Jambo la heri kwa nani? Uliwahi kumsikia marehemu kabla ya umauti kumkuta? Uamzi wa kutoa sababu za kifo cha mtu yeyote asiyekuwa public figure ni wa familia na hamna mtu mwenye haki ya kulazimishataarifa hiyo itoke. Hapo uliko bila shaka umeishawahi kufiwa na watu wako wa karibu na hatujakusikia ukija JF kutoa taarifa zao na sababu za kifo chao...
Na mimi sikuzaliwa pwani.Soma kuelewa.
"Jambo la kheri" ni kauli ya kiswahili kilichokomaa kuwa "bila shuruti, ushawishi wala hiyana."..
Rip Charles na pole Kamanda Freeman. Bwana alitoa na sasa ametwaa. Amen.Taarifa zilizotufikia kutoka Chadema zinaeleza kwamba Freeman Mbowe ambaye ni Mwenyekiti wa chama hicho amelazimika kukatisha kampeni za operesheni haki huko Zanzibar na kurejea Tanganyika baada ya kupokea taarifa za kifo cha Kaka yake aitwaye Charles Mbowe...
Mkuu hapo una debate na psychopath anayeiwaza Corona masaa 24. Anatamani kila anayekufa isemekane ni COVID. Thinking capacity yake ipo very low na mbaya zaidi hajui. Huwezi kulazimisha uambiwe marehemu kafa kutokana na nini wakati haikuhusu na sio mwana familia na bado hakuelewi. Achana nae..Na mimi sikuzaliwa pwani.
Amandla...
UvikoR.I.P kwa baba yetu
SawaUviko
Kwahiyoo!!??Duh Pole kwa familia ya akina Mbowe,enzi za ujana miaka ya 80&90 Charles muda wote alikuwa kwenye viunga vya Mbowe hotel (bills).
Na mimi sikuzaliwa pwani.
Amandla...
Alafu muhuni fulani akavunja kile kiunga kukomoa tuDuh Pole kwa familia ya akina Mbowe, enzi za ujana miaka ya 80 & 90 Charles muda wote alikuwa kwenye viunga vya Mbowe hotel (bills).
Vipo vifo vya aibu, mtu kama kafia kifuani huko gesti kwa kuzidiwa na utamu utakuja kutangaza na kusema kifo si kitu cha aibu?Kama ni Uviko, familia ya Mbowe haiwezi kuficha, itaujulisha umma. Maradhi na kifo, siyo vitu vya aibu, hakuna aliye na uwezo wa kuvizuia.
Pole sana Mwenyekitibowe, poleni wanafamilia wote na watu wa karibu na marehemu.
Mungu wa huruma awajalieni moyo mkuu wa kuyapokea mapenzi yake kwa unyenyekevu,