Kaimu Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Juma, Naomba Usiruhusu Udhalilishaji Huu Ndani ya Mahakama Zetu!.

Mshaanz kuhamisha magoli
 
Mayalla, ombi lako ni zuri lakini bahati mbaya limeangakia kwenye jamii ambayo haikupata elimu ya uraia ambayo humfundisha mtu kumpenda, kumheshimu na kumjali mwezake haya kama hamfahamu; lugha unayoisikia ndani ya bunge inatokana na ukoseu was elimu hiyo. Askari hutumia vitendo kutokaa na hisia za viongozi wao na jamii kwamba wakiona watafurahi! Na ndivyo inavyotokea, hivyo basi watoa hoja usione ajabu wakakukejeli na kukubeza kwani kwao wengine wanapofanyiwa kejeli kwao huwa ni furaha na wanapata simulizi ya siku. Ndani ya mada hii wamo watakaoanza kuwabeza watu ambao wewe haujawataja, watakuja na ukabila, udini, muonekano wa mtu na mangine mengi tu sijui wanayapata wapi, lakini kwa kuwa ndivyo walivyo basi wanajua na mungu wao.
 
Mbona kassim Hanga alipigishwa magoti mnazi1miaka ya 70 je K Hanga alikuwa na mpango wa kukimbia? Tuiache Serikali ifanye kazi na sisi WaTZ tupige kazi Tuache maneno
 
Paskali ameshitushwa n.a. role model wake wa biashara kupigishwa magoti
 

unafanana na mke wa pili!! nongwa tu!!

binadamu anafanya kitu, kukumbuka kitu kama ana ukaribu nacho na akili kaiwea hapo!! ndio anafanya kitu fulani!!!
 
I felt heart sick nilivyoona Mzee Rugemalila akipiga magoti na rozari yake.

Hakuna asiye mdhambi, hakuna apendaye kudharirishwa. Hakuna mkamilifu.

Wakipatikana na makosa wahukumiwe ila si busara kuwadharirisha.

Mtu akiwa na pesa lazima mumuabudu.

Huyo mzee ndio mtu wa kwanza kufanyiwa hivyo?

Wangapi wamefanyiwa hivyo mkakaa kimya.

Muda mwingine askari wetu ni wapole sana hao ilitakiwa wanyanyuliwe kwa mitama kabisa

Waswahili wanasema "pesa sabuni ya roho"
 
Pascal umechelewa Manji, wapinzani wamefanyiwa hivyo sana. Polis wa tz wamefundishwa hasira.
 
Paskali, tatizo sio Mahakama bali ninyi wanahabari. Ktk Journalism ethics suala unalolalamikia linafundishwa na wanahabari waliosoma taaluma ya habari wanafundishwa, sasa iweje uiingize Mahakama hapa? Hata MCT wenyewe wametoa kijitabu kuhusu court reporting ili kuwaepusha wanahabari na matatizo wanayoweza kujikuta matatani, sasa

Binafsi siamini kama Mahakama waliruhusu hili, labda polisi maana jambo kama hilo haliwezi kutokea ndani ya Mahakama.
 
Hiv mwizi anatakiwa afanyiwe nn?? Ina maana hata magazeti yafungiwe kumwandika!!?? Hata kwenye taalifa ya habari watolewe.na ile kesi iendeshwe usiku!!!?? .Ni afrika tu mwizi anapewa heshima na utukufu km mfalme.
Mkuu siyo kwamba mwizi anapewa heshima na utukufu, la hasha, isipokuwa mwizi ana haki yake kisheria. Anakuwa ni mtuhumiwa tu hadi hapo ushahidi wa kumtia hatiani utakapokamilika. Na ushahidi wenyewe usiwe na shaka yeyote.( beyond any reasonable doubt)
 

Respect bro, wewe ni moja ya waandishi wa habari, walionifanya niwaheshimu baadhi yenu hapa Tanzania, mko wachache
 
Hapana, hakuna ujinga wa asili, huu tulionao ni wa kusomea. Kuna swali huwa unauliza mara kwa mara. "Hivi huko shule mlienda kusomea ujinga"?Leo ndio jibu limepatikana.
 
Masanja, kusema kweli watu wengi tulidhani kuchuchumalisha ni aina ya 'restraint' hadi jana nilipomwona JR! Maadam sasa tumeona mtu mzima akifanyiwa hivyo sasa tunaona kumbe ni udhalilishaji tu wa watuhumiwa na siyo unafiki kulalamikia. Kwa bahati mbaya wewe inaelekea umeshawahukumu watuhumiwa hao kuwa ni wahalifu na wanastahili kudhalilishwa!
 
Waliopiga picha siyo Polisi
Nawakizuiwa hao lazima mrudi hapa kuropoka
Kuna watu huwa mnatumia makalio kufikiri sio bure. Ni wao wenyewe tu waliamua kuchuchumaa?

Issue sio kupigwa picha, issue ni walichoambiwa wafanye ili wapigwe picha. Waandishi wao wako sahihi, kutuletea taarifa kama ilivyo. Ni kwa msaada wa camera zao ndio sasa tunajua kuwa walichuchumazwa. Je ni sheria gani inatumika kuwachuchumaza as if labda walikuwa wanaleta ubishi ndio ikabidi wadhibitiwe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…