Kagera (Bukoba) mahali pa ovyo kuwahi kutembelea

Kagera (Bukoba) mahali pa ovyo kuwahi kutembelea

Ila kuna vitu kaviongelea zaidi ya lugha..na wengi wamedhibitisha hivyo..so inabidi watu wa huko wajifunze
Kuna makabila au jamii zikiongelewa vizuri humu ndio utashtuka.

Yeah kuna vitu ni kweli ila kuna kukuza mambo kupitiliza na mtu akisikiliza anaweza kuona kama ni sehemu mbovu kuishi kuliko zote Tanzania na wakati mambo mengi aliyoyaongelea yapo sehemu nyingi ambazo zinatawaliwa na wenyeji..

Hapa bongo sehemu ambayo mgeni anaweza fit in haraka ni jamii za kisukuma na pwani kiasi ila the rest ni mtihani
 
Kagera haiendelei iko vile vile miaka rudi miaka nenda. Mji umepangiliwa vibaya majumba yale yale yani hovyo hovyo tu.
Kuhusu watu kushindwa biashara sio kweli maana wachaga wamejaa tele ndiyo wenye mabaa na mapub na wenye biashara kubwa za kuuza pombe kama deport za bia.
Kuhusu nyumba, yes Bukoba mjini kuna nyumba za kupanga mbaya mbaya na nyumba nzuri chache kwa sababu wenye kujenga nyumba nzuri hawazipangishi wanajenga tu kwa sifa hata kama hawakai.
Kuhusu ardhi, sidhani kama ardhi ni gharama kama unavyosema. Hapo 5-10 km kutoka bukoba mjini lazima ardhi iwe ghali maana wenye nayo bado wanajiona wako mjini wakiwa wanahisi mji utapanuka pila ukienda vijijini huko mfano sehemu kama izimbwa, ibwera ardhi bei rahisi. Huko wasukuma wamewanunua wazawa karibu kunageuka kuwa usukumani na wazawa wamegeuzwa wafanya kazi kwenye mashamba waliowauzia wasukuma.
Huko utapata mashamba ya laki mbili ardhi ni plenty. Wasukuma wanalima mpunga huko.
Kuhusu customer care, hujakosea wahaya hawana customer care ni kama vile anayeuza ndiye boss unayenunua kijakazi.
Lugha, yes wahaya wanazungumza sana kihaya hadi ofisini, lakini sishangai hata wasukuma wako hivyo hivyo. Kuna kipindi nilishi kahama, ni kisukuma kwa kwenda mbele hata mtu hajafahamu kama wewe ni msukuma anaanza kukuongelesha kisukuma akigundua kuwa wewe si msukuma na switch na kuongea kiswahili. Kwangu haikuwa big deal.
Pia Kagera kuna mzunguko mdogo wa pesa. Halafu wahaya ukiondoa kilimo cha kuchanganya mazao shambani sijui kutokana na kulima migomba hawajaweza kufanya kilimo cha maana kama watu wa mbeya na Iringa. Nadhani hao wasukuma wa huko nilikokutajia watawafundisha kazi.
Hiyo customer care mbovu si kwamba wanafanyiwa wageni ndivyo walivyo anafanyiwa kila mtu ila wazawa wao wanaona kawaida tu maana wahaya na maringo hata kama hana kitu ni sawa na mzaramo na dera
Wewe ndio umeishi nao kinagaubaga haswa.

Wageni waendelee kwenda wachangamshwe ama wapotelee Uganda.
 
unafiki na majungu uko sahihi 100% nimekaa kiasi maeneo ya rwamishenye hapo jamaa ni wanafiq sana. wana nafikiana hadi wanafamilia kisa kipato pumbavu sana

ukifahamiana na wenyeji utapata viwanja kwa bei pungufu kidogo
Rwamishenye pande zipi bingwa ? Nimeishi karibu na msikiti wa zamani wa hapo rwamishenye ,nikifanya kazi mjini Ila mleta mada nahisi kila alichosema sidhani Kama kina ukweli 100%.
Maana Mimi nikiwa mgeni wa mji huo Ila ujombani nilisaidiwa na watu wasio hata ndugu kutoka kule na kupanda cheo zaidi bwana Khamis kagasheki na mdogo wake Sued Kagasheki nasalute Sana .

Kuhusu mzunguko wa hela ni kweli uko chini Ila sio habari ya uvivu Ila tujue kuwa Kagera hususani mjini hawalimi wanaishi Kama Dar es salaam Ila ubaya biashara bado hazijachangamka hivyo ni lazima mzunguko wa hela uwe chini
 
Umeishi Njombe eneo gani ulikutana na hizi ishu?

Vipi mkuu unataka kunivamia 😁😁....
Kama umeishi njombe, hii ni sehemu karibu na mji. Natumai unaijua mkuu.

IMG_20250113_093528.jpg
 
Wahaya kiasili ni jamii ya watu ambao ni vigumu sana kuwaelezea, ni watu ambao wana kasumba ya kutetemekea mwenye nacho lkn kama huna anakuona tu kama takataka hata kama yeye ni mchovu zaidi yako.

Machinga wa kihaya anaweza akakuponda kwamba "una nini wewe" kisa hujanunua bidhaa yake, yaani ni jamii ya watu wa hovyo ni kakuna mfano.

Nenda ofisi yoyote ambapo kuna mhaya eti una shida na unategemea yeye ndiye akuhudumie, yaani afadhali uende kwa mamba mwenye njaa anaweza labda akala mguu wako akakuachia kiwiliwili chote.

Wahaya wasikie tu kwa mbali hivyo uchambuzi wako ni ukweli kwa asilimia asiyo na idadi.

Bravo for a very good assessment of this primitive and backward community.

NB: The only good haya is the dead one.

NB: Mhaya mzuri ni yule aliyekufa tu.
It takes a Dead man to recognize one.
 
Njoo ujaribu mkuu zipo Fursa nyingi mno Kwa logic Yako hiyo utatoka hapa Bilionea.
Kila BIASHARA unaijua Iko open hapa na Ina gape kubwa sanaaa Kwa kuanzia njoo fungua Juice Point. Pita Kwa comment itakusaidia kujua namaanisha Nini hapa.

Nikusaidie tu ukifika sehemu kijiwe Cha kahawa chote watu zaidi ya 20 wanaongea kiluga na mpo 21 Kwa lisaa limoja bila kiswahili paogope sana... Inabidi uondoke kichwa chini af ukitoka tu wanaanza kiswahili😂
2005 kuna jamaa “mlangila” aliona fursa akafungua kijiwe cha kitimoto pale jirani na Hospitali ya mkoa kati kati ya mji
Aiseee jamaa alipigwa majungu na wale waislam wa kihaya wanavaa nusu suruali na ndevu wanapakaa rangi ya gold wakiwatumia diwani, mwenyekiti wa mtaa ofisi ya mbunge nk nk

Ilibidi ahamishie kijiwe kule juu kabisa nje ya mji Rwamishenye
Huko weekend ndio tulikua tunakuta “walangila” wote ambao tupo mkoa ule kikazi tunajifariji
Bado na huko majungu yakafika
Aisee jamaa akaitwa hadi na boss wake aachane na hiyo biashara kama anataka kuendelea na kazi Bukoba

Natumini siku hizi vijiwe vya mbusi katoliki vitakuwepo hadi mjini kati

NB
WALANGILA ni jina la watu wasio wenyeji wa Bukoba
 
2005 kuna jamaa “mlangila” aliona fursa akafungua kijiwe cha kitimoto pale jirani na Hospitali ya mkoa kati kati ya mji
Aiseee jamaa alipigwa majungu na wale waislam wa kihaya wanavaa nusu suruali na ndevu wanapakaa rangi ya gold wakiwatumia diwani, mwenyekiti wa mtaa ofisi ya mbunge nk nk

Ilibidi ahamishie kijiwe kule juu kabisa nje ya mji Rwamishenye
Huko weekend ndio tulikua tunakuta “walangila” wote ambao tupo mkoa ule kikazi tunajifariji
Bado na huko majungu yakafika
Aisee jamaa akaitwa hadi na boss wake aachane na hiyo biashara kama anataka kuendelea na kazi Bukoba

Natumini siku hizi vijiwe vya mbusi katoliki vitakuwepo hadi mjini kati

NB
WALANGILA ni jina la watu wasio wenyeji wa Bukoba
Bro walangila ni wenyeji wa bukoba na ukisema mlangila unakuwa unamaanisha jamii ya bukoba ambayo ni loyal family .

Specifically kuniita mlangila ikimaanisha mtu aliyezaliwa katika familia za kichifu mfano akina lwekamwa wote wanajiita walangila sababu ni chimbuko la familia ya kichifu
 
2005 kuna jamaa “mlangila” aliona fursa akafungua kijiwe cha kitimoto pale jirani na Hospitali ya mkoa kati kati ya mji
Aiseee jamaa alipigwa majungu na wale waislam wa kihaya wanavaa nusu suruali na ndevu wanapakaa rangi ya gold wakiwatumia diwani, mwenyekiti wa mtaa ofisi ya mbunge nk nk

Ilibidi ahamishie kijiwe kule juu kabisa nje ya mji Rwamishenye
Huko weekend ndio tulikua tunakuta “walangila” wote ambao tupo mkoa ule kikazi tunajifariji
Bado na huko majungu yakafika
Aisee jamaa akaitwa hadi na boss wake aachane na hiyo biashara kama anataka kuendelea na kazi Bukoba

Natumini siku hizi vijiwe vya mbusi katoliki vitakuwepo hadi mjini kati

NB
WALANGILA ni jina la watu wasio wenyeji wa Bukoba
Noma sana!
 
Yeah ila ukiwa na akili ya kuwavimbia lazima uwaone wabaya , mhaya mpe nafasi avimbe na kutamba anavyotaka ndio utaona ukarimu wake .
😁😁😁
Bongo tunahitaji sana social skills niamini, tumezoea kuishi kwa aina flani ya maisha kwamba wote lazma tufanane. Kuna mtu alifungua thread kuwa mwanza ni mbaya kwa sababu haina Cinema wala coffee shops. Watu hawana exposure etc

Sasa unajiuliza huyu mtu anataka kila kitu kiendane vile anataka ili mji uwe mzuri. Mimi napenda miji midogo maana huwa ipo peaceful, wenyeji notakavyowakuta ndivyo nitaendana nao. Mbona huwa sipati shida
 
2005 kuna jamaa “mlangila” aliona fursa akafungua kijiwe cha kitimoto pale jirani na Hospitali ya mkoa kati kati ya mji
Aiseee jamaa alipigwa majungu na wale waislam wa kihaya wanavaa nusu suruali na ndevu wanapakaa rangi ya gold wakiwatumia diwani, mwenyekiti wa mtaa ofisi ya mbunge nk nk

Ilibidi ahamishie kijiwe kule juu kabisa nje ya mji Rwamishenye
Huko weekend ndio tulikua tunakuta “walangila” wote ambao tupo mkoa ule kikazi tunajifariji
Bado na huko majungu yakafika
Aisee jamaa akaitwa hadi na boss wake aachane na hiyo biashara kama anataka kuendelea na kazi Bukoba

Natumini siku hizi vijiwe vya mbusi katoliki vitakuwepo hadi mjini kati

NB
WALANGILA ni jina la watu wasio wenyeji wa Bukoba
Watu wasio wahaya wanaitwa wanyamahanga mkuu na wengine tulikuwa tukiitwa waswahili 😁😁

Walangira ni wahaya from Royal families, yani watu waliotokea koo za kichief. Au kwa kizungu tungewaita "nobles".
 
Huyu jamaa kakaa wiki tu ndio amekuja na conclusion hizi.

Tatizo kuna watu wengi wanaingia kagera na expectations zao lakini pia na mentality ya huku napokwenda watu wanaringa, wanajiskia na ni wabaguzi. Ila ukikaa nao fresh mbona wahaya hawana shida na pia wanakirimu zaidi wageni.

Nilikaa mkoa wa njombe, watu walikuwa wanaongea lugha yao na ubaguzi wa wageni kwenye kufanya biashara ni mkubwa. Na hayo mambo ya mauaji na vitu vingine negative Ila mimi binafsi nilikaa nao vizuri sana na walinikirimu vizuri sana sanaaa maana maparachichi na mikate yao ya kikinga nilikula sanaaa..
Kwa hiyo ningekuwa na negative mindset ningefungua thread kuisema vibaya lakini experience yangu ya kuzunguka Tz hii imenifanya niwe mtu adaptable yani kuona jukumu la kufit in ni langu. Huwezi expect uende china utegemee wazungumze kiswahili au uende marekani wawe social kwako ili ujihisi vizuri.. Impossible

Nadhani watu wengi hususani wa Dar wana tatizo sana hili tofauti na "mikoani" ndio maana ukifuatilia thread za kupondea mikoa mingine utaona wengi ni wao kwa sababu wengi wamekosa exposure ya mkoani na wamezoea city life. Hili nimezoea Ila nikiona mtu katembea mikoani anakuja na worst conclusion huwa namshangaa kiasi
Ila mkuu si umeona mwenyewe baadhi ya wajumbe wengine wameunga mkono hoja......na ushahidi juu bado tukaze fuvu tu tukubali tu
 
Kwa kina Nyerere wa jf.
Nimefurahi sana kuwajua zaidi hawa wakwe zangu watarajiwa.

Ukimposa dada wa kihaya wazazi wanataka barua ya posa iwe na muhuli wa mwanasheria,barua ya mwenyekiti wa mtaa,bank statement,ushaenda ulaya mara ngapi.Alafu usubiri posa yako ijadiliwe na wanandugu wanasheria.🤣😅
haahaa
 
Hivi wahaya wa vijijini washaachaga kutandika nyasi chini kama floor kwenye nyumba zao za udongo? Nilionaga ilikuwa fashion miaka ya 2000
 
Funza ni hatari k
Alikuwa anafocus na "ubaya"..

Kuonesha bukoba ni mbaya

Nadhani hilo ni tatizo la watu wengi ambao wakiwaona wahaya wa mjini wanategemea wakute maghorofa bukoba mjini. Wanapokutana na hiyo disapointment wanaanza kutafuta uhalali wa kuionesha ni mbaya kiasi gani

Amesahau tu na funza na shida ya maji na vyoo kwa baadhi ya sehemu. Nimemsaidia kuongeza 😁
Funza ni hatari kwa bukoba ,wanatafuna miguu na viganja hatari mzee ,usipokuwa makini ni hatari
 
Eyce natamani ungepita Kwa comment zote ujionee... Ukiangalia vizuri utagundua kuwa wewe ndo PEKEE unajitahidi kuwa positive.. Mimi nakuelewa attitude Yako ila ukweli umeelezwa humu Tena Kwa mifano.
 

Mimi sina cha kuongeza, Najua watakupinga kama mimi nilivyopingwa saana na kushambuliwa baada ya kutoa machapisho mawili kuhusu madhaifu ya Bukoba (Angalia hapa chini)


1) "Uvivu wa kutisha, uchawi (kulaguza), na vijana kuamini kwenye quick gain ni baadhi

ya sababu zilizorudisha nyuma maendeleo ya Mkoa wa Kagera"


2) "Mkoa uliong'aa (THE SHINY BUKOBA) Leo hii Umekuwa Mkoa Mweusi (THE DARK

BUKOBA) kwenye kila sekta ya Maendeleo;Nini Kimetokea kwa Nshomile Hawa

Mimi nilfocus kwenye social cultural issues . Ila watu wa Bukoba ifike mahali, kwanza mtambue hakuna anayewachukia, pili jirani kutaja madhaifu yako ndiyo njia Mubadala ya kukufanya wewe kujitathmini na kubadilika. Hakika nikiangalia majibu ya wachangiaji hasa wale wa Bukoba inaonyesha bado wako kwenye “DENIAL STAGE” na ni ngumu sana kubadilika kama ukibaki kwenye denial stage all the time.







 
Back
Top Bottom