π€£Njooni,DEO mwenyewe msela yuleπ€ΈBasi nimekufananisha na mwalimu mmoja hivi mnyakyusa alihamia kutokea Mkoa wa Songwe na jina lake linaanzia na herufi G la ukoo M.
Anyway ngoja nimpage DEO wako tuje kukukagua..!! ππππ
#YNWA
Mi ni M na ukoo MBasi nimekufananisha na mwalimu mmoja hivi mnyakyusa alihamia kutokea Mkoa wa Songwe na jina lake linaanzia na herufi G la ukoo M.
Anyway ngoja nimpange DEO wako tuje kukukagua..!! ππππ
#YNWA
Brother mm kwa upande wangu iko hivi miaka minne ilopita nilmpata mwanamke ambaye nlihisi atakua wa maisha,akapambana akashika mimba pale ndo nkaona rangi yake halisi anaweza akanigombeza mbele ya mama yangu mzazi,siku moja nkamuambia siku nikiuchoka huu mdomo ntaondoka,,akadhani natania,siku moja nkawaita ndugu zake na ndugu zangu baadhi nkawaambia mm sitoweza kuishi na huyu kwa sasa so either nmuache humu ndani au aondoke akatafute nyumba ya kupanga,akasema niondoke mimi,niliondoka na beg langu la nguo kama utani yaani,,hadi amebaki single maza na hadi kwao wanamuambia huo mdomo wako umekuponza,,,
Hitimisho:mimi ntaoa na akizingua ntajua hakua w kwangu atasepa ntaoa mwingine,ndoa n furaha aisee hujui tuu.
π€£Njooni,DEO mwenyewe msela yuleπ€Έ
Mi ni M na ukoo M
Mbona nawe una mapungufu,Kwa mfano dushe kutokusimama vyema,kutokuhudumia umpendae,hasira za haraka na kuchukulia poa mahusiano Yako unapoyaanzishaπ€¦Beesmom
Chakorii
Championship
Prakatatumba abaabaabaa
computerarsenal
Southern Highland
Da'Vinci
mbarika
Someni hiyo πππ
Karibu nikusemee unachowafanya wanawake then tukupe kichapo heavyπNgoja nije PM unipe anuani ya makazi Nije kukusalimia...
#YNWA
π€£π€£π€£π€£Atakuwa mkyela huyo....siye wa tukuyu tunao ila wametuzidiKuna halmashauri moja Songwe DEO - Msingi ni mmama.
Asiyee yule mnyakyusa ana mdomo balaaa.
Yaani siku niliyokutana nae nikajiuliza "sasa hiyo Halmashauri yake walimu wanaishije nae?""
Mnyakyusa ana mdomo yuleee
#YNWA
Mbona nawe una mapungufu,Kwa mfano dushe kutokusimama vyema,kutokuhudumia umpendae,hasira za haraka na kuchukulia poa mahusiano Yako unapoyaanzishaπ€¦
Karibu nikusemee unachowafanya wanawake then tukupe kichapo heavyπ
JesusπHaya yotee sio yangu.
Mi nipe nafasi ya wiki moja tu, utakula show Bora na utahudumiwa vizurii kabisaaa.
ππππ
#YNWA
π€£π€£π€£π€£Atakuwa mkyela huyo....siye wa tukuyu tunao ila wametuzidi
Na Kwa mtazamo wake huu Bora asioe kabisa,maana mwanamke atakaeoa atanyanyasika sanaπKwahiyo kwasababu kaka yako kaoa Mwanamke mwenye mdomo ndioo wengine wasioe??? Kwani wanawake wote wanamdomo???..... Wewe kama unaona kuoa hakuna mantiki baki na msimami wako, mbona unachukua mifano ya wanaoshindwa huleti ya wanaofanikiwa kwenye hizo ndoa???
Kwahiyo kwasababu kaka yako kaoa Mwanamke mwenye mdomo ndioo wengine wasioe??? Kwani wanawake wote wanamdomo???..... Wewe kama unaona kuoa hakuna mantiki baki na msimami wako, mbona unachukua mifano ya wanaoshindwa huleti ya wanaofanikiwa kwenye hizo ndoa???
Brother mm kwa upande wangu iko hivi miaka minne ilopita nilmpata mwanamke ambaye nlihisi atakua wa maisha,akapambana akashika mimba pale ndo nkaona rangi yake halisi anaweza akanigombeza mbele ya mama yangu mzazi,siku moja nkamuambia siku nikiuchoka huu mdomo ntaondoka,,akadhani natania,siku moja nkawaita ndugu zake na ndugu zangu baadhi nkawaambia mm sitoweza kuishi na huyu kwa sasa so either nmuache humu ndani au aondoke akatafute nyumba ya kupanga,akasema niondoke mimi,niliondoka na beg langu la nguo kama utani yaani,,hadi amebaki single maza na hadi kwao wanamuambia huo mdomo wako umekuponza,,,
Hitimisho:mimi ntaoa na akizingua ntajua hakua w kwangu atasepa ntaoa mwingine,ndoa n furaha aisee hujui tuu.
Ndiyo bhana,tukuyu ndo Kwa bibi.Karibu sana.ukipata chance tukatembee matema Kwa wa kyelaπ€£π€£Kumbe wewe ni mnyakyusa wa bara/milimani sio pwani...
#YNWA
Hawa ndioo wanakaliwaga kichwani kabisaa ujanja wa kutaipu TU, na kukosoa as if yeye Yuko perfect katika Kila kituNa Kwa mtazamo wake huu Bora asioe kabisa,maana mwanamke atakaeoa atanyanyasika sanaπ
Mi ni M na ukoo M
Sanaaaπ€π€π€π€
Aaah M na M
nimekumbuka siku ile nilivyo lala stend kuu Mbeya Jiji.
Nilifanya Kosa la kiufundi sanaaa mjini PM..
ππππ
#YNWA