Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
20 May 2024
Ikungi, Singida
View: https://m.youtube.com/watch?v=w8L0W7rtMX8
Msemaji wa familia ya ukoo na pia kaka wa aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki Mh Tundu Lissu, advocate Bw Alute Simoni Lissu Mughway mjukuu wa Muro baada ya kumaliza shughuli za kijadi za kiukoo, mbele ya ukoo amesema suala la madai ya Tundu Lissu ...
eeeh wapambane tu, kwani kuna shida gani
