kote zina utaratibu wake maalum wa kujiendesha.
 
Tofautisha Kati ya kusikiliza kero za Wananchi ambalo ni jambo la msingi na kuwa summon Mawaziri na kuwapa ultimatum hadharani, Serikali duniani kote zina utaratibu wake maalum wa kujiendesha.
Hakuna tofauti hapo, hizo kero za wananchi ndio zinawahusu hao mawaziri, na bahati nzuri mawaziri wenyewe ni wa CCM, wanatekeleza ilani ya chama chao.

Hivyo wao wakiwa kama watendaji serikalini, Makonda lazima aongee nao na awape muda wa kutatua kero husika kwasababu ndio kazi waliyoteuliwa kuifanya, na ni jukumu la chama chao.
 
Tofautisha Kati ya kusikiliza kero za Wananchi ambalo ni jambo la msingi na kuwa summon Mawaziri na kuwapa ultimatum hadharani, Serikali duniani kote zina utaratibu wake maalum wa kujiendesha.
Mbona hata Naibu Waziri Mkuu anafanya hivyo kwa watendaji? Tena jana katoa maelekezo watu waondolewe….! Huu ni wivu kwa Makonda😂😂😂😂😂
 

Rudia kusoma kilichoandikwa halafu soma ulichoandika kama bado hautaona ujinga wako, basi utakuwa mwanachama wa wajinga.
 
This is too low! Unadhani maigizo anayofanya Makonda ni sahihi? Makonda anatatuaje kero za wananachi kwa kupanda punda? Hao wateule wote wa rais waliojaa kila sehemu wanafanya nini ili awepo mpanda punda wa kusikiliza kero?
 
Mbona hata Naibu Waziri Mkuu anafanya hivyo kwa watendaji? Tena jana katoa maelekezo watu waondolewe….! Huu ni wivu kwa Makonda😂😂😂😂😂
Kijana wa chama, Hana Cheo serikalini, atoe maoni chamani
 
Tanzania ipo ilipo kwa sababu ya wajinga kama wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…