Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuteni vyakuteteaKwa hiyo akishadhalilishwa anapaswa kuachiwa huru? MAANA USHAMPA ADHABU TARYARI, TENA KABLA HAJAKUTWA NA KOSA..!!!
Wewe ndio ujiulize una akili gani!! Paskali hapa anakumbusha tu kwamba sheria ipo lakini haifuatwi, hata hao wezi wa kuku hawatakiwi kudhalilishwa.Nyie watu sijui mnaakili gani ?!!
Sisi ndugu zetu wezi wa kuku kila siku wanadhalilishwa lkn kuonekana picha hizi ndio mnajifanya mnaumia....
Hawa ni wahalifu, utaratibu uendelee kama kawaida.
Wanafiki wanapatikana Ufipa pekeeMbona unaabudu sana watu we jamaa? Yaani upo tayari kuwa mnafiki sababu uko huo upande fulani!
Huo ni uzi mwingine unaanzisha.Wakati kina mana wanapodhalilika kwa kukosa huduma na kujifungulia njiani kisa ni ufisadi hamuongei.
Tusifiche makosa yetu kwenye makosa ya wengine.... THE FACT KWAMBA KAKUIBIA, HAKUKUPI HAKI YA KUMUUA, KUMDHALILISHA, AU KUFANYIA CHOCHOTE KIBAYA... sheria inasema au inatamka namna ya kushughurika na wezi, majambazi na wanaovunja sheria mbalimbaliTafuteni vyakutetea
Mkuu na wewe umechukuliwa na hisia, haya mambo huwa yanapingwa sana hapa yanapoonekana, wanyonge wanapodhalilishwa picha zao zika trend watu wanakemea, anaweza kuwa sio pasco muanzisha uzi ila haimaanishi kuwa sio concerned,Paskali,
Tuache unafiki. Hebu niambie ni waTanzania wangapi wanaodharirishwa tena zaidi ya hao walioambiwa kuchuchumaa and no body cares?
Tuache huu unafiki. watu wamepiga kelele jinsi wafungwa/mahabusu wanavyokuwa treated, jinsi magereza yalivyo machafu but no body cares. hata sidhani kwenye bajeti kuna mbunge anasimama kuhoji magereza yanaendeshwa vipi. Leo singa singa ameambiwa achuchumae chini unaandika thread ndeefu kwamba amedharirishwa? Human rights zinakuwa human rights for the rich and stronger but not for the poor and the wretched of the earth? Si ndiyo?
Ngoja tusubiri tuambiwe kwamba inabidi wajengewe gereza lao maana yaliyopo ni machafu.
Kaka yangu Paskali, wazungu wanasema: If the society cannot protect the weak in its midst, what makes you think that they will protect the stronger when times come?
All I can say: Tupige kelele wee..lakini Magufuli anatufundishia watoto kitu kimoja muhimu sana (it may be late for me and you) kwamba CRIME DOESNT PAY! Tufanye kazi kwa bidii tule na kuridhika na tunachopata kwa halali. Mengine ni porojo.
Masanja
Mtume mbunge wako apeleke hiyo hoja yako nzuri bungeni sheria ikabadilishwe. Sheria iliyopo sasa hairuhusu.walitakiwa watandikwe na mboko Kabisa hao ili vifisadi vingine viwe na adabu