Regent
JF-Expert Member
- Oct 9, 2020
- 2,306
- 3,569
Una reasoning ndogo sana hujui ulipotoa boko badoHuko KILIMANJARO shule Kama hizo Ni nyingi Kama uyogaView attachment 1680008View attachment 1680011View attachment 1680013
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una reasoning ndogo sana hujui ulipotoa boko badoHuko KILIMANJARO shule Kama hizo Ni nyingi Kama uyogaView attachment 1680008View attachment 1680011View attachment 1680013
ZAYONI mna shida sanaWw ndio hauna akili kwasababu umeshindwa kuelewa maana ya mfananisho huo.
Naona hueleweki au umelewa Mkuu?Una reasoning ndogo sana hujui ulipotoa boko bado
Hahaha hiyo shule kwa kule Kilimanjaro ni ya kawaida sanaNitachofanya mimi ni kuleta mnyukano kati ya luambo makiadi, instanbul na The Great Haya kisha nakaa kando kusubiri mtanange![emoji276]
Tulia Kijana wewe hujui mambo yetu ya moshi vs bukobaKwani haya ni mashindano?
Walimu maslahi yao je? Majengo bila kujali watu hao muhimu ni bure tuKaribuni mje mjionee mambo ya Dkt. Magufuli hapo sio MABIBO HOSTEL UDSM.
hili jamaa vipi mada inahusu shule ya serikali yeye linareta shule za private yaani hujui Big story ni nini hapoHahaha hiyo shule kwa kule Kilimanjaro ni ya kawaida sana
Hebu tuonyeshe ilivyokuaga baada ya tetemekoShule ya Sekondari ya wavulana Ihungo iliyoko mjini Bukoba inayotarajiwa kuzinduliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 18 Januari, 2020.
Shule hiyo imefanyiwa ukarabati uliogharimu shilingi Bilioni 10.9 baada ya kuharibika kufuatia tetemeko la ardhi lililotokea mjini Bukoba tarehe 10 Septemba, 2016.View attachment 1679902View attachment 1679903View attachment 1679904View attachment 1679905View attachment 1679906View attachment 1679907View attachment 1679908View attachment 1679909View attachment 1679910View attachment 1679911View attachment 1679912View attachment 1679913View attachment 1679914View attachment 1679915
Sindio hiyo kaweka pichaHebu tuonyeshe ilivyokuaga baada ya tetemeko
Yaan jinsi ilivyoharibika ili tusaminishe huo ukarabati wa 10 bSindio hiyo kaweka picha
Yaan jinsi ilivyoharibika ili tusaminishe huo ukarabati wa 10 bSindio hiyo kaweka picha
hiyo imetengenezwa upya kilakitu so saminisha kwa picha tu.Yaan jinsi ilivyoharibika ili tusaminishe huo ukarabati wa 10 b
Kwa mfono kipi labda?Tafuta picha zake, shule ina majengo na miundombinu ambayo baadhi ya vyuo vikuu vyetu havina
Huko si ndiko michango ililiwa? wapinzani walitembelea majengo na kutoa misaada ikawa balaa?