Kaimu Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Juma, Naomba Usiruhusu Udhalilishaji Huu Ndani ya Mahakama Zetu!.

Nakuheshimu bro ulichoona ww ni udhalalishaji tu ela walizotuibia ? kweli Magufuri kawashika pabaya lazima mtafute kasoro tena wangechapwa na bakora juu 12 ... wache waisome namba nao waishi ka mashetani
 
Hao wa Makonda, walifanyiwa HAYO kwenye viwanja vya mahakama? au ndani ya vyumba vya mahakama?
 
Kweli kabisa nakubaliana na wewe mkuu kwa mfano nilimuona TID,DOGO HAMIDU, Babuu wa kitaa etc walipigishwa magoti kipindi walivyotajwa kama watumiaji wa madawa ya kulevya.

Na watuhumiwa wengi katika mahakama zetu wanapigishwa magoti lakini paskal kaliona walivyofanyiwa hawa tu?!! Kwaiyo hawa ndio walitakiwa kuwa treated tofauti kuliko wengine katika nchi hii?
 
mkuu hiki unacho kitetea/shangaa ndo umekiona leo kwa mara ya kwanza?
 
Nakuheshimu bro ulichoona ww ni udhalalishaji tu ela walizotuibia ? kweli Magufuri kawashika pabaya lazima mtafute kasoro tena wangechapwa na bakora juu 12 ... wache waisome namba nao waishi ka mashetani
Hajaona yeye, KIPO KWENYE KANUNI..... Mnapoambiwaga msijichukulie sheria mkononi huwa mnaelewa ina maana gani?
 
Tusichague mahala gani tupigie kelele sheria zetu zifuatwe! Haya waliyotendewa Ruge na Singasinga ni mambo ya kawaida kutendewa walala hoi! Binadamu wote ni sawa, tupige kelele pia hata wezi wa kuku wakifanyiwa hivi!!!!!
 
Nyie watu sijui mnaakili gani ?!!

Sisi ndugu zetu wezi wa kuku kila siku wanadhalilishwa lkn kuonekana picha hizi ndio mnajifanya mnaumia....

Hawa ni wahalifu, utaratibu uendelee kama kawaida.

Hata mm nimelisema hilo, tuna macho kwa Ruge na Singasinga, ndio maana kuna wakati nao kama wengi wetu watz tuna akili za ajabu kabisa!!!
 
Hahhah unajua kuna watu wana div one ila hizi sheria hawazijui?cha kujiuliza kwenye huo upolisi wao huwa wanafundishwa sheria zinazowazunguka katika mazingira ya kazi yao??
 
Haaa Paskali hapa umekosea.. Kupigwa picha kwa dunia ya leo ni kawaida sana sana.. Hizo sheria ziko old kabisa.. Yaani mwizi, fisadi kama Seth, Rugemarila wasipigwe picha kisha sheria hizo za old time? Je nchi itajuaje kuwa wamekamatwa? Si ndio mtaanza kusema ni kuigiza na kuanza kuongea hovyo?

Tena ww Paskali ingekuwa hujaona picha au videos wamekamatwa ungeamini ni kweli wamekamatwa? Tena picha zipigwe kwa wingiiiiiii sana dunia ijue hawa mafisadi serikali ya Rais wetu mpendwa JPM imewanasa..

Na bado watafungwa na kulipa.. Mchezo hakuna tena hii ni CCM MPYAAAA...
 
Mtalaumu Polisi bure wakati walitumwa wafanye vile
Wale wametumwa ili wahukumiwe na raia
 

Hapana. Kuna Askari anatoa amri wasogee mbele ili wapiga picha waweze kuwaona vizuri. Yaani askari alikuwa anawapanga ili picha ionekane vizuri. Utasikia askari anawaamrisha waangalie mbele ili nyuso zao zionekane.
 
Waliopiga picha siyo Polisi
Nawakizuiwa hao lazima mrudi hapa kuropoka
Akili gani hii? Kwani mleta uzi amesema waliopiga picha ni polisi? Polisi ndio walitakiwa wasimamie sheria kwa kutoruhusu kupiga picha.
 
yaleyale ya zambia,.

Kutesa kwa zamu
 
Ujumbe mzuri sana mkuu kila kitu umemaliza. If you play dirt hayo ndio matokeo. Wanafik hawaachi kujitokeza utawajua tu na bado
 
Tid na wenzake ukuona ilo mkuu au kwa vile hawa wana pesa? Ama kweli masikini hana rafiki
 
Akili gani hii? Kwani mleta uzi amesema waliopiga picha ni polisi? Polisi ndio walitakiwa wasimamie sheria kwa kutoruhusu kupiga picha.
Wewe ndio akili zako huzitumii vyema kuelewa
Nimesema wangezuiwa lazima mngerudi humu kuropoka uhuru wa habari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…