Nishasemaga mara kibao, mpira wa counter attack bado haujapatiwa ufumbuzi pale msimbazi
Huu mpira ulikotoka ulikuwa kwenye eneo la kagera lakini shuti la mbali kuondoa mpira kwenye lango lao ndio uliokuja kusababisha goli baada ya asilimia 90 ya wachezaji wa simba kupanda juu