TANZIA Kaka wa Freeman Mbowe, Charles Mbowe afariki Dunia


Soma kuelewa.

"Jambo la kheri" ni kauli ya kiswahili kilichokomaa kuwa "bila shuruti, ushawishi wala hiyana."

Usikonde lakini. Kiswahili kilizaliwa Pwani.

Apumzike kwa amani Charles Mbowe.
 
Rip Charles na pole Kamanda Freeman. Bwana alitoa na sasa ametwaa. Amen.
 
Na mimi sikuzaliwa pwani.

Amandla...
Mkuu hapo una debate na psychopath anayeiwaza Corona masaa 24. Anatamani kila anayekufa isemekane ni COVID. Thinking capacity yake ipo very low na mbaya zaidi hajui. Huwezi kulazimisha uambiwe marehemu kafa kutokana na nini wakati haikuhusu na sio mwana familia na bado hakuelewi. Achana nae..
 
Duu! Pole nyingi kwa kamanda Mbowe na familia ya marehemu! Mwenyezi Mungu ampuzishe kwa Amani!
 
R .I P Charles Mbowe. Kwenye vifo tunaweka uvyama pembeni.
 
Apumzike kwa amani kaka wa Kamanda wetu Mungu akawe mfaliji mwema wakati huu mugumu kwa wana family
 
Pole nyingi kwa familia na watu wake wa karibu.

Tuendeleeni kuchukua tahadhari zote wakuu, hili wimbi la tatu litatumaliza.
 
Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi na awape nguvu faraja wafiwa katika kipindi hiki kigumu kwao. πŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎ
 
Vipo vifo vya aibu, mtu kama kafia kifuani huko gesti kwa kuzidiwa na utamu utakuja kutangaza na kusema kifo si kitu cha aibu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…