Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
Wewe ndio mnafik. Amesema taarifa amepata kutoka Chadema, kosa liko wapi? Amesema marehemu ni kaka wa Mwenyekiti wa Chadema, kosa liko wapi? Wapi aliposema kuwa msiba huu ni wa wanachadema peke yao na kuwa marehemu alikuwa Chadema?yaani huyo mama aliyeandika kaandika kinafiki sana eti wanachadema mpuuzi kweli mnafiki huyo
Pole kwa familia ya Mbowe....Asante kwa masahihisho ya Kiswahili, sikijui sana mkuu, najua cha kuombea maji tu
C&pMungu ampumzishe mahali pema peponi.
aulizwe THE BIG SHOWHiviiiii, hiyooo……….., hata kwa sisi mnaotuita "MAKAFIRI" inatumika eeeeh?
Kila mtu atapita huko..Acha wamfaidi huko anakoenda!
Katiba mpya ingezuia jambo hili kutokeaR.I.P
Kamanda FHMbowe, Familia, Ndugu na Jamaa, Poleni sana kwa msiba wa Kaka yetu. Mwenyezi Mungu awape ujasiri wa kuyapokea magumu na mazito haya ili tuweze kuyakimilisha yale yanayotupasa kwa marehemu wetu. Aidha, Mwenyezi Mungu Aipunzishe roho ya marehemu mahali pema peponi. Amin, kwani ni wa Kwake na amerudi Kwake. AminTaarifa zilizotufikia kutoka Chadema zinaeleza kwamba Freeman Mbowe ambaye ni Mwenyekiti wa chama hicho amelazimika kukatisha kampeni za operesheni haki huko Zanzibar na kurejea Tanganyika baada ya kupokea taarifa za kifo cha Kaka yake aitwaye Charles Mbowe.
View attachment 1845577
View attachment 1845790
Kwa niaba yangu binafsi na familia yangu na kwa niaba ya wanaJF wote, nachukua nafasi hii kumpa pole kamanda Mbowe na ndugu zake kwa msiba huo.
INNALILLAH YA INNALILLAH RAJUUN.
Pole kwa familia ya Mbowe. Bwana alitoa, Bwana ametwaa.Taarifa zilizotufikia kutoka Chadema zinaeleza kwamba Freeman Mbowe ambaye ni Mwenyekiti wa chama hicho amelazimika kukatisha kampeni za operesheni haki huko Zanzibar na kurejea Tanganyika baada ya kupokea taarifa za kifo cha Kaka yake aitwaye Charles Mbowe.
View attachment 1845577
View attachment 1845790
Kwa niaba yangu binafsi na familia yangu na kwa niaba ya wanaJF wote, nachukua nafasi hii kumpa pole kamanda Mbowe na ndugu zake kwa msiba huo.
INNALILLAH YA INNALILLAH RAJUUN.
Hawa wajinga huwa wanafanya nadharau sana hata mambo yao wanayojifanya wanasisitiza kama kukosoa serikali,wana utoto wa kipumbavu sana.Corona au
Nauliz hivyo kwa sababu vijana wa chadema huwa mnadhani wale wafuasi wa CCm wanaokufa wote ni kwa kutofata taratibu za kujikinga, pia wote wanaokufa ni corona.
Na mmekuwa mkitoa pole za kejeli je huyo nae hakupata chanjo?
Nawapeni pole makamanda ila kifo hakina chama wala mjanja.
Muwe na staha wanapokufa wa upande mwingine kwani wote ni binadam.
Nasema hivyo baada ya kifo cha yule diwani pale moshi, kuna comment humu zulikua zinakera.
Hii nayo kamanda inafaa uandike"madhalimu yanakwenda mmoja mmoja"Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi na awape nguvu faraja wafiwa katika kipindi hiki kigumu kwao. [emoji1488][emoji1488][emoji1488]
Mkuu kwa heshima ya marehemu,tumsitili.Funza wanamsubiri kwa hamu [emoji1787][emoji1787]
... ni kweli Chief; hadi viongozi wakuu wanachapia hadi unashangaa. "Kwa niaba ya ..." means unamwakilisha mtu mwingine; you are speaking or you are there to represent someone else; sasa ukisema "Kwa niaba yangu ..." wakati msemaji ni wewe mwenyewe au uko pale wewe mwenyewe sijui unajiwakilisha vipi wewe mwenyewe.Nimeona wengi hutumia niaba kama kwa ajili ambapo ni makosa