Kagasheki: Mtindo wa Makonda kuwapa tumbo joto Mawaziri haufai. Dunia nzima kuna utaratibu wa kusikiliza kero za wananchi

Ushathibitisha wewe ni Mpumbavu, ma sifa yake kuu huwa afaham ni Mpumbavu, yani mwerevu machoni pake mwenye

Therefore kila la heri....

Pumbavu -
Nimethibitisha vipi sasa? He who alledges must prove, wewe umeniita mpumbavu bila kunionesha upumbavu wangu, nimekupa nafasi ufanye hivyo umeshindwa, ajabu ndio unakimbia kabisa... Wengi wenu mna mihemko ya kitoto sana, na mnafanana akili.

Kwaheri pia.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Bashite kweli ni zero brain
 
denoo JG Makonda pigeni kaziiiii.. 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Sheeeit.... nime-mix madawa. Kumbe denoo JG siyo denooJ . Nilikuwa nimeshangaa kweli kweli jembe denooJ kuandika upupu hivi. Kumbe ni wewe denoo JG ? Samahani sana. Ulichoandika ni haki yako kabisa kwa level yako..
 
Kwa hali ilivyo Mawaziri na watendaji hawaheshimu watu acha qavunjiwe heshima kama walivyo wao.
 
Huo ndio utofauti kati ya kiongozi na mtawala.
 
Akili ndogo lazima atetee ujinga wa Makonda

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Jamii zilizostaarabika huwa zinajiepusha sana kutumia mifumo ya ki-populist na Kangaroo courts kwa sababu japo vinaweza kuonekana kutatua kero ndani ya muda mfupu huwa vinaishia kuleta matokeo mabaya sana mara nyingi katika kipindi cha muda mrefu.
 
Kuwapa mawaziri joto kama anavyofanya makonda ni sawa kabisa. Mawaziri wengi wanawaza tu jinsi ya wao kupata hela wakishapewa uteuzi. Hawalali wakiwaza matatizo ya wananchi na jinsi gani kutatua. Tena mama kawaambia wale kwa urefu wa kamba zao za malisho kwa hivyo wanafikiria dili tu. Makonda yuko sahihi kwa niaba ya chama kuwaandama bila pozi.
 
Huwezi Kuwa mchafu ukatoa hoja ya maana! Kama unaujua umaana ungedeal na uchafu wako kwanza.

Kagasheki hana moral authority ya kumnyoshea mtu kidole!
 
Kabisaaaaa na nimekuelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…