Kaka wa Lissu aelezea masikitiko yao juu ya haki ya mdogo wake, adai watapambana hadi haki ipatikane

Kaka wa Lissu aelezea masikitiko yao juu ya haki ya mdogo wake, adai watapambana hadi haki ipatikane

20 May 2024
Ikungi, Singida


View: https://m.youtube.com/watch?v=w8L0W7rtMX8

Msemaji wa familia ya ukoo na pia kaka wa aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki Mh Tundu Lissu, advocate Bw Alute Simoni Lissu Mughway mjukuu wa Muro baada ya kumaliza shughuli za kijadi za kiukoo, mbele ya ukoo amesema suala la madai ya Tundu Lissu ...

eeeh wapambane tu, kwani kuna shida gani :whatBlink:
 
Back
Top Bottom