Uliyepiga picha hii huenda nawe utatafutwa ukamatwe.Ni usiku (saa nne) wa kuamkia leo Agosti 9, 2022.
Gari ndogo IST inatokea Kahama fresh, inaelekea Tinde. ikaparamia trekta lilokua mbele limejaza kuni halafu halina taa za nyuma wala reflector. Watu watatu wakafa kwenye IST!
Dereva wa Trekta akakimbia!
Wakati uokoaji unaendelea, ikaja Hiace iko full nyomi full speed, kutoka Kahama kuelekea Tinde.
Kufumba kufumbua mbele (kwenye ajali ya Trekta na IST) wametandaza majani, uokoaji unaendelea. It was too late!
Dereva wa Hiace akapoteza control, akakwepa lile Trekta akaparamia Lori lilikokua limepunguza mwendo kupisha uokoaji upande wa pili wa barabara.
Watu 16 wakafa papo hapo (na dereva akiwemo)!
Jumla watu 19!
Majeruhi 15 wamekimbizwa Hospital ya manispaa ya Kahama.
RPC na RC Shinyanga wamefika eneo la tukio Alfajiri.
View attachment 2318712
Ndo ingemrudisha?So sad,hii ajari imesababisha kifo cha mdogo wangu kwenye hiyo IST,laiti ningemkamata dereva wa hilo trekta,ningemtatua malinda bila kalainishi.
Sio nyingi, zote hazina...Wabongo tunakufa kindezi sana
Siku zote usalama wako unaanzia na wewe
Mwenyewe....
Kwanza tractor zingepigwa maarufuku kutembea usiku
Maana nyingi hazina taa
Wanaziendesha kwa mazoea tu
Ova
Usisahau na mikokoteni ya kukokotwa na punda bro, ni shida kubwa sana kanda ya ziwaMatrekta naona Kama yamesahaulika yapo mengi sana barabarani na mengi ni mabovu
Na miguuni amevaa 'Yebo Yebo' za AdidasNa amekaa tako moja upande
Askudanganye mtu,maaskari ndo msaada sana,achen kuhusisha Mambo ya siasa kweny uhai wa watuHizi ajali pasipo madereva wenyewe kuacha kuendesha kwa mwendo kasi haziwezi kwisha, hatuwezi kutegemea askari wa usalama barabarani kila siku waokoe maisha yetu kama abiria ndani ya mabasi hatuwaambii madereva ukweli wapunguze mwendo.
Matrafiki waliojifanya wanazuia ajali hawajui kuwa mtractor yote nchi hayana taa!!Gari ndogo IST inatokea Kahama fresh, inaelekea Tinde. ikaparamia trekta lilokua mbele limejaza kuni halafu halina taa za nyuma wala reflector. Watu watatu wakafa kwenye IST!
Dereva wa Trekta akakimbia!
Wakati uokoaji unaendelea, ikaja Hiace iko full nyomi full speed, kutoka Kahama kuelekea Tinde.
Kufumba kufumbua mbele (kwenye ajali ya Trekta na IST) wametandaza majani, uokoaji unaendelea. It was too late!
Dereva wa Hiace akapoteza control, akakwepa lile Trekta akaparamia Lori lilikokua limepunguza mwendo kupisha uokoaji upande wa pili wa barabara.
Acha papara kijana hakuna cha ajabu nilichoandika hapo, ni uelewa wako mdogo tu.Duuh ndugu umeelewa kweli kilichoelezwa na chanzo cha ajali ni nini umeelewa?
Hazina ndio harzad?
Kosa la trekta kutokuwa na taa wala reflector na haya ni makosa yanajirudia rudia sana juu ya hii mitambo haisimamiwi kabisaa
.mwenye hiace hakuwa na tahadhari moto mchibuyu umewawahisha ndugu zetu mbele ya haki na hiyo njia huwa hakuna matuta basi ni kufuta kisahani tena usiku hakuna "watoto yatima wale".
Mwendokasi ni hatari sana ndugu zangu madereva na ajali inazuilika palipo na subira na kuepuka mashindano tuache papara barabarani tu wapi barabarani na pia tahadhari ni muda wote vicheche ni vingi usiku tuwe makini sana.
Poleni ndugu na jamaa zetu huko kahama.
Hayo matrekta miaka yote yapo njiani hayana taa, huwa hawayaoni!!?Askudanganye mtu,maaskari ndo msaada sana,achen kuhusisha Mambo ya siasa kweny uhai wa watu
Trekta lisilo na taa na magari mabovu yote huwa yanavizia barabara ikiwa haina traffic ndo wanapita ila tujaribu kufata amri ya kinana traffic waondolewe barabarani huwenda ikawa njia sahihi ya kupunguza ajali madereva tutajisimamia wenyeweHayo matrekta miaka yote yapo njiani hayana taa, huwa hawayaoni!!?
Umeambiwa ni Trekta kwenye kisa hikiDaah haya magar makubwa na taa za nyuma ni tatizo sana.
Nimependa closure statement yakoila tujaribu kufata amri ya kinana traffic waondolewe barabarani huwenda ikawa njia sahihi ya kupunguza ajali madereva tutajisimamia wenyewe
Sio Mwakata hapo?Ni usiku (saa nne) wa kuamkia leo Agosti 9, 2022.
Gari ndogo IST inatokea Kahama fresh, inaelekea Tinde. ikaparamia trekta lilokua mbele limejaza kuni halafu halina taa za nyuma wala reflector. Watu watatu wakafa kwenye IST!
Dereva wa Trekta akakimbia!
Wakati uokoaji unaendelea, ikaja Hiace iko full nyomi full speed, kutoka Kahama kuelekea Tinde.
Kufumba kufumbua mbele (kwenye ajali ya Trekta na IST) wametandaza majani, uokoaji unaendelea. It was too late!
Dereva wa Hiace akapoteza control, akakwepa lile Trekta akaparamia Lori lilikokua limepunguza mwendo kupisha uokoaji upande wa pili wa barabara.
Watu 16 wakafa papo hapo (na dereva akiwemo)!
Jumla watu 19!
Majeruhi 15 wamekimbizwa Hospital ya manispaa ya Kahama.
RPC na RC Shinyanga wamefika eneo la tukio Alfajiri.
View attachment 2318712
Mkuu asilimia kubwa ya tractor zipo barabarani mchana, wao wanaziona tunapishana nazo, hiece nyingi pia hazina taa na usiku ziko njiani na wao wana magari ya patrol mengi tu, je usiku huo wanakuwa nayo wapi?Trekta lisilo na taa na magari mabovu yote huwa yanavizia barabara ikiwa haina traffic